Alex msama apata ajali

Alex msama apata ajali

Kibo10

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
11,278
Reaction score
8,868
Mkurugenzi wa Msama Promotion,Alex Msama amepata ajali baada ya gari alilokuwa akisafiria kupinduka wakati akielekea mkoani Dodoma.
Pichani kulia ni mwenyekiti wa Bongo Movie, Steve akimjulia hali akiwa amelazwa kwenye moja ya hospitali mjini humo.chanzo:clouds fm
 
Mkurugenzi wa Msama Promotion,Alex Msama amepata ajali baada ya gari alilokuwa akisafiria kupinduka wakati akielekea mkoani Dodoma.
Pichani kulia ni mwenyekiti wa Bongo Movie, Steve akimjulia hali akiwa amelazwa kwenye moja ya hospitali mjini humo.chanzo:clouds fm

Hiyo Picha unayozungumzia iko wapi?
 
Hiyo Picha unayozungumzia iko wapi?

ImageUploadedByJamiiForums1397239835.007611.jpg
 
pole sana Alex Msama mungu akujalie upone ili uandae vizuri tamasha la pasaka
 
Huyu si ndie yule anaedhulumu/wanyonya Wasanii pamoja na kutowalipa Wafanyakazi wake Mishahara yao huku yeye akijiingizia Mamilion kwa kufanya Matamasha kede kede?kweli nimeamini Mungu yupo na Pesa sio kila kitu mbele ya Mungu na malipo hapa hapa Duniani,bado yule wa Wafu FM.
 
Huyu si ndie yule anaedhulumu/wanyonya Wasanii pamoja na kutowalipa Wafanyakazi wake Mishahara yao huku yeye akijiingizia Mamilion kwa kufanya Matamasha kede kede?kweli nimeamini Mungu yupo na Pesa sio kila kitu mbele ya Mungu na malipo hapa hapa Duniani,bado yule wa Wafu FM.

Ya kweli hayo?
 
Huyu si ndie yule anaedhulumu/wanyonya Wasanii pamoja na kutowalipa Wafanyakazi wake Mishahara yao huku yeye akijiingizia Mamilion kwa kufanya Matamasha kede kede?kweli nimeamini Mungu yupo na Pesa sio kila kitu mbele ya Mungu na malipo hapa hapa Duniani,bado yule wa Wafu FM.

Wewe nani hata uhukumu?
 
Nami naungana na walio tangulia.kumpa pole,ndugu yetu,alex msama mungu yupo 1 nawe usiogope,shetani ameshindwa,
 
Ww frank tumia akili nani kathulimiwa? Ajitokeze aseme? No evidence no right to speak. Hao wafanyakazi wake una uhakika gani hawalipwi kwa wakati? Serikali inadaiwa sembuse msama? Makampuni kibao makubwa hawalipwi kwa wakati hamyasemi mnamuona Msama.
Ungekuwa na akili timamu ungekaa kimya kuliko kuandika ujinga wako mtu mgonjwa badala ya kumpa pole unamsema ww unafikiria kwa kutumia Ma------.
Kajipange upya ndio urudi hapa nyoko... Weweeee
 
naskia na mr nice yu mahututi kwa ajali ya bajaj mwenye taarifa kamili atujuze
 
naskia na mr nice yu mahututi kwa ajali ya bajaj mwenye taarifa kamili atujuze
hata mimi kuna mtu alintonya yuko karibu Na nice anasema nice alikua kwenye bajaji na dogo moja anaitwa peter ..bajaji iligongana uso kwa uso na prado hyo peter kafa hapo hapo kichwa kmepasuka .nice alipelekwa mwananyamala yeye akavunjika mkono kaumia na jicho na uso wake hoi.
 
Back
Top Bottom