Alex msama apata ajali

Alex msama apata ajali

Ww frank tumia akili nani kathulimiwa? Ajitokeze aseme? No evidence no right to speak. Hao wafanyakazi wake una uhakika gani hawalipwi kwa wakati? Serikali inadaiwa sembuse msama? Makampuni kibao makubwa hawalipwi kwa wakati hamyasemi mnamuona Msama.
Ungekuwa na akili timamu ungekaa kimya kuliko kuandika ujinga wako mtu mgonjwa badala ya kumpa pole unamsema ww unafikiria kwa kutumia Ma------.
Kajipange upya ndio urudi hapa nyoko... Weweeee

Wewe ndio hauna akili kabisa tena empty set na tena usinifundishe uoga wewe,unataka kuniambia kwa vile ni mgonjwa ndio dhuluma na unyonyaji wake vinafutika?hao anaowadhulumu na kuwanyonya unafahamu maumivu yao au unaropoka na upo kwenye Payrolll yake?
 
Sio naropoka kwani huyo aliyetapeliwa au kadhulumiwa nani si ajitokeze na kama anadai kweli si afate sheria alipwe? Kajipange upya ndio uje tena.
 
Mkurugenzi wa Msama Promotion,Alex Msama amepata ajali baada ya gari alilokuwa akisafiria kupinduka wakati akielekea mkoani Dodoma.
Pichani kulia ni mwenyekiti wa Bongo Movie, Steve akimjulia hali akiwa amelazwa kwenye moja ya hospitali mjini humo.chanzo:clouds fm

Nilikuwa nao jana ktk kitengo cha x ray. Pole mr Msama.Hongereni Rich na Steve Nyerere kwa kufuatilia tiba kwa karibu zaidi
 
Heh! Kaka umekuwa mkali! Mweeh
Ww frank tumia akili nani kathulimiwa? Ajitokeze aseme? No evidence no right to speak. Hao wafanyakazi wake una uhakika gani hawalipwi kwa wakati? Serikali inadaiwa sembuse msama? Makampuni kibao makubwa hawalipwi kwa wakati hamyasemi mnamuona Msama.
Ungekuwa na akili timamu ungekaa kimya kuliko kuandika ujinga wako mtu mgonjwa badala ya kumpa pole unamsema ww unafikiria kwa kutumia Ma------.
Kajipange upya ndio urudi hapa nyoko... Weweeee
 
Sio naropoka kwani huyo aliyetapeliwa au kadhulumiwa nani si ajitokeze na kama anadai kweli si afate sheria alipwe? Kajipange upya ndio uje tena.

Ajitokeze ili mumpoteze kwa kumchafulia jina Muheshimiwa sana?ni mara ngapi wanyonge wa Nchi hii wanapodai haki zao dhidi ya Mabosi au wenye nazo mwisho wanaishia kunyamazishwa iwe kwa Mahakama,vitisho au kupotezwa kabisa. Sauti za wanyonge wa Nchi wanaozulumiwa na wenye nazo hazitakauka kamwe,iwe Moyoni au hadharani,na Mungu atawapigania na tutaendelea kuwa Mdomo wa Mateso na Maumivu yao.
 
Wewe ndio hauna akili kabisa tena empty set na tena usinifundishe uoga wewe,unataka kuniambia kwa vile ni mgonjwa ndio dhuluma na unyonyaji wake vinafutika?hao anaowadhulumu na kuwanyonya unafahamu maumivu yao au unaropoka na upo kwenye Payrolll yake?

Empty set you mean { }!
 
nampa pole ila kama na yeye anahusika katika huu upuuzi wanaoita bongo movies akipona aache,yale mamichezo yao ya kuigiza wanayoita muvi ni kinyaa kwangu..
 
Ww frank tumia akili nani kathulimiwa? Ajitokeze aseme? No evidence no right to speak. Hao wafanyakazi wake una uhakika gani hawalipwi kwa wakati? Serikali inadaiwa sembuse msama? Makampuni kibao makubwa hawalipwi kwa wakati hamyasemi mnamuona Msama.
Ungekuwa na akili timamu ungekaa kimya kuliko kuandika ujinga wako mtu mgonjwa badala ya kumpa pole unamsema ww unafikiria kwa kutumia Ma------.
Kajipange upya ndio urudi hapa nyoko... Weweeee

Msama ni mmeo?
 
mkurugenzi wa msama promotion,alex msama amepata ajali baada ya gari alilokuwa akisafiria kupinduka wakati akielekea mkoani dodoma.
Pichani kulia ni mwenyekiti wa bongo movie, steve akimjulia hali akiwa amelazwa kwenye moja ya hospitali mjini humo.chanzo:clouds fm

kupe..
 
Huyu jamaa huwa hata simuelewagi na matamasha yake
 
Back
Top Bottom