Yaani,nimeapa nitakufa no hwa jamaa,nshukuru data zangu zote zpo ktk external. Nimeongea na wale maaskari wa parking wanasema jana yke kuna dada kalambwa million 5 alikua ananunua gari toka kwa watu wa design hiyo. Thanks Mkuu.
Mambo mazito leo yamenitokea hapa mlimani city,nilitangaza hapa jamvini kwamba nauza laptop,kuna jamaa mmoja akaniambia kwamba yeye anaitaka.baada ya mawasiliano ya takriban siku 2,leo akanambia tukutane maeneo ya mlimani city,alikuja na mwenzake na carina ya silver yenye namba hizi T443 BHN,baada ya kuangalia mali na kuipenda,jamaa mmoja akasema anaenda ATM kuchukua pesa,ghafla alipofka ndani akanipigia simu niende pale Merry Brown,na me kwa imani na amani nikaacha machine ktk gari yao na yule dereva wake,lakini nikawa na wasiwasi nikaandika kwanza namba ya gari ktk simu then nikaenda,nilipofika pale merry brwn ckumuona jamaa na nikampigia simu akawa ananielekeza kule vyooni,me ckwenda na nikatoka nje nikakuta ile gari yao inatoka kwa kasi,kupiga simu(0719359573) jamaa akawa hapokei na muda si mrefu ikawa haipatikani.then nikawa nimeibiwa laptop yangu kizembe zembe tu.nimeriport hii issue polisi udsm na RB ninayo,nataka ni deal nao slowly na Mungu ni mwema nitawapata wakiwa hai au vinginevyo.
Nikiwa kama mwana jamvi ninayetakia mema wanajamvi wenzangu,nimeleta hili swala hapa kwanza kama tahadhari kwa wale watu wanaouza vitu yasije yakawakuta,pili Jamii Forum iangalie kama kuna measures za kuweza kusaidia hawa matapeli kunaswa kwa kulitafuta hilo gari husika au simcard details na nikipita taarifa ktk PM niweze kushirikiana na mpelelezi kuwatia nguvuni hawa vijana wapenda jasho za wenzao.
Naomba kuwakilisha na Msaada wenu nitaushukuru sana.
Jihadharini Wadau!!
m2mie mpesa,kiasi kiwe kikubwa zaidi ya ulichonacho kwenye acc yako ya mpesa,kuna sms itakuja kukujulisha huna salio la kutosha kwenda kwa ...utapata jina lake..after that waone wenye mtandao anaotumia watakusaidia kumpigia huyo mhalifu kwa ku2mia no yoyote aliyokuwa anawasiliana nayo.
Aisee wewe ni kilaza sana tena hufai kuwa great thinker! Umewagawia Laptop hao jipange ununue mpya
Nashukuru sana mdau, kwa kweli me kosa langu lilikua ni kuwaamini hawa jamaa na pia nimeshafanya biashara mara nyngi tu hapo Mlimani City na sijawahi pata hii zarau na deals zote zilikuwa znaclose pia normally huwa naku na company ila jna niliku mwenyewe tu,naamini kabisa ktk yote ya uzembe,ujinga etc lakini lengo langu ni kujulisha wadau wengine na kuwapa tahadhari wasije fanya mistake kama hii yangu. Kiongozi ningependa kukujuza kwamba Wanaokosea si wote hawana akili ndo maana nikaleta hpa jamvini kwa ajili ya kukosolewa,kusaidiwa,kuelekezwa,na si kutusiwa ya nguoni,I wonder why other people don't understand my courage an desire to help others not be trapped foolishly like this. Thanks for your disappointment character though!!
Mambo mazito leo yamenitokea hapa mlimani city,nilitangaza hapa jamvini kwamba nauza laptop,kuna jamaa mmoja akaniambia kwamba yeye anaitaka.baada ya mawasiliano ya takriban siku 2,leo akanambia tukutane maeneo ya mlimani city,alikuja na mwenzake na carina ya silver yenye namba hizi T443 BHN,baada ya kuangalia mali na kuipenda,jamaa mmoja akasema anaenda ATM kuchukua pesa,ghafla alipofka ndani akanipigia simu niende pale Merry Brown,na me kwa imani na amani nikaacha machine ktk gari yao na yule dereva wake,lakini nikawa na wasiwasi nikaandika kwanza namba ya gari ktk simu then nikaenda,nilipofika pale merry brwn ckumuona jamaa na nikampigia simu akawa ananielekeza kule vyooni,me ckwenda na nikatoka nje nikakuta ile gari yao inatoka kwa kasi,kupiga simu(0719359573) jamaa akawa hapokei na muda si mrefu ikawa haipatikani.then nikawa nimeibiwa laptop yangu kizembe zembe tu.nimeriport hii issue polisi udsm na RB ninayo,nataka ni deal nao slowly na Mungu ni mwema nitawapata wakiwa hai au vinginevyo.
Nikiwa kama mwana jamvi ninayetakia mema wanajamvi wenzangu,nimeleta hili swala hapa kwanza kama tahadhari kwa wale watu wanaouza vitu yasije yakawakuta,pili Jamii Forum iangalie kama kuna measures za kuweza kusaidia hawa matapeli kunaswa kwa kulitafuta hilo gari husika au simcard details na nikipita taarifa ktk PM niweze kushirikiana na mpelelezi kuwatia nguvuni hawa vijana wapenda jasho za wenzao.
Naomba kuwakilisha na Msaada wenu nitaushukuru sana.
Jihadharini Wadau!!