Albert Msando
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 1,019
- 171
Uwazi wa hili jambo ndio linakera wahafidhina!!!!!
Wanataka umma usikie ya upande mmoja tu!!!!!
Asante Msando kwa kuweka kila kitu hadharani na usichoke kila linalojiri weka hewani ili kama haki ikichukua mkondo wake basi asiwepo wa kulaumiwa au kulaumu!!!!!!
Hao wanasheria wenzio wanaojidai kulaumu hapa achana nao kama wana nia ya kweli wangejitokeza kabla hata kushauri tu lakini umeanza wao wanapaka rangi sasa,ni waoga na wasio na uthubutu kama nao sio wahafidhina!!!!!!
Udiwani nini bana; hili la kutishiana kuvuana madaraka kwa kila jambo ndio linafuga wanafiki hapo chamani sababu kwa hili kila mtu atafunga mdomo sababu ukisema wanakuvua madaraka. Kuna vichaka vitatu sasa "vikao halali", "utaratibu wa chama" na "kinyume na wadhifa wake" humu ndio mtikisiko wa chama ulipo!!!!
Vichaka vitatu!!