Albert Msando apotoka tena


Mkuu,

Tangu Msando alipomaliza press conference yake mpaka sasa zimeshaanzishwa thread kama tano hivi. Zote ni za kumshambulia Msando na kumtisha kuwa atavuliwa uanachama.

Wengine wanasema hajaonekana kwenye kata yake mwaka mzima, wengine wanasema ni mtu wa starehe tu, wengine wanahoji anapata wapi pesa. Yaani ni chuki zisizokuwa na msingi kabisa

Watu kama hawa hawafai kukabidhiwa nchi. Watawafanya vibaya watu wenye mawazo tofauti nao.
 

Eti nyie CCM ndiyo watetezi wa Msando.!!

Shame.Tunataka Kadi yetu.
 

Jiwe limetupya kwenye vichaa, akilia aiii ujue limepata kwa hiyo waganga-njaa wote kwishaaa.

Mtaweweseka sana CHADEMA si ya kuchezewa na wala hamung'unyi maeneo, ukipinda lazima uwekwe sawa.

Je joka alikijibua gamba hubaki na nini?
 
Huyo anafanya Kazi aliyotumwa na CCM.

Alaaaa! Asante kunifumbua akili yangu, kumbe wapo katika kuwadhihirishia hao wenzetu kazi waliyotumwa wanaifanya na hii ndiyo verifiable indicator; okay let them be!
 
Mimi nimeliripoti hili jioni hii kwa katibu wake wa mkoa Kamanda Basil Lema

Asante sana.Nadhani Basil Lema ni member hapa JF.

Tunamtaka asome hisia za watu na aone udhalilishaji uliofanyiwa chama leo pale Serena.

Tunamtaka achukue hatua.
 
Last edited by a moderator:
nashindwa kuelewa kwann watu wanapata shida na huyu Alberto kumtetea Zitto.
kwanza kabisa ikumbukwe kwamba wakati Zitto akiwa katibu wa DARUSO Alberto alikuwa ndo spika wa bunge lenyewe so they worked together and become close friends.

ishu ya kwamba kwann anamtetea mimi sion kama kakosea as yeye ametoa msimamo wake na kajieleza kulingana na upeo wa akili yake na kwakua mimi sio mtaalam sana wa sheria sina la kuchangia.

Ishu inayonisumbua mimi ni kwamba hivi kwann nyie CDM mnataka kubrainwash watu?? yaani mwez wote huu ishu ni CDM na zitto wake basi, huyu akiita waandish wa habari huyu atakuja na slaa kapokelewa mara mbowe kasema hivi. Hivi tanzania hatuna mambo mengine ya kujadili badala ya kujadili kataaasisi kama ka CDM ambako kwanza mfumo wake tu wa kuiongoza hautofautian na mfumo wa kuongoza familia??

yaani inaboa sana kila saa cdm cdm bora hata dua la Nyani Ngabu lifike kwamba mpotee wote kwenye uso wa dunia kisha mrudi mkiwa na akili tofauti kidogo
 
hivi mwanasheria na diwani inaishi nyumba za wanaume wezako kama demu inajisikiaje mwanaume kukuoa nyumba ukae bure na kukununulia magari ya kifahari au ni vipi Msando hatukuelewi yaani nyaga anakihudumia kuliko anavyoihudumia familia yake..

Msando nafikiri ni mtandao wa mafreemason, unakumbuka nyaga mawalla alivyowaua watu wengi sana
 
Yaani nyie CHADEMA mnakera sana siku hizi.

Why don't y'all just go away for sometime. Just take time out and disappear from the face of the earth and then come back after a month or two.
Umekasirika kweli mkuu, utakuwa umeudhika kweli kweli!!!!!
 

Hii ni aina ya mawakili wanaoishi kwa kazi ya kuandika Affidavit na hati za kuuziana viwanja.

Nashangazwa sana na Zitto huyu kama kweli ndio wakili wake, kama ni court of law unashindwa kesi hata kabla haijaanza.

Nadhani huyu mtu ameghafirika tu na hajui kama Tundu Lisu ndio Mwanasheria mkuu wa Chadema. Mawakili uchwara kama hawa ndio wanazidi kumpa chati Tundu Lisu.
 
Msando nafikiri ni mtandao wa mafreemason, unakumbuka nyaga mawalla alivyowaua watu wengi sana

Mungi, tangu deal lenu la kuunguza ofisi yenu ili mpate headlines lilivyobaunce naona unaweweseka sana!
 

Lissu na Mnyika walitoa msimamo wa chama kama ilivyo kawaida.Hao wengine ni watuhumiwa walitakiwa kutoa maelezo yao kwenye vikao halali
 

Jibu ni simple tu: anzishe uzi wa hayo mambo mengine tutaujadili bila tatizo,Chadema ni chama cha siasa kinanafasi kubwa ndani ya jamii na sasa ni Talk of the town ndiyo maana na ww umeacha mambo yako nakuja hapa kulalama that mean na ww ni mmoja wa hao hao unaowasema.

"mda mwingine kakaa KIMYA nalo ni jibu"
 
Last edited by a moderator:


Anawafuasi wengi sana wamejiuzuru kwa ajili yake karibu kila mkoa,anawatoa matamko wengi sana karibu kila mkoa,so pls wewe kama mwanasheria wake mshaaulini tu muachane na CHADEMA muanzishe chama chenu na wewe utakua mkurugenzi wa sheria wa chama chenu achanane na hawa wahafidhina.

Pili mtaji tayari mnao na ruzuku uhakika upo maana vijana wenu wenye uhakika wa kupata ubunge ni kama wafuatao,Chagulani Adams atapata Nyamagana,Kashinje Masanja atachukua Shinyanga Mjini,Grayson Nyakalungu ye atachukua Serengeti,Mtela Mwampamba atachukua Mbozi na Habiba sorry Habibu Mchange atachukua Kibaha haya ni majimbo yenye ushindi kwa kishindo na bado jimbo la mwenyekiti Zitto Kabwe Kigoma Kaskazini atachukua kwa ushindi wa Tsunami.
 

Sijajua kama ''amedeclare'' kuwa amefanya hilo kama wakili/mwanasheria na ZZK kama mteja na sio kwa ''capacity'' ya kuwa kiongozi na mwanachama wa CDM. Na kama kuna ombwe kwenye katiba/regulation/sheria/miongozo ya CDM kwenye hilo, lazima liangaliwe maana inachanganya na kuona kuwa ana leta hisia za ''Conflict of Interest'' CHALLENGING his OWN AUTHORITY'', then if its wrong jiuzulu.
 


mkuu, usiumize kichwa na hawa watu

maji wanayanywa, wanachanganyikiwa kumbe Lissu hamna kitu

umeua baba
 

Wenzako wanataka uwaunge mkono Mbowe na Padre slaa...kinyume na hapo wewe utaitwa Mamluki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…