sidhani fika kama unatambua kiudani maana ya neno "wadhifa" kamtafute leo Mh. mzee Clinton umuulize hayo kama pia panaweza kuwa mahala pake?? na je ni lini na wapi panaweza kuwa mahala pake???Na wewe usidandie hii kwa sababu unahisi atakua mpinzani wako huko Moshi Vijijini .Suala la idadi ya wanawake hapa halina mantiki.Jifunze debate acha ushamba wa Kisiasa.
kaa kitako uandike vzr wewe"mngevuviwa" ndiyo nini? Bora kuwa adui wa siku moja kuliko kuwa adui wa miaka52,tunakoelekea nitakukosea heshima bure acha ni obey rules za jf......salute kwako
Safi mkuu.NAOMBA NIKUJIBU KWENYE HIYO RANGI YA UGOLO yenye kuzungumzia udharula wa kuchukua maamuzi na haki ya kusikilizwa. Hizo hoja zingine ulizoziibua hazina mashiko na ziko kiushabiki zaidi kuliko "kweli"
a) Kujulishwa makosa yake kwa maandishi na kutakiwa kutoa majibu katika muda usiopungua wiki mbili.
b) Kupewa nafasi ya kujitetea mbele ya kikao kinachohusika.
c) Mwanachama atajulishwa kwa maandishi uamuzi wa kikao mnamo wiki mbili baada ya kusikilizwa.
d) Kamati Kuu inaweza kuchukua hatua za dharura bila kuzingatia utaratibu (b), (c) hapo juu kama itaona maslahi ya Chama kwa ujumla yanaweza kuathiriwa isipokuwa mwanachama au kiongozi anayelalamikiwa atalazimika kuitwa kwenye kikao husika.
Udharula wa kipengere "d" unauwezo na mamlaka ya kuvunja vipengere "b" na "c" iliyokwenye maandishi ya bluu, lakini kipengere "a" hakijatajwa kwenye kipengere "d" kama kinaweza kuvunjwa na hicho kipengere "d". hicho kipengere "a" ndio msingi wa haki ya kusikilizwa bila kipengere "a" hiyo katiba itakuwa inatoa fursa kwa watu wenye chuki binafsi kama Lema na Msigwa kufukuza wenzao hovyo kila wanapojisikia.
Tena tukizingatia wahusika waliomba kujiuzulu lakini Tundu Lissu kwa kujifanya anajua zaidi au huenda kwa kutumika kwake bila kujua akatoa hoja ya watuhumiwa kuvuliwa nyadhifa zao, basi kuvuliwa huko kwa nyadhifa kunahesabika ni adhabu au hatua za kinidhamu ambazo kwa kutii takwa la kifungu "a" ilibidi zichukuliwe mara baada ya wahusika kupewa mashtaka yao kwa maandishi na kisha wayajibu ndani ya wiki mbili.
Zitto kasomewa mashtaka badala ya kupewa kwa maandishi, lakini mbaya zaidi kasomewa mashtaka siku moja na siku hiyohiyo kajitetea na siku hiyohiyo hukumu ikatolewa kwa wahusika kuvuliwa nyadhifa zao. Hivi kweli huu ndio utawala wa sheria? au hii ni sheria ya wapi? hii ndio demokrasia ya chama chetu cha CHADEMA.
Mbowe kama Lipumba, kwa uongozi wake shupavu ameipaisha CUF na kwa kung'ang'ania madaraka kumeishusha CUF. Maamuzi haya ya kibabe ya kamati kuu kwa vyovyote vile ni sehemu ya utekelezaji wa mkakati wa Mbowe kubaki madarakani kwa kumvunja mbawa mtia nia. Kutangazwa kwa ratiba na tarehe ya uchaguzi siku chache mara baada ya maamuzi haya kibabe ni kiashiria tosha cha maamuzi yale ya kamati kuu ni sehemu ya utekelezaji wa mpango wa mbowe kugombea bila kupingwa na Zitto. Sababu ni ajabu kwa Mwenyekiti na mwanademokrasia kubariki maamuzi haya ya kibabe na yenye kukiuka misingi ya kikatiba na ya haki ya kusikilizwa.
Nia njema huja sanjari na maumivu lakini nia ovu hukabiliwa kwa ustahamilivu, usishue chombo ili hali maji yajaa lakini unaweza kutengeneza kupwa kwa maji, kila jambo lina wakati wake lakini wakati unawezwa kutengenezwa pia, na kivuno cha mdudu chungu leo, kesho huenda ndio shibe yako, naomba haya Zitto Kabwe ayajue na yawe sehemu ya maisha yake.
Pole Zitto Zuberi Kabwe yote yana mungu, dunia ni hino hino, waja na ada zao ni wale wale tandu Adamu {a.s} hadi kwa Muhamad{s.a.w}, kwahivyo hayana budi kuwa midhali ungali chini ya jua. Tema mate chini ili waja waendelee kujilisha upepo kwa kudhani watashibisha matumbo yao yenye njaa ya tamaa, uchu na ung'ang'anizi wa madaraka wenye lengo la kufuta alama chafu za uongozi wao zilizochorwa kwa kalamu ya moto kwenye chuma cha pua.
Wakoloni waliwaita wapigania uhuru waahini na wachochezi, CCM inaimba wimbo kama huo wa kikoloni, lakini la ajabu baadhi ya viongozi wa CHADEMA, aidha kwakuwa watu walioshika mpini hulka zao hufanana au kigeugeu hakina mji wao, nao wameanza kuwaita wapinzani wao katika kuwania uongozi na wakosoaji wao kuwa ni wasaliti, mamluki na kubwa zaidi ni waahini kama vile CHADEMA ni dola kumbe ni chama tu cha siasa.
Njano5.
0655345394
zitto kashaalibu ndoto za vijana wengi sana!
ona sasa kumbe hata kiswahili hujui halafu eti unataka madaraka............rudi kwenye kamusi yako kasome neno VUVIWA lina maana maana gani.
yaani kama ndo memba wa CDM hawa ambao hata pa kukosoa hawajui basi nakupa pole sana .............halafu eti unapita kushabikia CDM viroba na BOSS hivi vitawaua msipokuwa makini
kama kuharibu ndoto za vijana basi chadema wanaongoza.
Godbless J Lema anawafundisha vijana kukataa amani na kutukana majukwaani.
Chadema kupitia redbragad wamewafunza vijana utekaji na uporaji. Refer kuburuzwa na kuibiwa kwa Ludo tsh 60000.
hujajua unenalo zaidi ya nahau, misemo, methali na tamathali zako za semi.NAOMBA NIKUJIBU KWENYE HIYO RANGI YA UGOLO yenye kuzungumzia udharula wa kuchukua maamuzi na haki ya kusikilizwa. Hizo hoja zingine ulizoziibua hazina mashiko na ziko kiushabiki zaidi kuliko "kweli"
a) Kujulishwa makosa yake kwa maandishi na kutakiwa kutoa majibu katika muda usiopungua wiki mbili.
b) Kupewa nafasi ya kujitetea mbele ya kikao kinachohusika.
c) Mwanachama atajulishwa kwa maandishi uamuzi wa kikao mnamo wiki mbili baada ya kusikilizwa.
d) Kamati Kuu inaweza kuchukua hatua za dharura bila kuzingatia utaratibu (b), (c) hapo juu kama itaona maslahi ya Chama kwa ujumla yanaweza kuathiriwa isipokuwa mwanachama au kiongozi anayelalamikiwa atalazimika kuitwa kwenye kikao husika.
Udharula wa kipengere "d" unauwezo na mamlaka ya kuvunja vipengere "b" na "c" iliyokwenye maandishi ya bluu, lakini kipengere "a" hakijatajwa kwenye kipengere "d" kama kinaweza kuvunjwa na hicho kipengere "d". hicho kipengere "a" ndio msingi wa haki ya kusikilizwa bila kipengere "a" hiyo katiba itakuwa inatoa fursa kwa watu wenye chuki binafsi kama Lema na Msigwa kufukuza wenzao hovyo kila wanapojisikia.
Tena tukizingatia wahusika waliomba kujiuzulu lakini Tundu Lissu kwa kujifanya anajua zaidi au huenda kwa kutumika kwake bila kujua akatoa hoja ya watuhumiwa kuvuliwa nyadhifa zao, basi kuvuliwa huko kwa nyadhifa kunahesabika ni adhabu au hatua za kinidhamu ambazo kwa kutii takwa la kifungu "a" ilibidi zichukuliwe mara baada ya wahusika kupewa mashtaka yao kwa maandishi na kisha wayajibu ndani ya wiki mbili.
Zitto kasomewa mashtaka badala ya kupewa kwa maandishi, lakini mbaya zaidi kasomewa mashtaka siku moja na siku hiyohiyo kajitetea na siku hiyohiyo hukumu ikatolewa kwa wahusika kuvuliwa nyadhifa zao. Hivi kweli huu ndio utawala wa sheria? au hii ni sheria ya wapi? hii ndio demokrasia ya chama chetu cha CHADEMA.
Mbowe kama Lipumba, kwa uongozi wake shupavu ameipaisha CUF na kwa kung'ang'ania madaraka kumeishusha CUF. Maamuzi haya ya kibabe ya kamati kuu kwa vyovyote vile ni sehemu ya utekelezaji wa mkakati wa Mbowe kubaki madarakani kwa kumvunja mbawa mtia nia. Kutangazwa kwa ratiba na tarehe ya uchaguzi siku chache mara baada ya maamuzi haya kibabe ni kiashiria tosha cha maamuzi yale ya kamati kuu ni sehemu ya utekelezaji wa mpango wa mbowe kugombea bila kupingwa na Zitto. Sababu ni ajabu kwa Mwenyekiti na mwanademokrasia kubariki maamuzi haya ya kibabe na yenye kukiuka misingi ya kikatiba na ya haki ya kusikilizwa.
Nia njema huja sanjari na maumivu lakini nia ovu hukabiliwa kwa ustahamilivu, usishue chombo ili hali maji yajaa lakini unaweza kutengeneza kupwa kwa maji, kila jambo lina wakati wake lakini wakati unawezwa kutengenezwa pia, na kivuno cha mdudu chungu leo, kesho huenda ndio shibe yako, naomba haya Zitto Kabwe ayajue na yawe sehemu ya maisha yake.
Pole Zitto Zuberi Kabwe yote yana mungu, dunia ni hino hino, waja na ada zao ni wale wale tandu Adamu {a.s} hadi kwa Muhamad{s.a.w}, kwahivyo hayana budi kuwa midhali ungali chini ya jua. Tema mate chini ili waja waendelee kujilisha upepo kwa kudhani watashibisha matumbo yao yenye njaa ya tamaa, uchu na ung'ang'anizi wa madaraka wenye lengo la kufuta alama chafu za uongozi wao zilizochorwa kwa kalamu ya moto kwenye chuma cha pua.
Wakoloni waliwaita wapigania uhuru waahini na wachochezi, CCM inaimba wimbo kama huo wa kikoloni, lakini la ajabu baadhi ya viongozi wa CHADEMA, aidha kwakuwa watu walioshika mpini hulka zao hufanana au kigeugeu hakina mji wao, nao wameanza kuwaita wapinzani wao katika kuwania uongozi na wakosoaji wao kuwa ni wasaliti, mamluki na kubwa zaidi ni waahini kama vile CHADEMA ni dola kumbe ni chama tu cha siasa.
Njano5.
0655345394
Presser ndo kitu gani mkuu? Samahani lakini.
Kweli wewe ni Tatizo.Yaani huoni kuitisha Press na kuropoka mashtaka ya huyo msaliti wako umeivunjia heshima Kamati Kuu?
we rukaruka tu lakini mwisho wa siku utamjua zitto kuwa ni nani kwenye hii dunia na chadema kwa ujumla.
albert msando kamgaragaza vibaya tundu lissu kwenye ulingo wa sheria.
Mwaikenda,
1. Kutetea utawala wa Sheria na tafsiri sahihi ya Katiba yetu ni kubomoa chama? Ndio mimi ni Diwani lakini itakuwa ajabu sana kusema kwamba kumtetea Zitto lazima nijiuzulu kwanza. Mimi sio mjumbe wa Kamati Kuu, Baraza Kuu wala Mkutano Mkuu. Mgongano wa maslahi unatoka wapi? Naweza vipi kuathiri maamuzi ya vikao hivyo?
2. Je marekebisho ya Kanuni ya 2013 yalijumuisha kwamba kukiwa na dharura utaratibu uliotajwa kwenye kipengele (a) usifuatwe? Kwa nini kipengele kilichoongezwa cha (d) kilitaja utaratibu ambao hautafuatwa ni ule wa (b) na (c) peke yake? Hilo unalielezeaje?
3. Kikao cha Kamati Kuu kilikuwa kikao cha dharura? Waraka husika ulikamatwa siku hiyo hiyo ya kikao au jana yake kwa hiyo ikabidi maamuzi ya dharura yafanyike?
Kama ilikuwa ghafla hivyo kwa nini asingesimamishwa uongozi, apewe mashtaka kama Kanuni inavyosema halafu asikilizwe kwa dharura na adhabu itolewe ya kumvua uongozi? Dharura sio haraka kaka.
4. Kupewa taarifa rasmi kwa maandishi na mwenendo kupelekwa Baraza Kuu ni taratibu ambazo lazima zikamilike ili muadhibiwa aweze kukata Rufaa. Ndio maana taarifa ya nia imetolewa ili taratibu hizo zikamilike. Hakuna niliposema nataka mwenendo wa shauri. Tunachotaka ni taarifa rasmi ya maamuzi.
5. Mwenendo unatakiwa umefika Baraza Kuu ndani ya siku 14 toka tarehe 22/11/2013. Je umefikishwa?
Tusijadili kwa jazba na hasira. Mimi kueleweshwa kwa hoja ni mwepesi sana. Fanya hivyo na kama uko sahihi nitaconcede. Lakini sitaconcede kisa tu utasema akili au uelewa wangu mdogo.
Ahsante.
Viongozi wa CDM wanajivunia kua na wanachama MISUKULE.HONGERA MsandoAlberto kwa kumgaragaza Tundu lissu.
Hongera Ludo kwa kumfanya LISU akubali kuwa lwakatare alikuwa ana panga tukio la utekaji.
Mwaikenda,
1. Kutetea utawala wa Sheria na tafsiri sahihi ya Katiba yetu ni kubomoa chama? Ndio mimi ni Diwani lakini itakuwa ajabu sana kusema kwamba kumtetea Zitto lazima nijiuzulu kwanza. Mimi sio mjumbe wa Kamati Kuu, Baraza Kuu wala Mkutano Mkuu. Mgongano wa maslahi unatoka wapi? Naweza vipi kuathiri maamuzi ya vikao hivyo?
2. Je marekebisho ya Kanuni ya 2013 yalijumuisha kwamba kukiwa na dharura utaratibu uliotajwa kwenye kipengele (a) usifuatwe? Kwa nini kipengele kilichoongezwa cha (d) kilitaja utaratibu ambao hautafuatwa ni ule wa (b) na (c) peke yake? Hilo unalielezeaje?
3. Kikao cha Kamati Kuu kilikuwa kikao cha dharura? Waraka husika ulikamatwa siku hiyo hiyo ya kikao au jana yake kwa hiyo ikabidi maamuzi ya dharura yafanyike?
Kama ilikuwa ghafla hivyo kwa nini asingesimamishwa uongozi, apewe mashtaka kama Kanuni inavyosema halafu asikilizwe kwa dharura na adhabu itolewe ya kumvua uongozi? Dharura sio haraka kaka.
4. Kupewa taarifa rasmi kwa maandishi na mwenendo kupelekwa Baraza Kuu ni taratibu ambazo lazima zikamilike ili muadhibiwa aweze kukata Rufaa. Ndio maana taarifa ya nia imetolewa ili taratibu hizo zikamilike. Hakuna niliposema nataka mwenendo wa shauri. Tunachotaka ni taarifa rasmi ya maamuzi.
5. Mwenendo unatakiwa umefika Baraza Kuu ndani ya siku 14 toka tarehe 22/11/2013. Je umefikishwa?
Tusijadili kwa jazba na hasira. Mimi kueleweshwa kwa hoja ni mwepesi sana. Fanya hivyo na kama uko sahihi nitaconcede. Lakini sitaconcede kisa tu utasema akili au uelewa wangu mdogo.
Ahsante.
mwanzoni nilikuwa nakuelewa lakini kwa sasa naona na wewe unaelekea kufanana nao tu, rudi kwenye mstarikila mtu ameshajua chadema watafanya kila njia hili kumfukuza msando na msanso asirudi nyuma.
Chadema kuambiwa ukweli kwao ni kama kumkataza Dr.W.Slaa kukopa.