Albert Msando afunguka kuhusu Zitto Kabwe

Albert Msando afunguka kuhusu Zitto Kabwe

Zitto ajitahidi kujijenga upya,asije akabaki historia kama Dk Amani Warid Kabour!!bado taifa linahitaji mchango wake,alipoteleza anaweza jirekebisha mbeleni na mambo yakamuendea safi tu!
 
Kuna tatizo na hili kama watanzania wako makini inabidi liwe funzo kubwa. Watanzania wanahitaji chama mbadala cha kuwaletea matumaini. Na Mara nyingi pa kukimbilia huwa ni chadema Kwa Kuwa ndo tu chama kikubwa. Watanzania hatuna utamaduni wa kusoma kwani hata katiba yetu mama hatuijui. La hili linatakiwa liwe fundisho kwani wanasiasa ni watu hatari sana duniani kote. Tunahitaji tuzibebe katiba zote tuzisome ili tuzielewe. Chadema imeonyesha kwa namna mbali mbali Kuwa katiba yake imebakwa na viongozi wachache. Basi inaniaminisha Kuwa kwa kuwa sisi si wasomaji kuna kila uwezekano wa Kuwa na vipengele vya kuwaandaa akina Mugabe wa Tanzania kwani wanachama wameshajengewa utamaduni wa ndio mzee. Viongozi hawasemwi na hawaguswi na yeyote. CCM imetutawala na katiba yake tunaijua ila imechafuliwa na viongozi wake. Ni dhahri haina hizo chembe za ukandamizaji. Basi nawashauri watanzania wenzangu tuamke tuzisome katiba za vyama vyetu. Mpaka hapa nashindwa kuamini kwa dunia Ya leo kama kuna chama kinaweza Kuwa na katiba inayokandamiza utafutwaji wa haki. Na tumeshuhudia katiba ikibadirishwa kinyemela ,kwa Kuwa watanzania hawako serious wa nashindwa kupata message inayotumwa na hao wanaotaka utawala.na hii inatakiwa Kuwa message tosha kwani leo wanakandamizwa wanachama kesho utakuwa umma wote wa watanzania.

hivi unataka kutuaminisha kuwa chadema hakuna haki?hivi kama ktb ya chadema ingekuwa inakandamiza haki,kina prf safari,baregu,marando wangekuwa cdm?na ninani aliwahi kulalamika kuwa katiba ya chadema inakandamiza haki?na je chama cha siasa ni chadema tu?kwa nin ukubali kukaa kwenye chama ambacho hakitendi haki?
 
Mwanasheria ambaye pia ni diwani kupitia CHADEMA, Ndugu Albert Msando amehoji yafuatayo;

1. Amehoji je, kama
CHADEMA kinasema ni Cha Kidemokrasia kwanini kinaaamuru Afukuzwe tu kwa kuwa ameenda mahakamani?

2. Amehoji je, ni nani mwenye mandate ya kumvua mwanachama uanachama wake.

3. Je, uamuzi wa kumvua uanachama ulipaswa kutangulia kwa umma au kwa Zitto kwanza?

4. Amehoji je, imekuwaje mtu anayesimamia sakata la Escrow afukuzwe kwa sasa?

5. Amesema pia kuwa Zitto hana haja ya kubaki
CHADEMA kwa kuwa hata akiomba kubaki haitakuwa na mashiko. Pia ameuliza itakuwaje akae meza moja na Tundu Lissu,Wakati Tundu Lissu anatangaza amesema walishamfukuza toka mwaka jana. Naye anaona kuwa Zitto hahitajiki CHADEMA.

6. Pia amesema lengo la kumfukuza Zitto limefanywa kinafiki tu.

7. Amesema kuwa haoni haja ya kulazimisha kila mtu awaze kama Tundu Lissu au Mbowe au Slaa.

9. Pia amesema kuwa mgogoro huu ni funzo kwa Zitto, Wanachadema na Watanzania kujua aina ya viongozi walionao.Pia amesema kuwa migogoro hii isitumike kujenga chuki.

Chanzo: Clouds TV

mkuu naona kma ni hoja nyepesi sana kwa mwansheria haya ni maneno ya udaku na kama ndio anamtegemea antete basi itakuwa imekula kwake
 
Hivi mwanasheria mkumbwa kama msando kesi yake inatupwa kwa swala la jurisdiction..???tangu jana nilianza kua na wasiwasi na shule yake.!!
 
Chadema hatutaki mamluki zito akanunue uchawi mpya kigoma. Tulimdhamini kaleta kiburi sasa atakula jeuri yake. Ahamie ccm ndio kuna mafisadi wezake
 
hivi unataka kutuaminisha kuwa chadema hakuna haki?hivi kama ktb ya chadema ingekuwa inakandamiza haki,kina prf safari,baregu,marando wangekuwa cdm?na ninani aliwahi kulalamika kuwa katiba ya chadema inakandamiza haki?na je chama cha siasa ni chadema tu?kwa nin ukubali kukaa kwenye chama ambacho hakitendi haki?
Hicho kipengere kingekuwa fair Wala tusingekuwa tunaandika humu. Kuweni wasikivu mjitafakari acheni utamaduni wa Kuwa wabishi ni dhahri kipengere siyo fair sasa chama kitashirikianaje na huu muhmili muhmu?
 
Mbona hizo hoja hazitokani na uamuzi wa Mahakama kuu? yeye (Msando) akubali kuwa hakujua au hajui, au alimpotosha Zitto katika kufungua kesi mahakama kuu...
 
Ni chama kibovu kisichokuwa na busara,kina issue nyingi zinafata hadi uchaguzi ufike,hawakutakiwa kukurupuka kuita media na kujigamba,wangeacha ama hizi habari zeleak kwa waandishi,lakini hawana washauri hawa,ni watu wanaopenda matukio na kukimbilia vyombo vya habari. Hii inaweza ikawagharimu sana. Katiba gani hiyo chama ambayo inalinda walioanzisha chama kwa maana ya kuwa ni mali yao,halafu mnadai mnataka katiba bora wakati ya kwenu ni mavi? Hivi nyie wachaga mkipewa nchi si mtawamaliza watu? Ningekuwa mimi Zitto ningewafix vibaya mno. Namshauri Zitto aondoke Ukawa na aende akajenge act,kuna hatari hapo Ukawa,upo na watu ambao ni matapeli ole wako

nikuulize swal,zitto hakushiriki kuandika hyo katiba?wewe na zitto nani anaijua vzr katiba ya chadema?aliwahi kusema wapi kuwa katiba inawalinda walioanzisha chama?
 
Sasa Chadema Si Wamin Tena Km Swala Dogo Km Hilo Walishindwa Kulimaliza Ndan Ya Chama. Ndio Hao Wanaomba Kura Ya Kuongonza Nchi Kwa Binafsi Yng Hata Km Mzee Wa Nyoka Mwenye Makengeza Akiwania Ccm Bora Nitamchagua Kuliko Hawa Chadema. Pamoja Na Zito Kuwa Na Makosa Ilibd Wamhoji Kwanza Kuliko Kumkurupusha 2 Km Ameiba Nan Asiye Kosea Jaman, Km Yupo Anijbu?
 
Sasa Chadema Si Wamin Tena Km Swala Dogo Km Hilo Walishindwa Kulimaliza Ndan Ya Chama. Ndio Hao Wanaomba Kura Ya Kuongonza Nchi Kwa Binafsi Yng Hata Km Mzee Wa Nyoka Mwenye Makengeza Akiwania Ccm Bora Nitamchagua Kuliko Hawa Chadema. Pamoja Na Zito Kuwa Na Makosa Ilibd Wamhoji Kwanza Kuliko Kumkurupusha 2 Km Ameiba Nan Asiye Kosea Jaman, Km Yupo Anijbu?

Hivi unajua mlolongo mzima wa zzk na cdm au unatoka kulala?
 
Kabla ZZK hajatoa maamuzi.....chadema kimefanya. Anazo option mbili: Kujenga act yake au kujiunga na ccm....tena wamteue mgombea urais (wapambe wake watafurahi sana)
 
Mwanasheria ambaye pia ni diwani kupitia CHADEMA, Ndugu Albert Msando amehoji yafuatayo;

1. Amehoji je, kama
CHADEMA kinasema ni Cha Kidemokrasia kwanini kinaaamuru Afukuzwe tu kwa kuwa ameenda mahakamani?

2. Amehoji je, ni nani mwenye mandate ya kumvua mwanachama uanachama wake.

3. Je, uamuzi wa kumvua uanachama ulipaswa kutangulia kwa umma au kwa Zitto kwanza?

4. Amehoji je, imekuwaje mtu anayesimamia sakata la Escrow afukuzwe kwa sasa?

5. Amesema pia kuwa Zitto hana haja ya kubaki
CHADEMA kwa kuwa hata akiomba kubaki haitakuwa na mashiko. Pia ameuliza itakuwaje akae meza moja na Tundu Lissu,Wakati Tundu Lissu anatangaza amesema walishamfukuza toka mwaka jana. Naye anaona kuwa Zitto hahitajiki CHADEMA.

6. Pia amesema lengo la kumfukuza Zitto limefanywa kinafiki tu.

7. Amesema kuwa haoni haja ya kulazimisha kila mtu awaze kama Tundu Lissu au Mbowe au Slaa.

9. Pia amesema kuwa mgogoro huu ni funzo kwa Zitto, Wanachadema na Watanzania kujua aina ya viongozi walionao.Pia amesema kuwa migogoro hii isitumike kujenga chuki.

Chanzo: Clouds TV
Watu wa aina hii ni wakuwaogopa kama ukoma ndio wanaomfanya Zitto ajione keki zaidi ya chama baada ya kujazwa ujinga na watu kama hawa.
 
Hicho kipengere kingekuwa fair Wala tusingekuwa tunaandika humu. Kuweni wasikivu mjitafakari acheni utamaduni wa Kuwa wabishi ni dhahri kipengere siyo fair sasa chama kitashirikianaje na huu muhmili muhmu?

sasa hicho kipengele kimewekwa kwa ajili ya mtu mmoja au ni kwa wanachama wote,na mbona walikipitisha kama hakikuwa fair?
 
Nn maana ya demokrasia?kma swala haljapatikana muafaka ndan ya chama hachukue hatua gan?katiba ya chama ni ya kidikteta nafkria inapnga wanachama kwenda mahakaman il iwakandamize kwa maslai ya wachache.shame chadema


Ajabu ni kwamba Zitto na Msando wake walishiriki kuisimika hiyo katiba yenye kipengere hicho.
 
Back
Top Bottom