St.Peters Oysterbay inapatikana kwa Mamu, Kariakoo
kama upo wasapu weka no yako PM nikutumie fasta.
Kaka kama naeza pata hii album au baadhi ya nyimbo zake pls... Ninao m1 tu, Nakushukuru Baba... Tuwasiliane I can pay a token broMuimbieni Bwana NYIMBO MPYA.. St. PETERS OYSTERBAY, 1992.
Mkuu ni mwaka 1990 sio 1992Mkuu samahani kidogo, hiyo album inaitwa KARIBU TANZANIA BABA MTAKATIFU YOHANE PAULO II imeimbwa mwaka 1992 na kwaya ya SHIKWAKWA Dar es salaam nyimbo zingine ni pamoja na
WEWE NDIWE PETRO
KRISTU MSHINDA
BWANA MFALME
WATEULE WA BWANA
ROHO YANGU
N.K
TunakusubiriNgoja nije nichangie uzi huuu kitaalamu zaidi
safi mkuuNina mpango wa kutengeneza blog au website kwa ajili ya kuweka nyimbo za katoliki za zamani.
Wewe ni MUNGU kila wakati hata mimi wanigusa mnoHakika ben mukasa amejaaliwa kipaji kikubwa. Sana binafsi nikione cd inauzwa iwe ya kwaya yeyote yenye wimbo wa mukasa nanunua. Na hata kwenye simu yangu nmedownload nyimbo zake baadhi
HahahahahahaAisee nyimbo katoliki za zamani zilikuwa bomba mbaya mkuu,kuna wimbo unaitwa nalikuwa nimelala,aagghh ni balaaa,unaamsha ari ya kumpenda kristo,ingekuwa kule kwa wapenda sifa na kujikweza tungesema una upako
Tayari upo! It's good! Japo mimi ni mpenzi wa audio, hasa sauti nzuri ya kinanda.Yan Mukasa ana kipaji cha ajabu.. kuna huu wimbo mpya sijui kama wameshaurekodi unaitwa WEWE NI MUNGU KILA WAKATI. Yan nautafuta kweli yan..
Muzee nataka huu wimbo, nimeutafuta mpaka sasa sijaupata.Njoo nikuuzie muzee
Mwenye mikono safi na moyo mweupe hata hupanda mlima wa bwana,kirumba Mwanza. Mtunzi marehem Karu,ukiimbwa kanisa zima linaimba.
Dah Huyu Benard Mukasa ananikosha rohonyumba ya roho mt kizito...
humo utakuta nyimbo nzito za bernard Mukasa kama YESU NI MWEMA na NYINGINEZO..
album ya NIMEMUONA MUNGU mt kizito