Kuna albamu na nyimbo nyingi sana za kikatoliki, lakini kati ya zote, hakuna albamu ninayo ikubali kama albamu hii iliyotoka mwanzoni mwa miaka ya tisini yenye jina MIMI NIMEWACHAGUA NYINYI DUNIANI. Baadhi ya nyimbo zinazo patikana ndani ya albamu hiyo ni pamoja na :
1. BWANA YESU WANIITA NIWE WAKO.
2. UTUKUFU NA UKUU UNA YEYE BWANA.
3. MIMI NIMEWACHAGUA NINYI DUNIANI.
4. NIMTUME NANI
5. NIMEMKUTA DAUDI na nyingine nyingi.
Nikisikila nyimbo hizi huwa nawakumbuka sana rafiki zangu nilio fanya nao mafundisho pare parokia ya (jina kapuni ), akina Evarist, Cecilia, Consolatha, Benedict, Polycarip, Africanus na wengineo wengi. We unakumbuka nini ? AU ni albamu ipi ama nyimbo zipi za kikatoliki unazo zikubali zaidi?
TUNAKIMBILIA ULINZI WAKO...............