Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,323
- 18,793
Wee binti upo? Achana na yokozuna, gongea nyagi tu
ha ha.......tchaaaa......umenichomoa aisee......
Muda sana......nini shida lakini......?.....
Wee binti upo? Achana na yokozuna, gongea nyagi tu
Ndio maana utasikia watu wamezima. Hata hawa wauza miti shamba, wengi waongo waongo, wanasaga mizizi wananyunyiza dawa za viwandani, ukijichanganya tayari ushakuwa mteja. Na kama presha yako haina stability, ndio utasikia njemba kafia gesti akijiandaa kubanjukadu sasa si watauwa watu viagra si noma?
naifahamu sana,ni salama na tamu kama ushawahi kutumia amarula,ina ladha flani kama ya chocolate hvok nashukuru ila ni salama kwa afya zetu?
Mavi ya mbuzi yanaliwa sana tu kwenye kichuriDah mwisho mtakula mavi ya mbuzi
nataka niuze hii kitu huku kertu="Simon Adebisi,
Mkuu wale mashekh wana unga wao special nasikia wanautoa tanga na unauzwa 5k kwa kifurushi cha robo kilo.Ukiwaona wanapita town waulize wataweza kukuuzia unga.
Mkuu na wewe Ayoub anazingua nini😂😂😂
Signature
I😂😂😂
Nipe hiyo hiyo mkuuunataka recipe.......?.....Mimi ninayo ya yokozuna.......
unataka kurekebishia geto???hebu nisaidie elimu ya utengenezaji wake i mean namna ya kuipika unaweka nini na nini?
HAmna mkuu nataka nichangamkie fursa huku nilipo niuze hiyo kituunataka kurekebishia geto???
Siyo kuwafanya wanaume wa Dar wachape kazi?!Labda ni dawa ya kuongeza nguvu kwa wanaume ili tuweze kuwafyatua vizuri wanawake na kuongeza watoto wengi ili uchumi ukue kama china 😂😂😂😂😂
Labda ngoja waje watuambie.Siyo kuwafanya wanaume wa Dar wachape kazi?!
Mitaa ya hapa Kariakoo kila Kona napisha na vijana wanauza hicho kinywaji pia kinachonishanga Kwa wauzaji wake wote wanavaa kanzu