kimbendengu
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 6,078
- 10,380
AlIY KASUSU
Bwashee ile siyo al kisusio!Ilikuwa mayai ya kware
Sasa hivi mmeletewa hiyo Chai
Wabongo endeleni kupelekeshwa kama maboya
Ova
Hahahaaa.....!AlIY KASUSU
ni AlqasusAlIY KASUSU
Mkishaambiwa oh ukinywa inaonesha ngoma,Bwashee ile siyo al kisusio!
Hali mayau tembele ndugu yake ally kasusu.AlIY KASUSU
Kwaio wewe mtu akila chipsi, mbegu za maboga, akitumia vumbi la Congo, Supu ya pweza unaathirika vipi?Supa ya pweza mara mbegu za maboga mara vumbi la congo,,vijanaume vya dar
Kinondoni,Temeke,ilala,sinza,temeke kote huko unakuta wanaume wamepanga foleni na wanawake wananunua chips yai zege,kila siku
mwili unapataje nguvu za kupiga pumb#
Hata arusha wauzaji wake wote wanavaa suruali fupiMitaa ya hapa Kariakoo kila Kona napisha na vijana wanauza hicho kinywaji pia kinachonishanga Kwa wauzaji wake wote wanavaa kanzu
moja ya ulaji usio faa ni kula chips,ili iwive inanyonya mafuta mengi sana,Kwaio wewe mtu akila chipsi, mbegu za maboga, akitumia vumbi la Congo, Supu ya pweza unaathirika vipi?
Nilikua sifahamu juu ya hayo mambo yahusuyo chips na mayai ya kizungu ila ninafahamu kwamba nguvu za kiume ni swala la life style mfano ukiamka asubuhi unakunywa maziwa + karanga+ mayai ya kienyeji mchana ukala dona+mboga za majani+ matunda jioni vivyo hivyo yani ukaacha kula carbohydrates bali unakawa unakula full meal na pia ukitumia hio cocktail ya asali + vitunguu swaumu + tangawizi + mdalasini mkuu damu inaflow vizuri tu kioa sehemu ya mwili huwezi kua na tatizo la nguvu za kiumemoja ya ulaji usio faa ni kula chips,ili iwive inanyonya mafuta mengi sana,
,inshort
CHIPS lehemu ya mafuta(cholesterol) inayo ganda kwenye mishipa ya damu husababisha maradhi figo,moyo,saratani pia kuongeza uzito wa mwili,
MAYAI ya kisasa yana vijidudu vivyofahamika kama microbe vinavyo mfanya mtu kua mzembemzembe na kukosa nguvu mwilini
kemikali zinazotumika kutengeneza yai la kuku(egg booster) ni nyingi na zote ufyonzwa ndani ya yai la kuku
Kemikali hizo uleta madhara kwa mlaji na kudhoofisha mfumo wa nguvu za kiume,
lkn pia kemikali hizo usababisha wanaume kuwa na makalio makubwa kuota matiti na kulegea viungo vya mwili pamoja[ sauti kulegea]
TOMATO SAUCE balaa pia
SODA ndo unajimaliza zaidi
Tiba ya kwanza ni kubadilisha mtindo wa maisha, namna ya ulaji,mazoezi ya viungo,kunywa maji ya kutosha,kupima afya mara kwa mara.
Simama na asali na mdalasini kila siku,hakuna mechi utapoteza daima
Haizidi karanga mbichi zilizosagwa na kuchanganywa na asali.Habari kuu leo kwenye gazeti linalomilikiwa na serikali ni ile isemayo Al Kasusu yatikisa wanaume.
Naomba aliyesoma gazeti hilo atujuze kama hiyo Al Kasusu ina uhusiano wowote na uchaguzi wa serikali za mitaa au na utendaji wa serikali kwa namna yoyote ile.
Maendeleo hayana vyama!
Nilikua sifahamu juu ya hayo mambo yahusuyo chips na mayai ya kizungu ila ninafahamu kwamba nguvu za kiume ni swala la life style mfano ukiamka asubuhi unakunywa maziwa + karanga+ mayai ya kienyeji mchana ukala dona+mboga za majani+ matunda jioni vivyo hivyo yani ukaacha kula carbohydrates bali unakawa unakula full meal na pia ukitumia hio cocktail ya asali + vitunguu swaumu + tangawizi + mdalasini mkuu damu inaflow vizuri tu kioa sehemu ya mwili huwezi kua na tatizo la nguvu za kiume
Mbona Bar Wadada wahudumu wanavaa Vimini hushangai?🤒Mitaa ya hapa Kariakoo kila Kona napisha na vijana wanauza hicho kinywaji pia kinachonishanga Kwa wauzaji wake wote wanavaa kanzu
Kama ina tangawizi nyingi lazima iliamushe dudeWanaume wa dar kila kitu kinawachanganya. Al kasusu si chai tu hiyo yenye tangawizi nyingi. Nilishawahi kunywa pale arusha stendi kubwa. Haina cha ziada. Mtaliwa hela zenu mkiambiwa ni dawa ya kuongeza nguvu za kiume.
Supa ya pweza mara mbegu za maboga mara vumbi la congo,,vijanaume vya dar
Kinondoni,Temeke,ilala,sinza,temeke kote huko unakuta wanaume wamepanga foleni na wanawake wananunua chips yai zege,kila siku
mwili unapataje nguvu za kupiga pumb#