#COVID19 Al-Jazeera: President Magufuli claims, without evidence, that vaccines against COVID-19 are dangerous

Sizitaki mbichi hizi. Chanjo dola 200 dozi moja, tutaweza kununua . Wafadhili tumeshawafrastrate, miradi ya kimkakati ndo hiyo inademdema.
 
Sizitaki mbichi hizi. Chanjo dola 200 dozi moja, tutaweza kununua . Wafadhili tumeshawafrastrate, miradi ya kimkakati ndo hiyo inademdema.
Napata picha mkuu kuzuia mjadala chanjo $$$$
 
Kwenye hii mapambano ya Covid19, probably makosa pekee ya Magufuli ni kuficha data na kuruhusu wageni wavuke mipaka yetu na kuingia nchini bila haja ya kuonyesha negative test certificates.

Mtu hahitaji kuambiwa na Magufuli avae barakoa au anawe mikono kwa sabuni na kusanitize as many times as possible

Hakuna success story yoyote kutoka kwa Nchi zilizo impose lockdowns, kufunga mipaka na hata hizo chanjo zenyewe

Utalock down nchi au miji until when? Unalock down then unafanya nini - kusubiri beberu apate tiba then akupe msaada?
Mkuu kuhusu data, zimewasaidiaje USA, UK, Italy, France etc. Je, vifo nchini mwao vimepungua kwa sababu ya kuweka data? Au unaweka data kuweka hofu tu?
 
Watulie hatutaki chanjo, hizo chanjo nyengine ni hormones

..sasa kwanini mitishamba tunayotumia serikali haiuzi kwa mabeberu ile tuongeze mapato?

..badala yake bwana mkubwa anatushauri tulime sana ili tuwauzie walioko kwenye lockdown.
 
Kwani kupata chanjo inakufanya usiwe carrier?Kupata chanjo haikufanyi usiwe virus carrier,kwa hiyo kuendelea kuvaa barakoa ni muhimu ili kuepuka kuambukiza wengine.Halafu maswali yangu ya msingi hujanijibu hapo juu!
Kurudi kwenye swali lako la msingi ni kwamba Corona ni jamii ya kifua kikuu!
 
Kama hamjui huku kunaidhihirishia ulimwengu kuwa Tanzania ina watu wasio na elimu na wenye vichwa visivyojua kufanya lolote, intelectual capacity ya hao ma rais na wengine watu wakubwa waliokubali kuchanjwa inaweza ikalinganishwa na yakwetu, wanao washauri wazuri na wenye akili kubwa sana ndio maana walikubali chanjo, sisi tunatoka msituni tunapinga basi tukae kimya tuendelee kuamini vichwa vyetu kama vilivyo. isitoshe mwenye akili yake timamu na mwenye maono na hekima hawezi kungangania madaraka wala kuiba kura ili apite. naishia hapo.

Hujui chochote kinachohusu hii pandemic. Pendeni kusoma aisee mana kila kitu kimeshaandikwa ila kimefichwa Na inahitaji hekima ya kidogo kuelewa
 
Nipo pamoja na Mhe rais Magufuli. Anawawazia mema wananchi wake sema hawamwelewi tu

Wewe unayepiga kelele upo tayari kwa lockdown ambayo haitokuwa na manufaa zaidi ya kuongeza matatizo kwenye jamii?
Tuache ujinga rais yupo sahihi!
 
Wabongo tulizeni mishono, nchi nyingi wanazotoa chanjo,wanatoa kwa raia wao tu,mfano uingereza ni NHS(National Health Service) peke yao ndo wana hizo chanjo,ina maana private hospitals ambazo ndo mgeni anaruhusiwa kutibiwa hawana hizo chanjo.Pia Pfizer na Moderna dozi moja ni $200, na inahifadhiwa katika sehemu za baridi sana,mazingira yake yanahitaji umakini wa hali ya juu kwani iki de frost lazima itumike.
US na Europe kuna shortage ya dose ya hizo vaccine, hivyo watu wa nyungu msiwe na wasiwasi

Sent from my SM-G960F using JamiiForums mobile app

Uko right, Leo Cardb katweet juu ya gharama za kucheck au kupiga iyo chanjo ni around $250 Na monthly anafanya ivo Na team yake Mara 4 Na kadai kuna subtle business inaendelea!
 
Kwa mtaji huu hata ile mambo ya kwake, kanga na mbuzi yawezekana ikawa ni change la macho!

Kama sivyo hali ya dish inaweza kuwa mgogoro.
 
Simameni na raisi. Sisi hatujajiletea corona, tulikuwa tunaendelea na maisha yetu na kukosoana. Hao hao wanaotaka kutupa chanjo ndo waliileta corona. Hapa mm sijali kuwa raisi yupo sahihi kuhusu chanjo au la ninachojua sipo upande wa mzungu sijui mchina katika hili. Huwezi nitupa shimoni halafu unakuja na vikamba kamba unanipa maelekezo jinsi ya mm kutoka shimoni. By the way hakuna atakayeishi milele. MUNGU na atulinde na kuvitunza vizazi vya mtanzania.
 
Back
Top Bottom