Al Badir ni utapeli. Kwanini msimsomee Netanyahu

Lakini Muhamad hajaandika kitabu cha Qur'an, kitabu kiliandikwa miaka mingi baadaye baada ya kifo chake.

By the way Muhamad hakujuwa kusoma wala kuandika.
 
Na Dadake Lissu pale Mahakamani kutupigia mikelele ya YESU YESU YESU unaweza unaweza mbona hakuweza uyo YESU YESU mbona Mwisho Kakake karudi Lupango kusafisha vyooo
vya KEKO

twambie kwaniniYESUYESU hakutaka kufanya miujiza ili Lissu aponyoke KEKO???
Anzisha uzi kuhusu hilo lakini hapa tunanxungumzia albadiri na utapeli wake
 
Muhammad hakujua kusoma Wala kuandika unajua hilo.?
 
Kila muislam anamchukia anamlaani sana ,ni miaka sasa jamaa anawapasua tu kwanini msimsomee afe aache kuwatesa Waislamu wenzenu

USSR
Anayepigana na Nchi za Kiarabu ni Marekani na wala sio Isarael!
Israel ipo pale kwa sababu kituo kikubwa kabisa cha kijeshi cha Marekani kipo pale. Hivyo Marekani ikipiga Nchi Netanyahu kwa ujinga wake anafikiri ni sifa kusema ni yeye amepiga kumbe Marekani ilimuona hamnazo kwa kukubali vita zote za Marekani upande wa Middle East ziendeshwe Nchi kwake na sio Marekani.

Lakini pia hakuna cha Ajabu kwani; Lile eneo la Israel, ni Marekani iliwazawadia mamluki wa kivita walio Isaidia Marekani wakati wa vita kuu ya pili mwaka 1945. Inamaana kabla ya mwaka 1945 hapakuwa na Nchi inayoitwa Israel na ndio sababu hata ukiangalia ramani za kale za Biblia zinataja Nchi ya Palestina kwenye lile eneo. Mtu anayebisha, alete ramani yoyote ya kwenye Biblia iliyo onesha Nchi au eneo linaloitwa Israel!
 
Na Dadake Lissu pale Mahakamani kutupigia mikelele ya YESU YESU YESU unaweza unaweza mbona hakuweza uyo YESU YESU mbona Mwisho Kakake karudi Lupango kusafisha vyooo
vya KEKO

twambie kwaniniYESUYESU hakutaka kufanya miujiza ili Lissu aponyoke KEKO???
Tumia akili. Kwa hivyo kutaja Yesu ndio Nini?.
 
Hakuna unalojua. Unaropoka tu. Kasome historia vizuri ya Israeli.
 
😀😀😀.mtu asiyejua kusoma na kuandika anawezaje kuwa mtunzi?

Mtunzi sio lazima ajue kuandika wala kusoma Yakhee!

Sisi waandishi tunaletewa kazi nyingi na watunzi, tunawaandikia kazi zao. Wao ndio watunzi.

Mwandishi anaweza kuwa mtunzi pia.

Hata Suleiyman hakuwa mwandishi ila aliandika vitabu vingi. Jiongeze

Au kitabu cha Mengi au Mkapa au Ali Hassan unafikiri walianzika wao? Ila wao ndio watunzi
 
Quran imeelezea Hadi habari za mbinguni na maisha ya mwisho wa Dunia kayatoa wapi hayo maneno?
 
Wewe unachanganya siasa, dini na Imani. Ujifunze kutofautisha. Mungu ni wa utaratibu.
 
Acha uongo. Na yule shehe majini au Dk Sulle? Waagua majini.
 
Quran imeelezea Hadi habari za mbinguni na maisha ya mwisho wa Dunia kayatoa wapi hayo maneno?

😄😄😆😁😆

Kwako kumbe kutunga simulizi ni kaI ngumu eeh!

Mwisho wa dunia ni lini?😆😆
Embu acha zako bhana!

Angesema kwamba mwaka fulani kutakuwa na moja mbili Tatu. Tungesema yeah huyu katumwa na Mungu.

Lakini sio kauli za jumla kama ile kauli ya Yesu anasema siku za mwisho maarifa yataongezeka.

Mwisho ni upi? Siku za mwisho ni lini?
Kuanzia mwaka gani tunaweza kuita siku za mwisho zimeanza?

Ikifika mwaka 3000 nao watasema siku za mwisho.

Kuhusu habari za mbinguni za kuzimu hata mimi naweza kutunga tena kwa kiwango cha ajabu kuliko za Quran na Biblia.

Mtunzi yeyote anaweza kufanya hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…