Mtoa mada umejeruhi hisia zangu.
Kua 30 bila ndoa umenihukumu kua
Nina tabia chafu, sina haki ya kuitwa mama mwenye nyumba, hadhi yangu ni kufunikwa na kufunuliwa, ni mbaya sina mvuto wa sura...
Dah... imeniuma sana. Nawaza kama ndivyo jamii ituonavyo MUNGU awe Wakili wetu.
Maisha yana changamoto nyingi, mahusiano pia yana changamoto zake.
Ila katika yote namshukuru Mungu anaetupa pumzi, furaha na Amani.
pole sana, Mungu ni mwaminifu, mtoa mada nazani hana dada wala ndugu wa kike, hana hisia za kujali wanawake, ila usijali, malipo ni hapa hapa duniani, ombea mema wanaokuudhi. Mwanadamu hata akikuonaje cha msingi ukumbuke wewe ni wa thamani machoni kwa Mungu. Pole kwa majeraha.Mtoa mada umejeruhi hisia zangu.
Kua 30 bila ndoa umenihukumu kua
Nina tabia chafu, sina haki ya kuitwa mama mwenye nyumba, hadhi yangu ni kufunikwa na kufunuliwa, ni mbaya sina mvuto wa sura...
Dah... imeniuma sana. Nawaza kama ndivyo jamii ituonavyo MUNGU awe Wakili wetu.
Maisha yana changamoto nyingi, mahusiano pia yana changamoto zake.
Ila katika yote namshukuru Mungu anaetupa pumzi, furaha na Amani.
duu siku hizi mawe yanazidi humu ndani
Huyo mama ni aibu tupu hata sijui kama anaweza kukaa meza moja na first lady wa Bongo.Jamani Kenya wanahitaji maombi ya nguvu aisee!!
Unajua kuna magonjwa ya psyche ambayo nadhani huyu mama anayo lakini kwa vile ni mke wa 'Rais' basi hapelekwi hospitali...kila kitu ni hush hush.
mapenzi mi nimestaafu kidogo for now...shaurilo ukute mkeo mtarajiwa ana 35...maisha yanamkuta kila mtu in a different way
How is monile for every body: Leo nmeona niwape vipande vyao hawa akina dada kuanzia umri wa miaka 30 na kuendelea ambao bado hawajaolewa, utakuta mdada mtu mzma kabisa ana umri wa miaka zaidi ya 30 anatafuta wanaume wa kumuoa kwa kuweka mashart lukuki tena magumu.
Mara nataka mwanaume handsome,mcha Mungu, mwenye elim ya degree, awe ameajiliwa au anabiashara.
Nabaki kuwashangaa sana nyiyi viumbe, unataka mwanaume mcha Mungu je ww ni mcha mungu? Ungekuwa na tabia nzuri ungefikisha umri huo ukiwa nyumban?
Tambua kuwa kitendo cha kufikisha miaka 30 nyumban na huna mume maana yake tabia yako ni chafu hauna hadhi ya kuitwa mama mwenye nyumba au mke wa flan ila hadhi yako ni funuliwa funikwa. Unataka mwanaume handsome ww ni handsome?
Kitendo cha ww kuzeekea nyumban maana yake ww ni mbaya huna mvuto wa sura wala tabia ila utakuwa wa kumalizia haja tu kwa wapita njia.
Wazuri wote wapo kwenye ndoa zao. Utakuta mwingne alizalia nyumban halafu anakuja naye na sifa zake et nataka mwanaume mnyenyekevu na ambaye hajawai kuoa nyambaaafu ww umezalia nyumban halafu leo unataka mwanaume ambaye hajawahi kuoa for what?
Mm nawaambia msijidanganye hata kidogo, mkitaka masharti hayo mtaishia kufunuliwa tu mpaka akili ziwakae sawa.
KWAHERINI
Hivi hakuna maisha bila kuolewa?
Wanaume mwapenda nyie ndo mchague tena kwa masharti na vigezo lukuki na siyo mwanamke kuchagua apendacho??