Akina dada msijidanganye

Akina dada msijidanganye

Mgiriki are you pointing on your EX or what. Acha kusema wanawake ovyo. Inakera. Mbona nyie mnawekaga vigezo? kama haupo tayari kuoa pishaa, na kama ushaoa tulia name mkeo, let people surf Love.
 
Mgiriki are you pointing on your EX or what. Acha kusema wanawake ovyo. Inakera. Mbona nyie mnawekaga vigezo? kama haupo tayari kuoa pishaa, na kama ushaoa tulia name mkeo, let people surf Love.

nmekusoma mkuu........ Ila kama hujawahi kukutana na selective sawa unaweza kunilaumu lakn kama ungekutana nao wala usingelaumu. Wao ndio wanaongoza kuchagua tena wao ndio wanalalama
 
so unataka wawe zoa zoa yeyote twende kisa age inasoma 30 mmmmh hapana hata wakiwa wanafunuliwa papuchi ni yao au yako??? kikukeracho kipi mmengekuwa pacha mlioungana nisingeshangaa otherwise umevurugwa somewhere

Yamekukuta si bure.
 
Kuna maisha mazuri na matamu kuliko hiyo ndoa mfyuuuuuuuuu...... eti kisa na miaka 30 ndiyo nichukue makapi nani kasema lazima ukidhi vigezo na mashart nyooooooo..... 30 mtuache eti ndoa ... ndoa zenyewe mnaziweza peleka huko pumbafu kabisa


Khaaaa yaani wewe umeuliza swali langu.. Ndoa wanaziweza? au basi tu ajulikane ameoa
 
haahahha...kwikwikwikwi.......jamanieeee, mbavu zangu, huu uzi nauprint nikaubandike geto...dah. mgirik we acha , mimi nilimbiwa niende jim kwanza eti angalau niwe na tumisuli kidogo. Dah Mateso haya

Uliambiwa na yule demu alikua anataka akasomee drvin???au???
 
Lazima ukweli uchukuwe mkondo wake! Sasa mwanamke akiwa kwenye 30's na hajaolewa wala kupata mtoto wataalamu wanasema kuna uwezekano mkubwa wa kuzaa watoto wenye mtindio wa ubongo au watoto wasiofundishika yaani mayai yenye rutuba yalishaisha jamani dada zangu mlio kwenye umri huu hala hala jameni tupunguzieni mataahira mashuleni!
 
How is monile for every body: Leo nmeona niwape vipande vyao hawa akina dada kuanzia umri wa miaka 30 na kuendelea ambao bado hawajaolewa, utakuta mdada mtu mzma kabisa ana umri wa miaka zaidi ya 30 anatafuta wanaume wa kumuoa kwa kuweka mashart lukuki tena magumu.

Mara nataka mwanaume handsome,mcha Mungu, mwenye elim ya degree, awe ameajiliwa au anabiashara.

Nabaki kuwashangaa sana nyiyi viumbe, unataka mwanaume mcha Mungu je ww ni mcha mungu? Ungekuwa na tabia nzuri ungefikisha umri huo ukiwa nyumban?

Tambua kuwa kitendo cha kufikisha miaka 30 nyumban na huna mume maana yake tabia yako ni chafu hauna hadhi ya kuitwa mama mwenye nyumba au mke wa flan ila hadhi yako ni funuliwa funikwa. Unataka mwanaume handsome ww ni handsome?

Kitendo cha ww kuzeekea nyumban maana yake ww ni mbaya huna mvuto wa sura wala tabia ila utakuwa wa kumalizia haja tu kwa wapita njia.

Wazuri wote wapo kwenye ndoa zao. Utakuta mwingne alizalia nyumban halafu anakuja naye na sifa zake et nataka mwanaume mnyenyekevu na ambaye hajawai kuoa nyambaaafu ww umezalia nyumban halafu leo unataka mwanaume ambaye hajawahi kuoa for what?

Mm nawaambia msijidanganye hata kidogo, mkitaka masharti hayo mtaishia kufunuliwa tu mpaka akili ziwakae sawa.

KWAHERINI

Kama hiii
 

Attachments

  • 1406232677931.jpg
    1406232677931.jpg
    11 KB · Views: 206
Inawezekana wewe ni mwanaume unayejitunza na kujiheshimu na mimi pia nikawa hivyo ivyo!
Problem inakuwa Mimi mwenye sifa hizo sina nafasi ya kukuchagua au kukuambia uniwowe! Hii ni tofauti yetu! So mi ni kama nyanya sokoni napigwa na jua weeee mpk mnunuzi aje kuninunua! Tena nyanya zipo nyingii weee zenye ubora unaofanana! Ni kumuomba Mungu hatuna ujanja!

Hili ndo jibu mujarabu.
 
Back
Top Bottom