Akina dada msijidanganye

Akina dada msijidanganye

.... Kajambe huko....
Aliyekwambia mwanamke akifikisha miaka 30+ au akizaa hana choices nani? Life is all about happiness. How can you be happy without choosing what you want in life.

Eti umezalishwa nyumbani halafu una masharti magumu. Mkeo ulimkuta na bikira. Mkeo naye si alifunuriwa na kufunikwa, mbona umebeba mzigo bila kujiuliza yote hayo.

Mtoa mada kama ulijaribu mahali na haukufikia vigezo, jipange upya kaongeze elimu, tafuta hela maana ndio mpango mzima. Chipsi kuku sio issue kwa sasa labda kwa wanafunzi.

Wenye 30+ wengi wana maisha yao, ndio maana vigezo na masharti kuzingatiwa. Mtu hawezi kuolewa na yeyote. Dogo nakushauri jipange. Vinginevyo utabweka sana. Povu litakutoka mpaka utapaliwa.
 
Duuhh naona waliokata maringi wanavyotapa tapa...!!
 
.... Kajambe huko....
Aliyekwambia mwanamke akifikisha miaka 30+ au akizaa hana choices nani? Life is all about happiness. How can you be happy without choosing what you want in life.

Eti umezalishwa nyumbani halafu una masharti magumu. Mkeo ulimkuta na bikira. Mkeo naye si alifunuriwa na kufunikwa, mbona umebeba mzigo bila kujiuliza yote hayo.

Mtoa mada kama ulijaribu mahali na haukufikia vigezo, jipange upya kaongeze elimu, tafuta hela maana ndio mpango mzima. Chipsi kuku sio issue kwa sasa labda kwa wanafunzi.

Wenye 30+ wengi wana maisha yao, ndio maana vigezo na masharti kuzingatiwa. Mtu hawezi kuolewa na yeyote. Dogo nakushauri jipange. Vinginevyo utabweka sana. Povu litakutoka mpaka utapaliwa.

mmmmh! Mbona povu bibie halafu mm sio dogo. Hapo lazma jiwe limetua utosini......... Punguza Munkari mkuu kama hela niliitafuta na bado naitafuta......... Hata mm staki waliokata ring
 
Last edited by a moderator:
.... Kajambe huko....
Aliyekwambia mwanamke akifikisha miaka 30+ au akizaa hana choices nani? Life is all about happiness. How can you be happy without choosing what you want in life.

Eti umezalishwa nyumbani halafu una masharti magumu. Mkeo ulimkuta na bikira. Mkeo naye si alifunuriwa na kufunikwa, mbona umebeba mzigo bila kujiuliza yote hayo.

Mtoa mada kama ulijaribu mahali na haukufikia vigezo, jipange upya kaongeze elimu, tafuta hela maana ndio mpango mzima. Chipsi kuku sio issue kwa sasa labda kwa wanafunzi.

Wenye 30+ wengi wana maisha yao, ndio maana vigezo na masharti kuzingatiwa. Mtu hawezi kuolewa na yeyote. Dogo nakushauri jipange. Vinginevyo utabweka sana. Povu litakutoka mpaka utapaliwa.

Alf awa ni wale wanafunz usikute h shule bd hazjafunguliwa jmn ..
walimu wao wanakaz kwa kwel
 
Ahsante! Mimi si mwanaume na hivyo uchaguzi wa a life partner hauwezi kufanana na wako! Wewe unaangalia uvumilivu ili kupata atakaye suit your economy! To me nahitaji a responsible man atakaye provide security including financial stability!
Kwangu Elimu ni kigezo muhimu pia sababu nitaishi na mtu mwenye upeo wa mambo unaolingana! Isitoshe education inaongeza skills, and when skill is put to work, it creates wealthy, where there was poverty.
Sasa siwezi kuolewa tu na mwanaume yeyote tu ili kutimiza ndoto za mashabiki wa pembeni ambao hawataishi ndani ya ndoa na mimi! Sorry kama nimekukwaza!

sorry ya nn??wewe mupe yake azid kukwazika sis mbn wanatukwaza umu
 
mmmmh! Mbona povu bibie halafu mm sio dogo. Hapo lazma jiwe limetua utosini......... Punguza Munkari mkuu kama hela niliitafuta na bado naitafuta......... Hata mm staki waliokata ring

Ha ha ha ha.
Nimekuita dogo maana naona umefikiri chini ya kiwango.
Basi kama kwenye kundi la ' dogo' haupo itakuwa thinking capacity ni ndogo ama exposure ndogo, sina uhakika sana na lililokusibu moyoni mpaka ukaamua kuandika huu uzi.

Anyways habari ndio hiyo. Natumai mawazo yangu na ya wengine kwa kiasi fulani yatakuwa yamekusaidia kukutoa kwenye mawazo mgando uliyokuwa nayo.
Thankx
 
291]Alf awa ni wale wanafunz usikute h shule bd hazjafunguliwa jmn ..
walimu wao wanakaz kwa kwel[/QUOTE

MadameA mwanafunzi!!!!!! Ha ha ha ha
Kusoma hujui hata picha huoni. Ntake radhi dogo.
 
Hii kali mkuu Mgirik nani amekutibua? Mbona siyo kawaida yako kuandika ukorofi@?
 
Last edited by a moderator:
so unataka wawe zoa zoa yeyote twende kisa age inasoma 30 mmmmh hapana hata wakiwa wanafunuliwa papuchi ni yao au yako??? kikukeracho kipi mmengekuwa pacha mlioungana nisingeshangaa otherwise umevurugwa somewhere

Naona neno limekugusa, sidhani kama alikuwa na maana ya zoa zoa, ni kwamba usiweke vigezo vikubwa ambavyo ni wazi hata wewe ulivishindwa.
 
du! hivi maisha ni kuolewa? usipoolewa hauishi???

Usipoolewa bado utaendelea kuishi, lakini itakuwa na maana ya kwamba wewe ni mzinifu mzuri sana na hautaaminika sehemu nyingi sana kutokana na tabia yako ya uzinzi.
 
mmezidi kuwasema dada zetu jaman! yani kila leo ni mada kuhusu wadada wenye 30 halafu hawajaolewa! sio vizuri jaman huwezi kujua mtu kapitia changamoto gani had hajaolewa, na watu wengne wameolewa lakini maisha yao ni magumu maelezo hakuna wakati kuna wengine hawajaolewa lakini wanaendesha maisha yao vizuri! kuolewa sio kwamba ndio ndoto zako zimetimia au zitatimia.

FYI, kuoa/kuolewa ni moja ya mafanikio katika maisha ya binadamu.
 
dah! Kuna baadhi wanamashart hao mpaka unajiliza huyu mwili wake wa dhahabu?

Mkuu kuna wengine kwanza sura "F" tabia"F" shape "F" Umri 32, afu wanaringa sana mimi mpaka najiuliza hivi hawa wana K.za almasi????
 
Mmmmmh
sipendi thread za aina hiii!
Kwann uko sooo negativr towards women?
Walikukosea nini?
Acha kutumia maisha yako kama kioo cha maisha ya wengine!
Aliyekwambia wanaolewa kwa uzuri wa sura nan?
Aliyekwambia wanaoolewaa wote ni wacha Mungu nani?

Jifunze kutulia na kusoma kwa makini, NGUO YA MTUMBA NA YA DUKANI HAZIWEZI ZIKAFANANA BEI!!!!!!!!!!!
 
Mmmmmh
sipendi thread za aina hiii!
Kwann uko sooo negativr towards women?
Walikukosea nini?
Acha kutumia maisha yako kama kioo cha maisha ya wengine!
Aliyekwambia wanaolewa kwa uzuri wa sura nan?
Aliyekwambia wanaoolewaa wote ni wacha Mungu nani?

Haujamuelewa mtoa mada jifunze kusoma kwa makini na utulivu, NGUO YA MTUMBA NA YA DUKANI HAZIWEZI ZIKAFANANA BEI!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
mmmmh! Mbona povu bibie halafu mm sio dogo. Hapo lazma jiwe limetua utosini......... Punguza Munkari mkuu kama hela niliitafuta na bado naitafuta......... Hata mm staki waliokata ring

Una lolotee watu tuna 30 zetu na bado tunachagua, umri si kigezo cha nisombwe na mzoga
 
Last edited by a moderator:
Usipoolewa bado utaendelea kuishi, lakini itakuwa na maana ya kwamba wewe ni mzinifu mzuri sana na hautaaminika sehemu nyingi sana kutokana na tabia yako ya uzinzi.

Na mimi nikulize swali lingine. Hivi usipoolewa ni lazima uwe mzinzi? Hakuna maisha bila uzinzi?
 
Back
Top Bottom