IamJackReacher
JF-Expert Member
- Apr 1, 2018
- 299
- 395
noma ni wale wanakaribishwa sehemu alafu kila nusu saa unasikia rafiki yangu anakuja, mara dada yangu...
sasa dada mtu akifika, unabaki kuangaliana na washikaji kwani ni kama sio ndugu kabisa!
umenikumbusha mbali 🙌
sasa dada mtu akifika, unabaki kuangaliana na washikaji kwani ni kama sio ndugu kabisa!
umenikumbusha mbali 🙌