🤣🤣🤣🤣🤣Madada wengi wana hii tabia. Mimi kwa hasira huwa natoroka
Bado shida ipo kwako.unapenda waleviMimi ninae nunua bia nina bia moja, anaenunuliwa ana bia tatu,huu ni uungwana?
Anagida biere kama paka MWIZI hlf wew mwombe 'kitu' uanze kusikia lundo la visingizioMtu anakuita au unakutana nae baa anakuambia kwa roho nyeupe agiza bia ili mpige story na kupeana kampani cha ajabu unaanza kunywa kama unamkomoa kisa tu umepata offer ya bure.
Bia moja unapiga fundo tatu umemaliza ili kumkomoa mtu aliyekupa offer. Huu ni ushamba mkubwa sana. Ndio maana watoto wa kihuni huwa wanawaachia manyoya.
poleeeh sana, tafuta pesa acha kulia lia lol.Pesa ninayo ya kutosha, ila tabia kama yako ya kunywa bia kama unakunywa chimpumu ndio sikuiipenda
muambieni ukweli huyu mwenzenu,Kwa mujibu wa maandishi yako wewe ndiyo una matatizo mkuu. Unatambua kwamba huna hela halafu unampa mtu offer? Tafuta pesa mkuu acha kupenda mali za wenye pesa.
narudia tena, tafuta pesa tena kwa nguvu zote, acha kulia lia, hizi porojo nyingine hazina maana yeyote.We fala nini? Nitafute pesa mara ngapi? Ipo siku utakunywa bia za wahuni alafu watatindua mbele na nyuma.
muambieni ukweli huyu mwenzenu,
Halafu sasa kuambiwa ukweli hataki,Tatizo ni pesa ndiyo inamsumbua. Sidhani kama anaweza kumtoa out mpenzi wake hata akampleka sehemu za gharama anbazo bill ikija ni laki tatu, nne etc.
Hilo ni tatizo lingine tena. Ujue tatizo la wavulana hupenda kutunisha misuli yao midogo ili nao waonekane Wanaume. Wakati hawajui ni mishale mingapi wanaume tulipitia mpaka kuwa financial stable. Hata tunapoenda sehemu hatuombi menu or whatever but tunaagiza tu.Halafu sasa kuambiwa ukweli hataki,
Aisee hii ilinitokea siku moja nimemualika mrembo sehemu wala sikua na nia nae. Nashangaa mamsi kaagiza li wine gani sijui chupa wanauza 60,000. Aisee nilimuangalia sikumpatia jibu yule dada na ndio ikawa mwanzo na mwisho.Una bahati ,kuna mwingine snapiga chupa Tatu za wine @tsh. 27,000 na kuku mzima tsh 20,000
Kwani ishu ni kulipa bill au ushamba wa mtu kunywa bia kama anafukuzwa? Tumia akili basi.Hilo ni tatizo lingine tena. Ujue tatizo la wavulana hupenda kutunisha misuli yao midogo ili nao waonekane Wanaume. Wakati hawajui ni mishale mingapi wanaume tulipitia mpaka kuwa financial stable. Hata tunapoenda sehemu hatuombi menu or whatever but tunaagiza tu.
Hamna kitu hapo mkuu. Unataka anyweje hiyo bia sasa? Kama alikuwa na kiu? Tatizo ni pale unapompa mwanadada ofa halafu unakuta unaagiza bia moja moja tena kwa kunungunika. Kama umeamua kumpa offer muache anywe mpaka aombe msamaha mwenyewe.Kwani ishu ni kulipa bill au ushamba wa mtu kunywa bia kama anafukuzwa? Tumia akili