T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,929
- 30,075
Hahahahahaha dah nimecheka sana kwa kweliNdio hivyo mkuu mijitu ya uku ina mambo ya ajabu,,,,hata ukiipiga na ndomu utasikia kesho inakuambia ina Mimba.
Hahahahahaha dah nimecheka sana kwa kweliNdio hivyo mkuu mijitu ya uku ina mambo ya ajabu,,,,hata ukiipiga na ndomu utasikia kesho inakuambia ina Mimba.
ha ha ha haAnatakiwa atoe hadi bulb aondoke nazo
Atakuwa MUHA huyo maana ndo mitabia yao..
Unampenda mtu hana hata godoro unategemea nn??
Nilipokuoa ulinikuta na kila kitu.
Si vyombo,
Si vifaa,
Si bidhaa,
Vyote.
Ni vya kwangu na pengine pia wewe ila kama utakuwa wangu.
Leo tumekosana unazoa vyote na kwenda navyo kwenu!
Tena nikiwa kazini bila hata taarifa.
Vyumba vyote umesafisha!
Hata nguo zangu umebeba.
Na nyinyi wakwe hata aibu hamna?
Mtakubali vipi vyombo viingie nyumbani mwenu?
Huu ni uungwana?
Bahati yako huyo jamaa hapendi maneno mengi.
Ingekuwa mimi, SUBUTU!
Kwani hiyo ndio permit ya kuzoa?
Na wajita zao ni zipi
Anatakiwa atoe hadi bulb aondoke nazo
hawa waha ndo zao kama kuna mtu anabisha aseme nije na ushahidi hapa..