Akina dada huu si uungwana

Akina dada huu si uungwana

Hahaha. Sasa si ndio alichovuna kwako? Kabeba masufuria na vijiko?
 
Pole.Ukute ulikuwa unamnyanyasa navyo kwa kumsimanga wakati mnagombana akaamua kukukomesha.
 
Nilipokuoa ulinikuta na kila kitu.
Si vyombo,
Si vifaa,
Si bidhaa,
Vyote.
Ni vya kwangu na pengine pia wewe ila kama utakuwa wangu.

Leo tumekosana unazoa vyote na kwenda navyo kwenu!
Tena nikiwa kazini bila hata taarifa.
Vyumba vyote umesafisha!
Hata nguo zangu umebeba.

Na nyinyi wakwe hata aibu hamna?
Mtakubali vipi vyombo viingie nyumbani mwenu?
Huu ni uungwana?

Bahati yako huyo jamaa hapendi maneno mengi.
Ingekuwa mimi, SUBUTU!


Ulioa kibaka mkuu...
 
bora huyo wengine wanakutoa roho kabisa ili wabaki na mali
 
Haaa haaa haaa haaa.... nimecheka sana. Maana na mimi yamenikuta kwa MUHA. Ni hatare..... alikuwa ana ng'ang'ania hadi vifaa vya ofisi kama computer, Camera na decorder nilizokuwa nafanyia kazi.
 
Back
Top Bottom