Kiluuj
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 692
- 277
Nilipokuoa ulinikuta na kila kitu.
Si vyombo,
Si vifaa,
Si bidhaa,
Vyote.
Ni vya kwangu na pengine pia wewe ila kama utakuwa wangu.
Leo tumekosana unazoa vyote na kwenda navyo kwenu!
Tena nikiwa kazini bila hata taarifa.
Vyumba vyote umesafisha!
Hata nguo zangu umebeba.
Na nyinyi wakwe hata aibu hamna?
Mtakubali vipi vyombo viingie nyumbani mwenu?
Huu ni uungwana?
Bahati yako huyo jamaa hapendi maneno mengi.
Ingekuwa mimi, SUBUTU!
Si vyombo,
Si vifaa,
Si bidhaa,
Vyote.
Ni vya kwangu na pengine pia wewe ila kama utakuwa wangu.
Leo tumekosana unazoa vyote na kwenda navyo kwenu!
Tena nikiwa kazini bila hata taarifa.
Vyumba vyote umesafisha!
Hata nguo zangu umebeba.
Na nyinyi wakwe hata aibu hamna?
Mtakubali vipi vyombo viingie nyumbani mwenu?
Huu ni uungwana?
Bahati yako huyo jamaa hapendi maneno mengi.
Ingekuwa mimi, SUBUTU!