JS
JF-Expert Member
- Sep 29, 2009
- 2,064
- 499
Wadau, hili swala kwa kweli linanikera sana na mbaya zaidi siku haiezi isha bila kuona mtu anajisaidia haja ndogo pembezoni mwa barabara au kwenye tairi ya daladala.
kuna jumamosi moja nilikuwa mitaa ya ubungo kwenye foleni pale mchana jua kali kweli kama saa 9 hivi. pembezoni mwa usafiri niliokuwemo nao, kulikuwa na daladala imesimama inasubiri kwenye foleni. mara kijana mkubwa tuu katokea huko anakotoka kasimama mbele yetu akaanza kuchomoa jogoo pale pale na watu tunamwona. akakojoa kwenye tairi la ile daladala kwa takribani dakika 3 ilikuwa haja ndefu kweli. kitendo hicho kilinikera, kilinikasirisha sana nikatamani nifungue kioo nimgombeze lakini nikaacha kuogopa maneno na mtu huyu.
kwani mtu huezi vumilia ukaenda sehemu yenye cho cha kulipia au ingia jengo lolote omba choo upewe ujisaidie? hata jzi pia pale posta mkaka mwingine kafanya hivyo hivyo.
mna shida gani wanaume hamuezi bana huo mkojo??halafu mwisho wa siku mnanalamika jiji letu chafu wachafuzi nyie wenyewe. mnaudhi sana sana sana!!!!!!
Nawasilisha mada.
kuna jumamosi moja nilikuwa mitaa ya ubungo kwenye foleni pale mchana jua kali kweli kama saa 9 hivi. pembezoni mwa usafiri niliokuwemo nao, kulikuwa na daladala imesimama inasubiri kwenye foleni. mara kijana mkubwa tuu katokea huko anakotoka kasimama mbele yetu akaanza kuchomoa jogoo pale pale na watu tunamwona. akakojoa kwenye tairi la ile daladala kwa takribani dakika 3 ilikuwa haja ndefu kweli. kitendo hicho kilinikera, kilinikasirisha sana nikatamani nifungue kioo nimgombeze lakini nikaacha kuogopa maneno na mtu huyu.
kwani mtu huezi vumilia ukaenda sehemu yenye cho cha kulipia au ingia jengo lolote omba choo upewe ujisaidie? hata jzi pia pale posta mkaka mwingine kafanya hivyo hivyo.
mna shida gani wanaume hamuezi bana huo mkojo??halafu mwisho wa siku mnanalamika jiji letu chafu wachafuzi nyie wenyewe. mnaudhi sana sana sana!!!!!!
Nawasilisha mada.