stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 15,832
- 22,940
Jamaa yangu kanilalamikia anadai kuwa yeye huwa anapokuwa kwenye mechi huwa anachelewa sana kufika kileleni kitu kinachomfanya mke wake amalize kiu yake kabla ya yeye hajafika na akisha-climax tu hataki tena mechi,mpaka zipite siku mbili au tatu kiasi cha kwamba imefikia jamaa kuamua kujichua ili kukata kiu yake maana anogopa kwenda nje ya ndoa anaweza akaliokota gonjwa,hebu nipeni maujuzi hapa jamaa yangu atumie mikakati gani walau awe anatoa droo kama sio kuwahi kabla mkewe hajafika mwisho.