Akili ya binadamu

Asante nimekupata vizuri kabisa. Vipi unaweza kuelezea kuhusu conscious mind na subconscious mind japo hata kidogo in relation to brain?
Kwanza kabisa inabidi ujue kazi za ubongo , zimegawanyika ktk makundi makuu mawili
  1. Kuratibu matendo ya hiari~ambayo wewe unaamua mwenyewe kwa kujipangia mfano kutembea, kukaa, kuingia JF, Kwenda pub kunywa bia n.k
  2. Kuratibu matendo yasiyokuwa ya hiari~mfano mapigo ya moyo, blood pressure, kasi ya kuvuta hewa kwenye mapafu n.k
Kazi namba moja inaingiliana na counsious mind, kazi namba mbili inaingiliana na uncomscious mind, hapa kitu kinacho hitaji maelezo zaidi ni subcounscious mind

subcounscious mind
kuna mwanasayansi mmoja anaitwa PAVLOV, alikuwa na mbwa wake mmoja kila akitaka kumpa nyama yule mbwa akiona nyama tu anatokwa na mate, pavlov alikuwa anampa mbwa nyama ktk muda maalum aliokuwa ameuset, akawa kila akitaka kumpa mbwa nyama kengele inapiga kwanza ndio anampa nyama, alilifanya hilo zoezi kwa kipindi kirefu, sasa siku moja nyama hazikuwepo alichokifanya ni kupiga kengele tu bila kumpa mbwa nyama, kilichotokea mbwa baada ya kusikia sauti ya kengele alitokwa na udenda bila nyama kuwepo
Classical_Conditioning.jpg

Hapa tunajifunza kwamba kwenye ubongo wa mbwa kuna circuit mbili alizitengeneza, circuit ya kwanza ni ya nyama, circuit ya pili mlio wa kengele,

Kuna kitu kinaitwa CONDITUONING yaani circuit mbili zinakuwa stimulated ktk event moja mfano nyama na kengele, ubongo unahamisha taarifa za circuit mbili tofauti kwenda kwenye circuit moja, ndicho hicho kilichotokea kwa mbwa kasikia kengele tu bila nyama katokwa na mate

Mfano namba mbili kuna binti alipata ajali na wenzake kwenye gali, kabla ya ajali walikuwa wanacheka kutokana na story zao za kufurahisha, baada ya ajali, alikuja kuzinduka akiwa kitandani wodini wenzake wote walikufa, huyu binti akawa kila akisikia watu wanacheka anapatwa na mfadhaiko anaanza kulia

Hiyo ndio subcounscious mind yaani iko kati kati ya counscious na uncounscious


Hii inatumika kwenye matangazo mfano Ronaldo kuongea na wanahabari huku wameweka cocacola mezani. That is scientific manipulation marketing conditioning reflex tactic.
 
Je, kuna uwezekano wa kuongeza uwezo wa kutunza kumbukumbu kwenye ubongo kwa muda mrefu?
 
Je, kuna ukweli gani kuhusu watu wanaotumia mkono wa kushoto kwenye kuandika , kwamba husifika sana kwa kuwa na uwezo mzuri darasani
 
Na kipi kinachofanya mtoto afanye vizuri na mwingine afanye vibaya darasani ili hali wote mwalimu ni mmoja.
Mfano wewe una PhD bahati mbaya ukapata uvimbe kwenye ubongo, ukafanyiwa surgery, baada ya upasuaji ukapata tatizo la kupoteza kumbu kumbu, hukumbuki densa lolote kwenye taaluma yako, maana yake ni kwamba knowledge yako ilihifadhiwa kwemye ubongo,


Watu tunatofautiana mkuu kuna mwingine kichwa kilibanwa wakati anazaliwa, kuna mwingone alizaliwa kwa oparesheni, kuna mwingine hapati lishe bora, kuna mwingine anatatizo la kurithi au kazaliwa na mapungufu mfano kifafa n.k mambo yote yanayoathiri afya ubongo ndio chanzo cha kutofautiana uwezo wa kufikili na kutunza kumbu kumbu.

Au unakuta mama mjamzito alikuwa mlevi unategemea nini mkuu
 
Computer Science? Kompyuta si zimegunduliwa juzi TU hapo baada ya Vita kuu ya pili ya dunia!! In maana muda huo wote wataalamu hawakujua kumbukumbu zinatunzwaje ubongoni?
 
Computer Science? Kompyuta si zimegunduliwa juzi TU hapo baada ya Vita kuu ya pili ya dunia!! In maana muda huo wote wataalamu hawakujua kumbukumbu zinatunzwaje ubongoni? LUCKDUBE
 
Je, kuna uwezekano wa kuongeza uwezo wa kutunza kumbukumbu kwenye ubongo kwa muda mrefu?
Ndio,

Mfano kula lishe bora, pia mifupa ya samaki inaimarisha afya ya akili na uwezo wa kutunza kumbu kumbu,

Njia nyingine ni kama ile ya kucheza golf kila siky kwa kuimagine, unaweza kufanya hivyo kwenye jambo ambalo hutaki ulisahau yaani unariludia kila siku circuit inakuwa strong
Wewe unadhani kwa nini unaikumbuka namba yako ya simu?
 
Computer Science? Kompyuta si zimegunduliwa juzi TU hapo baada ya Vita kuu ya pili ya dunia!! In maana muda huo wote wataalamu hawakujua kumbukumbu zinatunzwaje ubongoni?
Ndio mkuu swali lako ndio jibu ukilitolea alama ya kiulizo,
Mfano ugunduzi wa COMPUTERIZED TOMOGRAPHY SCAN maarufu kama CT scan, imesaidia kuscan ubongo na kuona activities zote zinazoendelea kwenye neuro circuit za ubongo, pia hata kama una stroke kuna uwezekano ikaonekana. Njia hii imesaidia sababu haihitaji kupasua fuvu ili ucheki activities za ubongo,

Inaitwa non invasive method

Pia kuna High frequency MAGNETIC RESONANCE INDEX kibongo bongo mnaita MRI hii nayo imesaidia sana kuuchunguza na kuufanyia utafiti ubongo

Umenipata mkuu?
 
Mifupa ya samaki kumbe ni dawa, je ni samaki wa aina gani hao? Maana samaki wengine wana miba midogo midogo ambayo ni hatari kama haitatafunwa vizuri huweza kusababisha tatizo la vidonda vya tumbo
 
Mkuu nna maswali Ila natanguliza shukran...
1.Nataman nijue uhusiano wa ubongo na addiction eg gambling sex drugs alcohol.???! .naamini utatusaidia wengi hp

2. Je,kumbukumbu zinapungua kadri umri unavoenda??? Mi nlikuwa mwandishi mzuri wa spellings Ila sasa hivi nazisahau

3; Kuna uhusiano Kati y hormones emotions n brain??? If so how ?!
 
Vp kuhusu hili pia?
Kuna utafiti ulifanyika mtu aliyekatwa mguu wa kushoto miezi michache tu baada ya kukatwa mguu bahati mbaya mgonjwa akafariki, wanasayansi wakati wanafanya autopsy(kuchunguza maiti) ya huyo jamaa wakagundua sehemu ya ubongo inayohusika na mguu wa kushoto haipo, maana yake ni kwamba kiungo usipokitumia circuit zake zinaanza kupukutika na kuisha, ila kiungo kikitumika circuit zake hukua na kustawi
Baada ya hapo wakawa wanawakata kuku mguu mmoja then wanachunguza after few months kinachoonekana ni hicho hicho,

Hata wewe ukianza kuandikia mkono wa kushoto itafikia kipindi utazoea na hutaona ugumu wowote, issue ni practice hizo zingone ni imani
 
Mkuu nna maswali Ila natanguliza shukran...
1.Nataman nijue uhusiano wa ubongo na addiction eg gambling sex drugs alcohol.???! .naamini utatusaidia wengi hp

2. Je,kumbukumbu zinapungua kadri umri unavoenda??? Mi nlikuwa mwandishi mzuri wa spellings Ila sasa hivi nazisahau

3; Kuna uhusiano Kati y hormones emotions n brain??? If so how ?!
Hapo inabidi tuingie deep!!!!

Mkuu ipo hivi unazikumbuka zile kamba kamba (neurons) zinazojipanga na kuunda uzi? Ambao tunauita circuit??
Chemical-Synapse-Basic-Structure-Labeled-739x550.png

Kamba(neuron) + neuron(kamba) = circuit (uzi mrefu)

Sasa kati kati ya kamba na kamba kuna nafasi au gap liitwqlo synapse, tizama picha hapo juu,
Hilo gap wakati wa kupitisha umeme huwa linaunganishwa kwa kemikali iliyo ktk mfumo wa maji maji na inavyotoka ni kama vile pafyumu

Hiyo kemikaki imegawanyika katika makundi mbali mbali au aina mbali mbali
 
  • Dopamine
  • Acetylcholine
  • Endolphin
  • GABA
  • Oxytocon
  • Serotonin
  • Na zinginezo nyingi
MImi nitajikita kuizungumzia dopamine zaidi, Dopamine ni kemikali ya FURAHA,

Ukiwa unatafuta kitu au jambo flani ukilipata dopamine huzalishwa kwenye ciruit, mfano wewe ni shabiki wa ARSENAL na mechi inapigwa kati ya Arsenal na CHELSEA mpo kibandani au uwanjani mnacheki game, matarajio yako ni arsenal ishinde, Arsenal wakifunga goli ubongo wako (circuit inayohusika na mpira) inazalisha dopamine, hii kemikali inapozalishwa mwili wako unasisimka unajikuta unalipuka kwa furaha,
C-HFLSdXYAAlaJO.jpg

Baada ya muda (dopamine) kemikali inayeyuka unarudi kawaida, hii ndio starehe ya watu wengi

Lakini pia ufanyaji wa tendo la ndoa wakati unapofika mshindo (kumwaga mbegu) ule utamu unao usikia ndio dopamine hapo inazalishwa kwenye ubongo na huwa inamwagwa nyingi sana sana sana, ikiisha unarudi kawaida mpaka ijitengeneze tena ubomgoni ndio usisimke ndio maana huwa unapumzika kwanza au kuuchapa usingizi
Watu wanapenda mademu sababu kuu ni utamu (dopamine)

Kuna njia za bandia na hatarishi za kuufanya ubongo wako uzalishe dopamine yaani ujisikie furaha kwa njia fake
Mfano uvutaji bangi, unywaji pombe, matumizi ya madawa ya kulevya n.k hivi vitu vinakemikali inayofanana na dopamine, hivyo basi huufanya ubongo upokee kiasi kingi zaidi cha dopamine, inafikia wakati ili ujisikie furaha utahitaji bangi au pombe nyingi zaidi sababu mzunguko ushavurugwa na bangi au pombe

Ndio addiction hutokea hivyo
 
Back
Top Bottom