Akili kama za Mwigulu Nchemba

Akili kama za Mwigulu Nchemba

yule si mtu ni kama robbot fulani anayecontroliwa na ccm. yaani kanaongea continuous hata akachoki na kama vile akili zake wameziseti
Mwigulu na kigwangwa wamemezeshwa 'micro sd' zilizorekodiwa maneno mbofu mbofu.
Source 'ogopa kukopi' tbc.
 
hilo ni jina lenye sifa kabisa kuitwa MWIGULU NCHEMBA NI YEYE PEKEE ANAYEWEZA PAMBANA NA DOGO wenzake wanaojifanya kuropoka maana Nape mlimuita majina mengi akaja Lusinde sasa huyu kawashika pabaya mkijifanya vichaa yeye zaidimkijifanya mnajua Mapolisi yeye anatangulia TISS mkijifanya kuvaa Bendera yeye na uMbwa anamvisha mpaka aje aharibu upepo utakuwa umeshapunguza kasi maana hata kule KIZOTA Mwenyekiti aliwaambia wajumbe msihofu yupo mpiganaji kwa ajili ya vichaa na madogo wote
 
Kipimo gani unatumia kulinganisha hizo akili?Mbona mna mambo ya ajabu!Mwigulu ana akili timamu,sasa ukiambiwa una akili timamu kama za Mwigulu ndio ujinyonge,au unywe sumu?Mbona sikueleweni?
 
Watu wenye akili kama huyu sidhani kama wanaishi bado.nashangaa huyu katoka wapi.
 
nahisi ni mmoja wa marobbot wa ccm wasiojitambua kuwa akili zao wameziset na kamwe auwezi kuja kujitambua.mwigulu hana akili timamu kwasababu ,,,,,,,,,,,,,,,,,,,si akili timamu kukazania chadema kuna magaidi kwa kutumia katiba dhaifu ya Tanzania na kinga ya chama tawala. si akili timamu kukazania jambo fulani ikiwa hata ushahidi hautoshi na kuropoka mbele za watu.si akili timamu kuwa kiherehere kila mahali utazania wewe unauchungu wa nchi kuliko watu wote. si akili timamu kuingia bungeni na kutetea serikali wakati teyari kuna janga la wanafunzi kufeli Tanzania kwa kutoa vipointi vya kusadikika. NAAMURU MWIGULU APIMWE AKILI!!!
 
hamna ubaya si unafurahishwa ba tabia zake za kishetani sasa tegemea na mtoto wako kuwa shetani......silly

Naona wote mnaolumbana wajinga tu.Ugaidi mnaujua vizuri?mbona mna litumia vibaya hilo neno,hamlitendei haki hata kidogo.Kama mnaomba ugaidi uje hapa nchini,subirini,mmeshashau jengo la ubalozi wa Marekani DSM na Nairobi Kenya ,hiyo ni E.Africa kwa siku moja na muda ule ule.Mna pesa za kutekeleza tukio la kigaidi nyie? Acheni utoto hapa.
 
Ugaidi ni noma wanamafunzo ya hatari pia ni mtandao wenye pesa ndefu.sio kupakazia eti bongo kuna gaidi! achen hizo!!
 
Mwigulu na kigwangwa wamemezeshwa 'micro sd' zilizorekodiwa maneno mbofu mbofu.
Source 'ogopa kukopi' tbc.

haaaa haaaaaa

hii kiboko .... hii micro sd card aliyomeza nchemba ina GB ngapi?
 
Back
Top Bottom