Ivi ile kesi ambayo mchungaji Mtikila alimuita Kikwete gaidi illishia wapi? Inawezekana magaidi ni hao hao wanowasingizia wenzao ni magaidi, just imagine kama mwenyekiti wao ni gaidi wanachama watakuwaje?Mwigulu amewashika pabaya magaidi now hawapumui huyo alitakaa aambiwe kama za rwakatale
Sasa hivi anajisikia poa tu. Siku atakapokuwa naibu katibu mkuu wa chama cha upinzani ndipo atakapoijua dunia.yaani huyu shetani sijui anajisikiaje jamii inavyomponda ivyo:lying:
Hivi utajisikiaje mtu akikwambia hivyo,nipo sehemu nimekaa kuna jamaa kaambiwa hivyo na mwenzake jamaa akarusha ngumi ndo najiuliza ni tusi au?
Mwigulu amewashika pabaya magaidi now hawapumui huyo alitakaa aambiwe kama za rwakatale
Mwigulu amewashika pabaya magaidi now hawapumui huyo alitakaa aambiwe kama za rwakatale
Jina kubwa sana mwigulu Nina mtoto wangu nimempa jina hilo