Khalifavinnie
JF-Expert Member
- May 19, 2017
- 2,761
- 2,311
Mkuu kitabu kinapatikana wapi nikuungishe na ni kiasi gani unauza?HIYO NI SEHEMU ndogo katika kitabu changu cha NGUVU YA I AM. Pata nakala tete kufungua jicho la tatu. henryest600@icloud.com
Paragraph ya mwisho.Tungekuwa na uwezo wa kuhavest knowledge basi sehemu sahihi ni graveyard( burial ground= makaburini) ambapo watu wamezikwa na mawazo yao sahihi lakini hawakuyaweka into action..
Jamaa katoa somo zuri sana..
Tatizo mind zetu zishakuwa controlled na hao ndugu zetu,tumebaki kufauta kile wanachotaka.
Sent using Nokia 8 Plus