maishapopote
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 3,502
- 6,412
Wanawake sasa hivi wana roho ngumu kuliko Lilith (usiniulize ni nani), kukuchanganyia mtoto kwenye ndoa, kwake haombi hata ushauri.
Wewe cha kufanya kausha halafu jifanye hujui kabisa, then mpende huyo mtoto kweli kweli, hakikisha anasoma mpaka mwisho. Mpende kwa matendo na maneno.
Halafu akiwa mtu mzima mwambie mtoto ukweli bila kumwambia mama yake kitu, mwambie nilijua ila niliamua kukaa kimya, wakati huo akiwa na kazi yake, halafu kaa kimya.
Muziki utakaofuata hapo we kaa pembeni!
Wewe cha kufanya kausha halafu jifanye hujui kabisa, then mpende huyo mtoto kweli kweli, hakikisha anasoma mpaka mwisho. Mpende kwa matendo na maneno.
Halafu akiwa mtu mzima mwambie mtoto ukweli bila kumwambia mama yake kitu, mwambie nilijua ila niliamua kukaa kimya, wakati huo akiwa na kazi yake, halafu kaa kimya.
Muziki utakaofuata hapo we kaa pembeni!