Akikuchomekea mtoto dawa ni moja tu!

Akikuchomekea mtoto dawa ni moja tu!

maishapopote

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2009
Posts
3,502
Reaction score
6,412
Wanawake sasa hivi wana roho ngumu kuliko Lilith (usiniulize ni nani), kukuchanganyia mtoto kwenye ndoa, kwake haombi hata ushauri.

Wewe cha kufanya kausha halafu jifanye hujui kabisa, then mpende huyo mtoto kweli kweli, hakikisha anasoma mpaka mwisho. Mpende kwa matendo na maneno.

Halafu akiwa mtu mzima mwambie mtoto ukweli bila kumwambia mama yake kitu, mwambie nilijua ila niliamua kukaa kimya, wakati huo akiwa na kazi yake, halafu kaa kimya.

Muziki utakaofuata hapo we kaa pembeni!
 
Wanawake sasa hivi wana roho ngumu kuliko Lilith (usiniulize ni nani)

Kukuchanganyia mtoto kwenye ndoa, kwake haombi hata ushauri....

Wewe cha kufanya kausha halafu jifanye hujui kabisa.

Then mpende huyo mtoto ukweli ukweli, hakikisha anasoma mpaka mwisho.

Mpende kwa matendo na maneno.

Halafu akiwa mtu mzima mchane mtoto ukweli bila kumwambia mama yake kitu, mwambie nilijua ila niliamua kukaa kimya.

Hapo awe na kazi yake halafu kaa kimya. Muziki unaofuata hapo we kaa pembeni!
Hawa hakuwa anaitwa Lilith mkuu,it is a lie!
 
Back
Top Bottom