Precisely!huyu jamaa inawezekana kabisa!!Sura yake kama anatumia jani huyu...!
Sura yake kama anatumia jani huyu...!
Kweli huyu jamaa anakula mjani haina ubishi!!!:bange:Sura yake kama anatumia jani huyu...!
huyu angekuwa raisi sijui ingekuwaje
Hebu watanzania tuwe na "non spuriousness"- hivi huyu mtu ametukosea nini?, hivi kuna mkataba amesaini kwa niaba ya serikali? Mbona tunapindisha mwelekeo kwa nia ya kuwalinda watu walioharibu nchi yetu?: naomba tutaje wa tanzania walio na wanaoendelea kututesa. Na. 1: samweli sita- yeye ndiye alimpokea richmond na kumuwezesha kuwekeza ktk tz wakati huo Mh Sita ndiye alikuwa boss wa TIC, alitumia madaraka yake vibaya kwa maslah yake mwenyewe na kuliingiza taifa katika mgogoro mkubwa wa uzalishaji umeme na mzigo wa madeni. Wana jf, endelezeni orodha hii kwa upembuzi yakinifu.
Sura yake kama anatumia jani huyu...!
Sura yake kama anatumia jani huyu...!