born again pagan
JF-Expert Member
- Apr 28, 2014
- 2,333
- 1,499
View attachment 223099 Mikhail kashalaskov inventor of AK 47
Huyu jamaa alifariki mwaka 2012 if am not mistaken..! Silaha hatari sana hiyo.. Kinachoitofautisha na SMG ni uzito risasi inapotoka wakati SMG inakuwa nyepesi na kupelekea mkono kuyumba then missing the target.
AK 47 ya mrusi na SMG (56) ya mchina,ni silaha ipi utumika zaidi vitani?