Mgirik
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 13,267
- 13,415
View attachment 223099 Mikhail kashalaskov inventor of AK 47
yeah! Huyo jamaa alikiri kabisa kuwa 'nasikitika sana kuona siraha yangu ya Ak47 ikiteketeza roho zisizo na hatia' yeye yawezekana hakuweza kuona mbali madhara ya hyo siraha..
Ak47 ndio siraha iliyoimara zaidi kat ya siraha ndogo. Mataifa mengi yanaziboresha lakn haitazifikia hii siraha. Marekan alitoa m4 na china pia alitoa sample moja hivi ukiachana na smg lakn hii ngoma iko makini mno... Ukiangalia hata wababe wa kivita hasa Osama akiwa kwenye action zake alikuwa haiachi hyo siraha..