Mkuu hii aliyoshika huyu si ni SMG
Mkuu tofauti kubwa ya AK47 Na SMG kiutendaji ni ipi?
Ipi inatumika sana kwenye Vita? Na kwanini?
Mkuu kama nakumbuka vizuri, nadhani tatizo lilikuwa katika masuala ya Management ya kiwanda hicho, lakini kuseme kilipata matatizo kutokana na AK47s kukosa soko hilo siamini actually wamehunda model nyingine ya kisasa kabisa, wanahunda za kijeshi na za kiraia. Kitu kingine hizi AK47s zinaundwa na Mataifa mengi kwa kibali cha Urusi hasa Mataifa ambayo yalikuwa rafiki wa Urusi (Ulaya ya mashariki, China, Korea nafikiri na Cuba)
nitakufundisha....
Ni pongezi tu mtani amepata kilicho chema