uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 11,504
- 27,287
Mimi nakuamini sana mazingira ya kanda ya ziwa hasa hio sengerema nimeishi mno na hizo kesi ni kweli kabisa na nimezishuhudia sana ila sema namna ya kushauri ngoja nifikirie hapo maana kesi ilikwisha pita
Tatizo lenu ndo hilo, humuwezi kuamini,ila anaomba ushauri vipi hukumu inaweza kutenguliwa


