Ajutia kumfunga mwalimu gerezani, aomba ushauri

Ajutia kumfunga mwalimu gerezani, aomba ushauri

Naona udaku wanaiba habari za jf,hii nimeikuta opera mini
 
Wakuhesabu mno...men akishaona mwili wa msichana akili ishahama!unarukaje kiunzi hicho sasa!mie naamini!..sema mnajiendkezaga sana

Sidhan kama ni kweli coz siku hizi kati ya vitu cheap sana ni "FEMALE NUDITY". Yaan kwa dunia ya sasa mwanamke kumuingiza mtegoni mwanaume kisa kuonyesha uchi wake ni ngumu coz wanawake wanajiachia sana siku hizi, just imagine ukiwa na jero tu unaona hadi K ya sanchi etc......

Labda atumie swaggz nyingine fln fln

Unajua kitu ukikiona sana hadi unakizoea na hapo arousal inapungua sana tu.
 
Sidhan kama ni kweli coz siku hizi kati ya vitu cheap sana ni "FEMALE NUDITY". Yaan kwa dunia ya sasa mwanamke kumuingiza mtegoni mwanaume kisa kuonyesha uchi wake ni ngumu coz wanawake wanajiachia sana siku hizi, just imagine ukiwa na jero tu unaona hadi K ya sanchi etc......

Labda atumie swaggz nyingine fln fln

Unajua kitu ukikiona sana hadi unakizoea na hapo arousal inapungua sana tu.



Sure mkuu!itabid tuanze kuvaa magunia!
 
Hajajua kudanga, nasema ukweli kwa kuongopa
Mbona katika uandishi wako unatumia nafsi ya kwanza na nafsi ya tatu kuelezea mhusika ambaye anaonekana ni wewe na wakati huo huo anaonekana si wewe...
 
Yap magunia yatasaidia sana. Coz haya madela naona ndo yameharibu kabisa bora hata vimini. Yaan utakuta mtu ana dela jepesi na ndani alichovaa lucifer ndo anajua


Anavaa dela anachomekea kwenye andawea!unabak unasema km ni refu why asikate chin
 
Huenda hujaelewa, msichana alitumia njia hyo kumuaminisha ticha. Nachojiuliza maswali form 2 unapata wapi hamu ya kifanya mapenzi jamani? Unapata wap akili ya kumu-aproach men, hizo akili zinakujaha ukubwani km kuna kitu unataka!shenji!
Wee unashangaa form 2?
Nilishawahi wekwa mtu kati na mtoto wa darasa la 7,na wa la sita aliniambia unaniona mdogo eeh!! Ukiingia anga zangu utamuona mkeo ndio mtoto na alikua na miaka 14
 
Wee unashangaa form 2?
Nilishawahi wekwa mtu kati na mtoto wa darasa la 7,na wa la sita aliniambia unaniona mdogo eeh!! Ukiingia anga zangu utamuona mkeo ndio mtoto na alikua na miaka 14
Had kinyaa
 
Huenda hujaelewa, msichana alitumia njia hyo kumuaminisha ticha. Nachojiuliza maswali form 2 unapata wapi hamu ya kifanya mapenzi jamani? Unapata wap akili ya kumu-aproach men, hizo akili zinakujaha ukubwani km kuna kitu unataka!shenji!
Watoto std vii wanajua mapenzi sembuse huyo
 
ahahahahahaha.
kwahiyo mkuu ukawa unawa-"sovia" maswali halaf na wao wana solve ya kwako au???
ahahahah.Noma sana..
ila maswali hayo jamaa wanampelekea saa 8 usiku halaf anashindwa kujua huo ni mtego?
Hahahah mm nilikuwa mkali sema ni kitambo kdg now sifany ualimu. Kipnd hicho nilipomaliza chuo alafu mishe zikagoma ndo nilijishikiza huko
 
Wanafunzi hambaki mwalimu!

Kujiendeleza tu..kama mwalimu hacheki nao ovyo ..wanafunzi wanamuheshimu!
Unaongea usichokijua, Mm siyo mwalimu kabisa nilishawai pita huko .
Ndomana nakwambia sasa unachobisha sijui nn?
Hv we unadhani hawafahamu kuwa kuna 30 jera. Rudia post yangu tena
 
Ni kweli kaka,binti alikuwa anatusimulia Jana,ametoka huko Buchosa yupo huku mjini anatafuta vibarua
Sasa mpaka utaje halmashaur?ilitosha tu kusema moja ya halmashaur...halafu story yako ni uongo watu wa makabila ya huko ni waoga sana hasa kwenye mapenzi...form 2 kumtongoza Mwl hapana!!!haiwezekani kabisaaa!!!getegete
 
Sidhan kama ni kweli coz siku hizi kati ya vitu cheap sana ni "FEMALE NUDITY". Yaan kwa dunia ya sasa mwanamke kumuingiza mtegoni mwanaume kisa kuonyesha uchi wake ni ngumu coz wanawake wanajiachia sana siku hizi, just imagine ukiwa na jero tu unaona hadi K ya sanchi etc......

Labda atumie swaggz nyingine fln fln

Unajua kitu ukikiona sana hadi unakizoea na hapo arousal inapungua sana tu.
Usipokuwa na tamaaa ya nyuchi ya mwanamke bas huyo mwanaume jogoo mtungi kupanda mashaka
 
Back
Top Bottom