cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 116,321
- 187,999
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alichagua external pipe wakati ndani anayo..[emoji1787]
Classmate amezingua sana..[emoji26][emoji26]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alichagua external pipe wakati ndani anayo..[emoji1787]
Classmate amezingua sana..[emoji26][emoji26]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka km chizii, wallahKataa Ndoa wamechoka kabla hata dakika 90 hazijaisha wasikilizaji.
Minong'ono ni kwamba hata wao wenyewe hawaiamini kauli mbiu yao siku hizi.
Wanafanya maigizo kama timu ya Tanzania katika AFCON pale mbele.
Hapana, hata mbele hawafiki.
Wanacheza nusu uwanja [emoji1787][emoji1787][emoji1787]