Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 14,698
- 7,907
Watoto watatu wa kike wakazi wa kijiji na kata ya Mkula, Wilaya ya Busega Mkoani Simiyu, wamefariki dunia wakiwa kwenye makambi ya Kanisa la Waadventisa Wasabato wilayani hapo
Chanzo cha tukio hilo kinadaiwa kuwa ni kukosa hewa baada ya kulala kwenye hema ambalo lina jiko la mkaa.
Mkuu wa mkoa wa Simiyu, anamringa Macha, amethibitisha kutokea kwa tukio hilo.
Chanzo cha tukio hilo kinadaiwa kuwa ni kukosa hewa baada ya kulala kwenye hema ambalo lina jiko la mkaa.
Mkuu wa mkoa wa Simiyu, anamringa Macha, amethibitisha kutokea kwa tukio hilo.