Ajira za walimu 35 elfu ni kwa mwaka wa fedha 2016/17 au 2017/18?

*Mchanganuo wa Makato* ya _mtumishi wa Degree aliyeanza kazi anayepokea 716,000/=_

*Income Tax*......86,580/=....12%
*HESLB*............107,400/=....15%
*LAPF*.................71600/=......10%
*NHIF*..................21,480/=......3%
*CWT*..................14,320/=......2%
*Bayport*............. 250,000/=

*Take home*.....201,080/=

Kazi ya utumishi ni ya wito.
Unaendeleza hapo sasa Umoja wa kazini......

*10,000/=*

*Harusi*...........40,000/ =

*Kijijini* .,...........30,000/=

*Umeme*......... 10,000/=

*Maji*...............10,000/=

*King'amuzi* 15,000/=

Iliyobaki utajua wewe.....





819309361617729300371655228020303037272616812920292626261682829920286536378392001017262526828151617279349040262516779990019262628810100176663773838849301011726636738389393000000866376381910010100101002626727379999999999


Soma namba?
 
wapo waliosoma degree na waka disco wakaomba diploma ya ualim je nao wanahusika?
 
Wanaweza kuajiri kwa mkupuo ila kwa walimu wa msingi tuu kama mna kumbukumbu vizuri mnamo mwaka wa masomo 2014_2016 serekali ilifuta ualimu ngazi ya cheti hivyo vyuo vya serekali havikudahili wanachuo wa ngazi ya cheti..vyuo vya private pekee ndio vilidahili na kupewa ruhusa kwa mara ya mwisho..so kuunganisha intek mbili kwenye ajira za ngazi ya cheti linawezekana kwakuwa waliomaliza mwaka huu ni wachache sana kutoka vyuo vya private pekee..ila kwa shahada na stashahada ni ngumu mno maana kila jafo au chawene akiongea anawataja walimu wa sayansi tuu
hapo umenena sahii kabisa ndugu yangu
 
tujadili hili suala mana kuna mkanganyiko wa uletaji habari humu na je? wanaposema wataajiri mikup
uo miwili INA maana kuna watakaochinjiwa baharini? na huo utaratibu mpya utoaji ajira tofaut na miaka mingine naona kutakuwa na harufu ya interview au itakuwa direct?
umekimbilia mbali,,,,2015/016 bado pia, au mi ndo sielewi?
2015/2016
2016/2017 ndo bao
alafu 2017/2018 si ndo wako mwaka wa mwisho vyuo?
 
*Mchanganuo wa Makato* ya _mtumishi wa Degree aliyeanza kazi anayepokea 716,000/=_

*Income Tax*......86,580/=....12%
*HESLB*............107,400/=....15%
*LAPF*.................71600/=......10%
*NHIF*..................21,480/=......3%
*CWT*..................14,320/=......2%
*Bayport*............. 250,000/=

*Take home*.....201,080/=

Kazi ya utumishi ni ya wito.
Unaendeleza hapo sasa Umoja wa kazini......

*10,000/=*

*Harusi*...........40,000/ =

*Kijijini* .,...........30,000/=

*Umeme*......... 10,000/=

*Maji*...............10,000/=

*King'amuzi* 15,000/=

Iliyobaki utajua wewe.....





819309361617729300371655228020303037272616812920292626261682829920286536378392001017262526828151617279349040262516779990019262628810100176663773838849301011726636738389393000000866376381910010100101002626727379999999999


Soma namba?

Kwani kila mwalimu ana mkopo Bayport?
 
tujadili hili suala mana kuna mkanganyiko wa uletaji habari humu na je? wanaposema wataajiri mikup
uo miwili INA maana kuna watakaochinjiwa baharini? na huo utaratibu mpya utoaji ajira tofaut na miaka mingine naona kutakuwa na harufu ya interview au itakuwa direct?
aliyeongea ni Jafo! na Jafo hua hana akili vizuri! Muda wake mwingi anautumia kuongea uongo! alianza kuongea uongo tangu mwezi wa kwanza kwa kauli zake za mapema mwaka huu, punde tu kwanzia sasa, hivi punde, muda wowote kuanzia sasa, hivi karibuni, n.k! jafo hawezi kuongea kitu nikakiamiani. labda aseme nimeweka majina mtandaoni, ndio kidogo nitajaribu kwenda kuangalia kama ni kweli au laaah. hata hivyo nitaenda nikiwa nahisi ni uongo tu!
 
aliyeongea ni Jafo! na Jafo hua hana akili vizuri! Muda wake mwingi anautumia kuongea uongo! alianza kuongea uongo tangu mwezi wa kwanza kwa kauli zake za mapema mwaka huu, punde tu kwanzia sasa, hivi punde, muda wowote kuanzia sasa, hivi karibuni, n.k! jafo hawezi kuongea kitu nikakiamiani. labda aseme nimeweka majina mtandaoni, ndio kidogo nitajaribu kwenda kuangalia kama ni kweli au laaah. hata hivyo nitaenda nikiwa nahisi ni uongo tu!
Kweli aisee huyu jamaa akili zake huwa zimefyatuka......
 
Back
Top Bottom