acheni kuwadanganya vijana majibu anayo dk.kawambwa iyo ni idadi ya walioajiliwa 2014 ila ajira zitatoka walimu 2015
15/04/2015 hzo ndo tar nlizopewa za uhakika ikichelewa sana lbda cku 5 mbele ya tar tajwa hapo juu
Post zinatoka mwisho wa mwez huu...!!! From trusted source
Ni kweli tunazitaka post za ualimu ila changamoto iliyopo ni kuwa wengi wetuvni walimvwa art ambao serikali imesema tumetosha