ajira mwezi wa pili wata waajir wote ila kama una matatizo kwa mfano uli cary n.k uwez ajiriwa kwa kipind hiki
We mkubwa kwel una busara! ningekua mimi nisingemjibu vonimerekebisha mkuu, we ulitaka iwe iv: Bila shaka umesubiri umechoka! be Patient, kwan myaka yote uwa znatoka lin?
wote ni lazma waajiriwe,tena kwa mda muafaka,mwaka jana walisema meng cna,mwisho wa siku wat walipangwa vituo,hiz taarifa hazina ukwel wowote,jipen moyo mtafka,ila mwaka huu walim weng tegemeen kwenda vijjn,coz mijn kumejaa,so ukipangwa kijjn nenda haraka sana,
vyote sio,kizuri ni kujiajiri tuamani naomba mnisaidie, kuajiriwa chuo cha ualimu na kuajiriwa shule za secondary ni ipi nzuri kimshahara na hata kujiendeleza kieimu?
mwezi wa 4
Jamani naomba mnisaidie, kuajiriwa chuo cha ualimu na kuajiriwa shule za secondary ni ipi nzuri kimshahara na hata kujiendeleza kieimu?
:clap2::clap2::clap2:
Kwa ....myaka....hicho cha TUKI au BAKITAnimerekebisha mkuu, we ulitaka iwe iv:
Bila shaka umesubiri umechoka! be Patient, kwan myaka yote uwa znatoka lin?
Kwa ....myaka....hicho cha TUKI au BAKITA