Ajira za Ualimu 2015/2016 zinatoka lini?

Ajira za Ualimu 2015/2016 zinatoka lini?

Status
Not open for further replies.
Kama wewe ni mwalimu wa kiswahili na civics au history sahau. Only science teachers will be the first to be mentioned!!

Mamaaaa! Alafu sisi wa arts ndo wengi sana na kibaya zaidi, hadi shule za private hatupati kazi kisa tupo wengi au ukifanikisha kupata mshaara hauzidi laki mbili.
 
Mamaaaa! Alafu sisi wa arts ndo wengi sana na kibaya zaidi, hadi shule za private hatupati kazi kisa tupo wengi au ukifanikisha kupata mshaara hauzidi laki mbili.

Hahahaha.... Nimetania tu. Tutapata tu wote. Tarehe 14 february watatangaza na tarehe 1 March tupo mzigoni wote. Hakuna cha sayansi wala hechi kunani, wote tutakuwa mzigoni. We just stay tuned!!
 
Hahahaha.... Nimetania tu. Tutapata tu wote. Tarehe 14 february watatangaza na tarehe 1 March tupo mzigoni wote. Hakuna cha sayansi wala hechi kunani, wote tutakuwa mzigoni. We just stay tuned!!

Hapo afadhali mkuu kidogo umerudisha matumaini, maana hatuna kimbilio kwakweli, serikali ituonee huruma. Ikumbuke kuwa wengi tunaosomea ualimu ni watoto wa wakulima hivyo tungesomea kozi nyingine hatungepata kazi, hatuna connections na pesa za kuonga ili kupata kazi.
 
Hapo afadhali mkuu kidogo umerudisha matumaini, maana hatuna kimbilio kwakweli, serikali ituonee huruma. Ikumbuke kuwa wengi tunaosomea ualimu ni watoto wa wakulima hivyo tungesomea kozi nyingine hatungepata kazi, hatuna connections na pesa za kuonga ili kupata kazi.


Pole sana! kaka tutapata tu Mungu yu pamoja nasi.. umeongea kwa hisia sana
 
Na kifurushi changu kinaisha leo ngoja nipotee hewan hadi mwez wa pili labda nitakuta taarifa nzur
 
ata kama katavi,chunya,chita,kigoma tutaenda tu maana uko ata kodi ya pango ni ndogo waweke tu twende mzigono teh! teh!
 
WanaJF napenda kuuliza, Mbona minong'ono mingi sana kwenye ajira za walimu mwaka huu.? Wengine wanasema zitatolewa kwa Walimu wa Sayansi tu, mara ajira zitatolewa kwa awamu.,na wapo wanaosema hakuna ajira mwaka huu... sasa tujue lipi??
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom