Ajira za Ualimu 2015/2016 zinatoka lini?

Status
Not open for further replies.
Poleni kwa kuwa wavumilivu siku zote,taalifa nilizonazo ni kwamba tayar allocation ya majina yamefanyika na kuna ndugu yangu yy mjomba wake tayar ameshajua anakwenda wap hivyo soon mzigo utaachiwa kwani kuna ukamilisho mdogo tu unakamilika
 
Poleni kwa kuwa wavumilivu siku zote,taalifa nilizonazo ni kwamba tayar allocation ya majina yamefanyika na kuna ndugu yangu yy mjomba wake tayar ameshajua anakwenda wap hivyo soon mzigo utaachiwa kwani kuna ukamilisho mdogo tu unakamilika

amesema na idadi wametoa wangapi?
 
Poleni kwa kuwa wavumilivu siku zote,taalifa nilizonazo ni kwamba tayar allocation ya majina yamefanyika na kuna ndugu yangu yy mjomba wake tayar ameshajua anakwenda wap hivyo soon mzigo utaachiwa kwani kuna ukamilisho mdogo tu unakamilika

wameajiriwa wangapi ndugu?
 
Ni mwaka sasa tangu tuhitimu lakini serikali iko kimya tu kuhusu ajira za walimu, sasa najiuliza serikali imesahau au ni mkakati gani unaendelea? Nadhani uchaguzi ujao tunahitaji kubadili serikali tuweke serikali itakayo mudu kwenda na mabadiliko ya kiutendaji kwakasi inayohitajika maana sasa tumechoka na siasa uchwara hizi zinarudisha nyuma maendeleo
 
Mkuu labda tuwakope ajira zenu muanze kazi ili kelele zipungue tutaanza kuwalipa baada ya uchaguzi. Pesa zote tumezitoa hazina tumezipeleka BVR , kofia t- shirt na kanga, nyngine tumetenga kusambaratisha UKAWA
 
waalimu muungane mara ngapi sasa we mjita? hivi kumbe hujui kuwa kuna chama cha waalimu?
Everything is under CCM currently, nyie mkishavalishwa kofia za kijani na kupewa buku 5 tano mnasahau kila kitu..

Waalimu wa Tanzania Bwana, wako weeeeeeengi lakini matendo kama vile ya mtoto mdogo.

Solidarity yenu mmeipeleka wapi?

Si mgome hata mwezi mmoja ama miwili mfululizo tuone serikali yenu itawafanyia nini? oh, sorry, kumbe mnaitegemea hiyo hiyo serikali kama baba na mama yenu!! so you can do nothing....

Wait in Peace Tanzania Teachers..
 
Nadhan kukaa na kusubir ajira zs serikali tuuuu nao ni upuuuuuzi wa aina yake. Kuna watu wengu wanagraduate course ambazo sio ualimu wanakaa mtaani wanapambana had wanatoka. Waliograduate education mda wote wanalalamika nakusubiria ajira tu ajira zenyewe mshahara laki 5. Kama umesoma ualimu na unategemea kufanya kazi ya ualimu utoke ki maisha umepotea. Acheni kulia lia waalimu wenzangu tafuteni mambo ya kufanya. Maisha ya ualimu ni mabaya sana mtakumbuka sana maisha ya boooom maana mtaona yalikuwa bora kuliko ya kazini.

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Mkuu labda tuwakope ajira zenu muanze kazi ili kelele zipungue tutaanza kuwalipa baada ya uchaguzi. Pesa zote tumezitoa hazina tumezipeleka BVR , kofia t- shirt na kanga, nyngine tumetenga kusambaratisha UKAWA
Acha pumba. Kichwa chako kinafanana na akili yaki
 
Ni mwaka sasa tangu tuhitimu lakini serikali iko kimya tu kuhusu ajira za walimu, sasa najiuliza serikali imesahau au ni mkakati gani unaendelea? Nadhani uchaguzi ujao tunahitaji kubadili serikali tuweke serikali itakayo mudu kwenda na mabadiliko ya kiutendaji kwakasi inayohitajika
maana sasa tumechoka na siasa uchwara hizi zinarudisha nyuma maendeleo

kuna tetesi kuwa post zinatoka before easter.
 
Ni mwaka sasa tangu tuhitimu lakini serikali iko kimya tu kuhusu ajira za walimu, sasa najiuliza serikali imesahau au ni mkakati gani unaendelea? Nadhani uchaguzi ujao tunahitaji kubadili serikali tuweke serikali itakayo mudu kwenda na mabadiliko ya kiutendaji kwakasi inayohitajika maana sasa tumechoka na siasa uchwara hizi zinarudisha nyuma maendeleo

First lazima mjue kuwa hakuna mkataba mliojaza wakati mnasoma unaosema kuwa ajira ni lazima au ajira mtapata lini...
Pili jaribuni kuangalia calendar za matukio ya nchi hususan sector yenu kuliko kupoteza muda kuangalia sehem zisizo rasmi mkitafuta majibu rasmi....
Tatu keep calm kuna maisha zaid ya ajira kwani hata baada ya ajira kumbuka mtakuwa vijijin baadhi watakosa na matatizo kibao so mjiandae kwa changamoto nyingi zaid ya hii iliyopo sasa
Note.....this is me not you
 
Walimu ni watu wa kulalamika tu, mlipokuwa chuoni mlikuwa mnalalamikia boom sasa hivi nyumbani unalalamikia ajira kesho utakuwa kwenye ajira utaanza kulalamikia kuchelewa kwa mshahara na stahiki nyingine
 
  • Thanks
Reactions: J33
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom