Ajira za Ualimu 2015/2016 zinatoka lini?

Ajira za Ualimu 2015/2016 zinatoka lini?

Status
Not open for further replies.
mjomba wanajamvi watakuumbua siku wakitoa ajira hizo. Acha kukatisha watu tamaa
 
walimu hawajatosha na hawatatosha labda huko mijini...
pia walimu tarajali acheni kusikiliza tetesi mwaka jana ilikuwa hivi hivi na tukaajiriwa.
 
maonyesho ayo yalifanyika wapi awa ndo wanaokurupuka kama hazipo kuna vyombo vya habari wangewajuza msiwaze kazi zipo
 
ni mbinu za serikali isiyo na pesa! walimu wa masomo ya sayansi na yale mengine wote wanatakiwa!
 
Mhhh mimi napita tuuu nyie endeleeeni tuone mshindi nani!!!!%!!!!&!!!%
 
du!
deni lao la heslb litalipwaje ikiwa kweli maana nadaiwa kama 12M
shda kweny den lif lang litaenda hata bila ajra zao ila kulpa den wakat no employment inaumaaaa
 
siku zote ukiona mtu kapost post km hii ujue huyo mtu anasugua bench mtaan hana mishe.. hvo anataka kuwavunja moyo walimu wenye uhakika na ajira zao mkononi..

Utauponda sana ualimu lakin mwalimu ajira yake ipo.. na ww wa sociology utaendelea kusugua bench mtaan...
Walimu oyeeeeee....
 
Oyeeeeeee daah huyo mtoa post jambo la kwanza anapaswa kutupa chanzo cha habari yake.

Then hivi unadhani walimu tunao muda wakutembea na bahasha ya kaki mji mzima?
mh utatoa copy vyeti vyako mpaka vitafifia maandishi kwaapplication.

Walimu kueni wavumilivu juzi ndugu yake na Kasimu majaliwa jamaa mmoja tumepiga naee chuo alimuuliza Mkubwa alijibiwa akae tayari na vyeti vyake vyote Next Month kitu Out
 
Ajira lazima ziwepo ila nafas kubwa ni shule ya msingi na watu wa sayansi! hii ni kwa mujibu wa hotuba ya wazir wa elimu ktk bajeti ya mwaka 2014/15
 
Acha longolongo sema wewe mwenyewe mwalimu unawasiwasi subri mwez watat watakupangia kituo japo kijijini,we kafanye kazi unapima upepo kwa style hio😛
 
Katu walimu hawawezi kutosha wakati vifo na kustaafu bado vinapunguza idadi ya walimu kila leo kwa idadi ya kutisha.

Acheni kuwaogofya vijana.
 
Hivi huwa wanafanya utafiti wa kutosha hadi wanagundua kuwa walimu wanatosha? Mbona huku ni kudanganyana? Walimu ni wachache sana ukilinganisha na idadi ya wanafunzi hususani shule za Kata

Serikali Inachofanya kwamb wanchukua avarage ya walimu na wanafunz pia shule tanzania nzima sasa kinachotokea n kwamb walimu mjin n weng sana kulinganisha na vjijn kwaio idad ya walimu inakuwa kubwa kuliko avarage na ndo maana walimu wanaonekan weng san but hn reality vjjn hakuna walimu
 
Oyeeeeeee daah huyo mtoa post jambo la kwanza anapaswa kutupa chanzo cha habari yake.

Then hivi unadhani walimu tunao muda wakutembea na bahasha ya kaki mji mzima?
mh utatoa copy vyeti vyako mpaka vitafifia maandishi kwaapplication.

Walimu kueni wavumilivu juzi ndugu yake na Kasimu majaliwa jamaa mmoja tumepiga naee chuo alimuuliza Mkubwa alijibiwa akae tayari na vyeti vyake vyote Next Month kitu Out

Tutavumilia mpaka kieleweke.
 
ila inawezekana kuna shule nyingi kilimanjaro waalimu wana vipindi 8-12 yaani hata nusu ya maximum periods per week kitakacho fata waliopo watagawanywa vyema watoshe mashulen. ila mnaweza bahatisha
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom