Ajira za Ualimu 2015/2016 zinatoka lini?

Ajira za Ualimu 2015/2016 zinatoka lini?

Status
Not open for further replies.
hii ni SEDEP II ambapo mwisho wake ni 2015. kwa hesabu hii mwaka huu ajira zitatolewa ila mwakani ndio kunakuwa na mashaka maana hakuna SEDEP III

CHA pili bajeti ya kuwaajili walimu mwaka huu ilishapitishwa katika mwaka wa fedha wa serikali. hivyo ajira zipo

ajira zipo ila hawataajiriwa wote kama ilivyotangazwa kuanzia mwaka huu. Bajeti ya tanzania ni dificity hvyo kama unategemea bajet iliyopitishwa 2014-15 haiwezi ikakidhi tuwaajiri walimu wote.
 
ajira zipo ila hawataajiriwa wote kama ilivyotangazwa kuanzia mwaka huu. Bajeti ya tanzania ni dificity hvyo kama unategemea bajet iliyopitishwa 2014-15 haiwezi ikakidhi tuwaajiri walimu wote.

ni kweli kuwa hawataajiriwa wote kama ilivyokawaida ya miaka yote. mwaka huu wataajiriwa watu 18000+ kati ya 50000+ waliohitimu mwakajana.

ila nilichokuwa namaanisha ni kuwa ajira zipo tofauti na watu wengibe wanavyotawanya matango pori kuwa ajira hakuna
 
hii ni SEDEP II ambapo mwisho wake ni 2015. kwa hesabu hii mwaka huu ajira zitatolewa ila mwakani ndio kunakuwa na mashaka maana hakuna SEDEP III

CHA pili bajeti ya kuwaajili walimu mwaka huu ilishapitishwa katika mwaka wa fedha wa serikali. hivyo ajira zipo

umefafanua vizuri zaidu...
 
ni kweli kuwa hawataajiriwa wote kama ilivyokawaida ya miaka yote. mwaka huu wataajiriwa watu 18000+ kati ya 50000+ waliohitimu mwakajana.

ila nilichokuwa namaanisha ni kuwa ajira zipo tofauti na watu wengibe wanavyotawanya matango pori kuwa ajira hakuna

Ndio maana nikasema hajira za mkupuo mmoja zimekisha rasmi 2015 sasa hivi hawa wanaosubiri ajira wataajiriwa kimafungu. Ila watakaoangukia ajira za walimu 2016 watapitia utumishi tena kwa kuomba zitakapotangazwa.

Sasa hivi walimu tunao wa kutosha ila upungufu uliopo ni kwa walimu wa masomo ya sayansi. Wale wanaotarajia kufundisha masomo ya sanaa yaani arts hajira zao zitatokana na walimu walioacha kazi,kustaafu,kufukuzwa kazi au kufariki. Nadhani umenielewa
 
ndio maana nikasema hajira za mkupuo mmoja zimekisha rasmi 2015 sasa hivi hawa wanaosubiri ajira wataajiriwa kimafungu. Ila watakaoangukia ajira za walimu 2016 watapitia utumishi tena kwa kuomba zitakapotangazwa.

Sasa hivi walimu tunao wa kutosha ila upungufu uliopo ni kwa walimu wa masomo ya sayansi. Wale wanaotarajia kufundisha masomo ya sanaa yaani arts hajira zao zitatokana na walimu walioacha kazi,kustaafu,kufukuzwa kazi au kufariki. Nadhani umenielewa

Hapo kufariki wanakaribisha watu waanze kurogana!!
 
ni kweli kuwa hawataajiriwa wote kama ilivyokawaida ya miaka yote. mwaka huu wataajiriwa watu 18000 kati ya 50000 waliohitimu mwakajana.

ila nilichokuwa namaanisha ni kuwa ajira zipo tofauti na watu wengibe wanavyotawanya matango pori kuwa ajira hakuna

Kwa iyo wataka kusema wahitimu mwaka jana walikua f50, afu ajira zipo za kuanzia watu f18, mbona bado ni hatar!! wimbi linalobaki kubwa au ndo la kiswahil, history, na english
 
Serikali ilishatangaza kuwa ajira zamkupuo za walimu zimesitishwa 2015. Watatoa ajira chache kuanzia march.

Hii ni kutokana na statistics za wizara husika kuwa walimu kwa sasa wametosha ila ajira zitakazotolewa zitatokana na walimu waliopo kazini kufariki,kuacha kazi,kufukuzwa kazi au kustaafu..

na mfumo uliopo sasa kuanzia mwaka 2015 ni kwamba walimu wote wataomba nafasi kupitia utumishi kama kada zingine.

Ilisemwa "mwakani" na mwaka wa fedha ndo unamaanisha hivyo, na mwaka 2014/2015 bajeti ilishasomwa.
 
Ilisemwa "mwakani" na mwaka wa fedha ndo unamaanisha hivyo, na mwaka 2014/2015 bajeti ilishasomwa.

ni kuanzia walimu wanaosubiri ajira ambazo zitatoka chache kuanzia mwezi march 2015. Hiyo bajeti aihusiki..kumbuka 40% ya bajet ya tanzania ni hewa..huku wahisani wameshakataa kutoa fedha hiyo. Labda waajiriwe then wakale mawe
 
Kwa iyo wataka kusema wahitimu mwaka jana walikua f50, afu ajira zipo za kuanzia watu f18, mbona bado ni hatar!! wimbi linalobaki kubwa au ndo la kiswahil, history, na english

yaaap na ukifuatilia zaid mwaka juzi walipoajiri 36000+ walisema bado muna uhaba wa 27000+ sasa leo wanaajiri 18000+ hapa ni majanga tupuuuu
 
Jamani hilo linawatia matumbo joto bora taarifa itolewe mapema mtu ajue kama anajiunga na panya road au la?

Na uzuri form za kujiunga zishaanza kutoka mwisho wa kujiunga ni mwezi march
 
Ajira za ualimu zitatoka mwezi wa 4, walengwa zaidi ni walimu wa masomo ya sayansi na hisababti, walimu wa masomo ya sanaa wataajiliwa wachache sana, lakina kama wewe ni miongoni mwa walimu wanaosubiri ajira na umesoma physics/ chemistry au mojawapo kati ya hayo tuwasiliane kwenye private sms ili nikuelekeze kuna kazi ya muda(tempo)
 
Mnaotegemea kuajiriwa wote suala hilo halitawezekana.
 
Ajira zipo na ni mwezi huu zinatoka ili kupisha uchaguzi wakubwa wanadai
 
ajira za ualimu zitatoka mwezi wa 4, walengwa zaidi ni walimu wa masomo ya sayansi na hisababti, walimu wa masomo ya sanaa wataajiliwa wachache sana, lakina kama wewe ni miongoni mwa walimu wanaosubiri ajira na umesoma physics/ chemistry au mojawapo kati ya hayo tuwasiliane kwenye private sms ili nikuelekeze kuna kazi ya muda(tempo)

Walimu wote ,, sayansi pamoja na arts watapangiwa ajira acha kudanganya umma ,pia bado watahitajika kila mwaka Kwa kuwa sekta ya elimu bado inakuwa Kwa kasi.
 
Ajira mwezi wa pili wata waajir wote ila kama una matatizo kwa mfano uli cary n.k uwez ajiriwa kwa kipind hiki
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom