Chanzo chako ni cha kuaminika? [emoji3]unagahati sana,,taarifa niliyonayo,,wanaccm wote ndo wamepata kwanza zile nzurinzuri..baaada ya kubaki ndo wakawarushia wachache ambao hawana connection.Je wewe kijana wako alikuwa amesoma kozi gani?
Chanzo chako ni cha kuaminika? [emoji3]unagahati sana,,taarifa niliyonayo,,wanaccm wote ndo wamepata kwanza zile nzurinzuri..baaada ya kubaki ndo wakawarushia wachache ambao hawana connection.Je wewe kijana wako alikuwa amesoma kozi gani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani wewe Ni mtumishi hata kuandika hujui !!!
Samahani Mkuu,Mimi naomba tu kuunga ukoo na wewe kwa kumuoa huyo mdogo wako.Njoo PM nipe Namba zake,nakuahidi kuwa sitamtenda,na wewe shemeji nitakuwa nakujali kwa kukutoa toa vijisenti.Fanya hivyo Chifu.Mdogo wangu wa kike hatimaye amepata Ajira TRA. Tunamshukulu sana Mwenyezi Mungu na serikali yetu Tanzania!!! Kwani Ajira zimekuwa changamoto sana sahivi!!!!!!
Iko hivi, hiki kitu kilikuwa msalaba mzito sana mgongoni kwangu...kwani..Huyu dogo toka yuko form2...., Ni jukumu langu na kibaya zaid' hata alipomaliza form Six.....Huko chuo alikosa mkopo!!
Just imagine... baba nguzo kuu ya familia alistaafu utumishi 2014....Fedha ziliyayuka tuu.....
Mama Ni mama wa nyumbani ndugu zangu wengine wanaunga unga tu....
Kwa hisani yake Mola, nilipomaliza shule 2012(Form4,) sikukaa sana home nikajichanganya huku na kule na zali la kwenda kulitumikia taifa Serikalini likaniangukia.
Na hatimae mnyororo wa umasikini tukaupunguza, na nisingeweza kumuacha mdogo wangu ikiwa O level kapiga 2.... Na Six amebutua vizur tu.
Nilijibana bana.....tukaanza Kama mchezo huku wazee wakinipa baraka zote nikae nae.....na hakuna ndugu aliewahi hata kumuulizia mishe zake.....
Nisiwachoshe......nilipambana mpaka nilikuwa nalia sometimes, Chuo hana mkopo mara mashetani ya ukoo hayataki asome duu ..(Kulogwa)
N.B
Sijahonga popote..... Wala hatuna connection...
Ni Mola ametuona tu, Nina 27 yrs, dogo Sasa anaitafuta 24.
Na Kikubwa zaidi hela anayolipwa asee inasomeka parefu kuzid mim huku.
Goz is Good in all ze tym:...
Tusonge mbele mkuu, good enough Mungu anazidi kutubariki na tunasomesha wengine. La muhimu somo limeniingia!Hauko peke yako Mkuu, ukiona natema huo mkeka jua yameshanifika lkn kwakuwa tulihusiwa kwamba Mkubwa ni Jalala napaswa kumeza ufahari na ukubwa wangu ili maisha yasonge mbele na kuleta mshikamano wa kifamilia.
Tunda kimasihara au sio!!!!!![emoji23]Samahani Mkuu,Mimi naomba tu kuunga ukoo na wewe kwa kumuoa huyo mdogo wako.Njoo PM nipe Namba zake,nakuahidi kuwa sitamtenda,na wewe shemeji nitakuwa nakujali kwa kukutoa toa vijisenti.Fanya hivyo Chifu.
Hizi ni za pili wametangaza tenaTRA si wametangaza nafasi jana tu, kumbe tayari zimejaa?[emoji848]
Saww afandeMdogo wangu wa kike hatimaye amepata Ajira TRA. Tunamshukulu sana Mwenyezi Mungu na serikali yetu Tanzania!!! Kwani Ajira zimekuwa changamoto sana sahivi!!!!!!
Iko hivi, hiki kitu kilikuwa msalaba mzito sana mgongoni kwangu...kwani..Huyu dogo toka yuko form2...., Ni jukumu langu na kibaya zaid' hata alipomaliza form Six.....Huko chuo alikosa mkopo!!
Just imagine... baba nguzo kuu ya familia alistaafu utumishi 2014....Fedha ziliyayuka tuu.....
Mama Ni mama wa nyumbani ndugu zangu wengine wanaunga unga tu....
Kwa hisani yake Mola, nilipomaliza shule 2012(Form4,) sikukaa sana home nikajichanganya huku na kule na zali la kwenda kulitumikia taifa Serikalini likaniangukia.
Na hatimae mnyororo wa umasikini tukaupunguza, na nisingeweza kumuacha mdogo wangu ikiwa O level kapiga 2.... Na Six amebutua vizur tu.
Nilijibana bana.....tukaanza Kama mchezo huku wazee wakinipa baraka zote nikae nae.....na hakuna ndugu aliewahi hata kumuulizia mishe zake.....
Nisiwachoshe......nilipambana mpaka nilikuwa nalia sometimes, Chuo hana mkopo mara mashetani ya ukoo hayataki asome duu ..(Kulogwa)
N.B
Sijahonga popote..... Wala hatuna connection...
Ni Mola ametuona tu, Nina 27 yrs, dogo Sasa anaitafuta 24.
Na Kikubwa zaidi hela anayolipwa asee inasomeka parefu kuzid mim huku.
Goz is Good in all ze tym:...
put the merital status!Mdogo wangu wa kike hatimaye amepata Ajira TRA. Tunamshukulu sana Mwenyezi Mungu na serikali yetu Tanzania!!! Kwani Ajira zimekuwa changamoto sana sahivi!!!!!!
Iko hivi, hiki kitu kilikuwa msalaba mzito sana mgongoni kwangu...kwani..Huyu dogo toka yuko form2...., Ni jukumu langu na kibaya zaid' hata alipomaliza form Six.....Huko chuo alikosa mkopo!!
Just imagine... baba nguzo kuu ya familia alistaafu utumishi 2014....Fedha ziliyayuka tuu.....
Mama Ni mama wa nyumbani ndugu zangu wengine wanaunga unga tu....
Kwa hisani yake Mola, nilipomaliza shule 2012(Form4,) sikukaa sana home nikajichanganya huku na kule na zali la kwenda kulitumikia taifa Serikalini likaniangukia.
Na hatimae mnyororo wa umasikini tukaupunguza, na nisingeweza kumuacha mdogo wangu ikiwa O level kapiga 2.... Na Six amebutua vizur tu.
Nilijibana bana.....tukaanza Kama mchezo huku wazee wakinipa baraka zote nikae nae.....na hakuna ndugu aliewahi hata kumuulizia mishe zake.....
Nisiwachoshe......nilipambana mpaka nilikuwa nalia sometimes, Chuo hana mkopo mara mashetani ya ukoo hayataki asome duu ..(Kulogwa)
N.B
Sijahonga popote..... Wala hatuna connection...
Ni Mola ametuona tu, Nina 27 yrs, dogo Sasa anaitafuta 24.
Na Kikubwa zaidi hela anayolipwa asee inasomeka parefu kuzid mim huku.
Goz is Good in all ze tym:...
Noma sana.H!! JF Sio poa.
Sio hivyo Mkuu,mimi najiheshimu na mdogo wako nae nitakuwa namheshimu sana maana atakuwa ubavu wangu, hivyo siwezi kumla kimasihara.Tunda kimasihara au sio!!!!!![emoji23]
Hongereni kwa kupata ajira utotoni mtaweza kufika mbali.Mdogo wangu wa kike hatimaye amepata Ajira TRA. Tunamshukulu sana Mwenyezi Mungu na serikali yetu Tanzania!!! Kwani Ajira zimekuwa changamoto sana sahivi!!!!!!
Iko hivi, hiki kitu kilikuwa msalaba mzito sana mgongoni kwangu...kwani..Huyu dogo toka yuko form2...., Ni jukumu langu na kibaya zaid' hata alipomaliza form Six.....Huko chuo alikosa mkopo!!
Just imagine... baba nguzo kuu ya familia alistaafu utumishi 2014....Fedha ziliyayuka tuu.....
Mama Ni mama wa nyumbani ndugu zangu wengine wanaunga unga tu....
Kwa hisani yake Mola, nilipomaliza shule 2012(Form4,) sikukaa sana home nikajichanganya huku na kule na zali la kwenda kulitumikia taifa Serikalini likaniangukia.
Na hatimae mnyororo wa umasikini tukaupunguza, na nisingeweza kumuacha mdogo wangu ikiwa O level kapiga 2.... Na Six amebutua vizur tu.
Nilijibana bana.....tukaanza Kama mchezo huku wazee wakinipa baraka zote nikae nae.....na hakuna ndugu aliewahi hata kumuulizia mishe zake.....
Nisiwachoshe......nilipambana mpaka nilikuwa nalia sometimes, Chuo hana mkopo mara mashetani ya ukoo hayataki asome duu ..(Kulogwa)
N.B
Sijahonga popote..... Wala hatuna connection...
Ni Mola ametuona tu, Nina 27 yrs, dogo Sasa anaitafuta 24.
Na Kikubwa zaidi hela anayolipwa asee inasomeka parefu kuzid mim huku.
Goz is Good in all ze tym:...
Umemuonesha uhalisia wa mambo kweli kweli....sema umemuumiza kumwambia mapema....hayo maneno ni machungu mnoHongera kwa moyo wa Upendo na kukata Mnyororo wa Ubinafsi. Mind U kubali kwamba dogo wako ulimsaidia naye ataanza Maisha yake Vitendo vya kutopokea Simu zako, kukupotezea unapokuwa na shida, kupiga chini appointment zako, Kama wewe uko Dar yeye akipangwa Arusha, kubali kwamba atakuwa anakuja Dar anafikia hotel hata Wiki 2 kwako hajji, wewe utakuwa Third Party. Yaaani Kwa sasa Demu wake au Boyfriend wake atakuwa na thamani kubwa kuliko wewe, wakwe zake, marafiki zake halafu ndio wewe utafutata nk.
So usiweke maanani kwamba Kuna nafuu utaipata kwa dogo lako na epuka kugeuka omba omba kwake kikubwa muongoze kufikia malengo yake kuliko kugeuka kumkumbusha Historia Jinsi ulivyomsaidia undugu utakufa!
awe msiri yeye au uyo mdogo wake???Nakushauri kuwa msiri katika Mambo yako!
Narudia Tena kuwa msiri kwenye Mambo yako utakuja kunikumbuka kwa huu ushauri.
Nawatakia Mafanikio mema.
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
hongera sana mama anaupiga mwingi sana achana na wapiga kelele tumshukuru Mungu kwa kutupatia kiongozi pia hapo kwenye hela ndugu yangu ata ajaripoti umesha jua analipwa kiasi ganiMdogo wangu wa kike hatimaye amepata Ajira TRA. Tunamshukulu sana Mwenyezi Mungu na serikali yetu Tanzania!!! Kwani Ajira zimekuwa changamoto sana sahivi!!!!!!
Iko hivi, hiki kitu kilikuwa msalaba mzito sana mgongoni kwangu...kwani..Huyu dogo toka yuko form2...., Ni jukumu langu na kibaya zaid' hata alipomaliza form Six.....Huko chuo alikosa mkopo!!
Just imagine... baba nguzo kuu ya familia alistaafu utumishi 2014....Fedha ziliyayuka tuu.....
Mama Ni mama wa nyumbani ndugu zangu wengine wanaunga unga tu....
Kwa hisani yake Mola, nilipomaliza shule 2012(Form4,) sikukaa sana home nikajichanganya huku na kule na zali la kwenda kulitumikia taifa Serikalini likaniangukia.
Na hatimae mnyororo wa umasikini tukaupunguza, na nisingeweza kumuacha mdogo wangu ikiwa O level kapiga 2.... Na Six amebutua vizur tu.
Nilijibana bana.....tukaanza Kama mchezo huku wazee wakinipa baraka zote nikae nae.....na hakuna ndugu aliewahi hata kumuulizia mishe zake.....
Nisiwachoshe......nilipambana mpaka nilikuwa nalia sometimes, Chuo hana mkopo mara mashetani ya ukoo hayataki asome duu ..(Kulogwa)
N.B
Sijahonga popote..... Wala hatuna connection...
Ni Mola ametuona tu, Nina 27 yrs, dogo Sasa anaitafuta 24.
Na Kikubwa zaidi hela anayolipwa asee inasomeka parefu kuzid mim huku.
Goz is Good in all ze tym:...
maneno mazito sana haya umeongea, ni kweli tupu!Hongera kwa moyo wa Upendo na kukata Mnyororo wa Ubinafsi. Mind U kubali kwamba dogo wako ulimsaidia naye ataanza Maisha yake Vitendo vya kutopokea Simu zako, kukupotezea unapokuwa na shida, kupiga chini appointment zako, Kama wewe uko Dar yeye akipangwa Arusha, kubali kwamba atakuwa anakuja Dar anafikia hotel hata Wiki 2 kwako hajji, wewe utakuwa Third Party. Yaaani Kwa sasa Demu wake au Boyfriend wake atakuwa na thamani kubwa kuliko wewe, wakwe zake, marafiki zake halafu ndio wewe utafutata nk.
So usiweke maanani kwamba Kuna nafuu utaipata kwa dogo lako na epuka kugeuka omba omba kwake kikubwa muongoze kufikia malengo yake kuliko kugeuka kumkumbusha Historia Jinsi ulivyomsaidia undugu utakufa!