Ajira za TRA tumetoboa. Ushuhuda wangu!!

Ajira za TRA tumetoboa. Ushuhuda wangu!!

lamaa

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2018
Posts
1,014
Reaction score
2,700
Mdogo wangu wa kike hatimaye amepata Ajira TRA. Tunamshukulu sana Mwenyezi Mungu na serikali yetu Tanzania!!! Kwani Ajira zimekuwa changamoto sana sahivi!

Iko hivi, hiki kitu kilikuwa msalaba mzito sana mgongoni kwangu...kwani..Huyu dogo toka yuko form2, Ni jukumu langu na kibaya zaid' hata alipomaliza form Six.Huko chuo alikosa mkopo!

Just imagine baba nguzo kuu ya familia alistaafu utumishi 2014 Fedha ziliyayuka tuu.

Mama Ni mama wa nyumbani ndugu zangu wengine wanaunga unga tu.

Kwa hisani yake Mola, nilipomaliza shule 2012(Form4,) sikukaa sana home nikajichanganya huku na kule na zali la kwenda kulitumikia taifa Serikalini likaniangukia.

Na hatimae mnyororo wa umasikini tukaupunguza, na nisingeweza kumuacha mdogo wangu ikiwa O level kapiga 2. Na Six amebutua vizur tu.

Nilijibana bana, tukaanza Kama mchezo huku wazee wakinipa baraka zote nikae nae na hakuna ndugu aliewahi hata kumuulizia mishe zake.

Nisiwachoshe......nilipambana mpaka nilikuwa nalia sometimes, Chuo hana mkopo mara mashetani ya ukoo hayataki asome duu ..(Kulogwa)

N.B
Sijahonga popote, Wala hatuna connection.

Ni Mola ametuona tu, Nina 27 yrs, dogo Sasa anaitafuta 24.

Na Kikubwa zaidi hela anayolipwa asee inasomeka parefu kuzid mim huku.

God is Good in all ze time
 
Hongera kwa moyo wa Upendo na kukata Mnyororo wa Ubinafsi. Mind U kubali kwamba dogo wako ulimsaidia naye ataanza Maisha yake Vitendo vya kutopokea Simu zako, kukupotezea unapokuwa na shida, kupiga chini appointment zako, Kama wewe uko Dar yeye akipangwa Arusha, kubali kwamba atakuwa anakuja Dar anafikia hotel hata Wiki 2 kwako hajji, wewe utakuwa Third Party.

Yaaani Kwa sasa Demu wake au Boyfriend wake atakuwa na thamani kubwa kuliko wewe, wakwe zake, marafiki zake halafu ndio wewe utafutata nk.

So usiweke maanani kwamba Kuna nafuu utaipata kwa dogo lako na epuka kugeuka omba omba kwake kikubwa muongoze kufikia malengo yake kuliko kugeuka kumkumbusha Historia Jinsi ulivyomsaidia undugu utakufa!
 
Hongera kwa moyo wa Upendo na kukata Mnyororo wa Ubinafsi. Mind U kubali kwamba dogo wako ulimsaidia naye ataanza Maisha yake Vitendo vya kutopokea Simu zako, kukupotezea unapokuwa na shida, kupiga chini appointment zako, Kama wewe uko Dar yeye akipangwa Arusha, kubali kwamba atakuwa anakuja Dar anafikia hotel hata Wiki 2 kwako hajji, wewe utakuwa Third Party. Yaaani Kwa sasa Demu wake au Boyfriend wake atakuwa na thamani kubwa kuliko wewe, wakwe zake, marafiki zake halafu ndio wewe utafutata nk.
So usiweke maaanani kwamba Kuna nafuu utaipata kwa dogo lako na epuka kugeuka omba omba kwake kikubwa muongoze kufikia malengo yake kuliko kugeuka kumkumbusha Historia Jinsi ulivyomsaidia undugu utakufa!
Asante Sanaa kwa ushauri mkuu...

Lakini mi ninajiweza.. furaha yangu kubwa Niko huru na ninampenda sana mdogo wangu.......

Nilimuahidi nitafunga ndoa atakapofanikiwa.....

Ashukuriwe Mungu hakuniangusha:
 
Aanze kuwa mtu wa ibada sasa, Ili kujiweka mbali na anasa za dunia. Na atafanikiwa kufanya makubwa kwa 'hicho kidogo' anachopata kwenye ajira yake,
Jambo jema sana ibada Ni kila kitu.....

Nitazid muombea dua....
 
Mdogo wangu wa kike ....Atimae amepata Ajira TRA ........ Tunamshukulu sana Mwenyez mungu na serikali yetu Tz!!!!!! Kwani Ajira zimekua changamoto sana sahiv!!!!!!

Iko hivi hichi kitu.....kilikua msalaba mzito sana mgongon kwangu...kwani..Huyu dogo toka yuko form2....,Ni jukum langu....na kibaya zaid' hata alipomaliza form Six.....Huko chuo alikosa mkopo!!!!....


Just imagine... baba nguzo kuu ya familia alistaafu utumishi 2014....Fedha ziliyayuka tuu.....

Mama Ni mama wa nyumbani ndugu zangu wengine wanaunga unga tu....

Kwa hisan yake mola....nilipomaliza shule....2012....(Form4,)...sikukaa sana home nikajichanganya huku na kule ..na zali la kwenda kulitumikia taifa ....Serikalin likaniangukia.


Na atimae mnyololo wa umasikin tukaupunguza..,.
na nisingeweza kumuacha mdogo wangu ikiwa O lever kapiga 2.... Na Six amebutua vizur tu..,..

Nilijibana bana.....tukaanza Kama mchezo huku wazee wakinipa baraka zote nikae nae.....na hakuna ndugu aliewahi hata kumuulizia mishe zake.....

Nisiwachoshe......nilipambana mpka nilikua nalia sometimes......Chuo hana mkopo ...mala mashetan ya ukoo hayatak asome duu ..(Kulogwa)

N.B
Sijahonga popote.....
Wala hatuna connection...

Ni mola ametuona tu.....Nina 27 yrs....dogo Sasa anaitafuta 24......


Na Kikubwa zaid' hela anayolipwa asee inasomeka palefu kuzid mim huku.,....

Goz is Good in all ze tym:...
Mkuu, nakushauri pamoja na Furaha uliyonayo jaribu kukaa kimya tu kuliko kuweka mafanikio yako mitandaoni.

Watanzania sasa hivi tumebadilika sana. Hakuna atayefurahia wewe kupata kazi Wala kufanikiwa.

Wabongo wengi kwasababu ya NJAA na UGUMU wa MAISHA tumejaa CHUKI Kali sana.

Ukitaka kujua Hilo, fuatilia Hakuna mtu mwenye mafanikio hata kidogo ambaye Hana HATERS bila sababu za Msingi.

Kuanzia WANASIASA, WATUMISHI WA UMMA ( hapa namaanisha was NGAZI za chini kabisa ), WASANII n.k.

Usione mtu anakuchekea usoni ukafikiri anafurahia MAFANIKIO yako.
 
Asante Sanaa kwa ushauri mkuu...

Lakin mi ninajiweza ..furaha yangu kubwa Niko huru na ninampenda sana mdogo wangu.......

Nilimuhaid nitafunga ndoa atakapofanikiwa.....

Ashukuliwe mungu akuniangusha:
Nakupimia jinsi umetua Mzigo Mkuu hadi nimekutamani, Mimi ninao ndugu wawili hapa wameshasaga lami hadi nawaonea Huruma tu naona mmoja wa Kiume anataka Bajaj akajiajiri. So naamin hata ingekuwa upande wangu Ningeamkia Vingunguta kununua Mbuzi nimle mzima mzima kwa Mafanikio ya aina yako. Hongera sana
 
Hongera kwa chalii yako kufika hatua iyo msoto naujua pia ni bahati na kajitahidi umri bado akili iko sawa ila ngoja wakampige msasa utumishi ajue code of conduct

Kingine usiwe na matarajio yeyote juu yake shukuru mzigo umeutua salama achunge sana marafiki hapo atapata marafiki wapya makazini sio sehemu salama kimtindo asipende kujuana na watu kupitiliza

Abaki na asili na hali ya kwao itampa moral ya kufanya kazi Kwa juhudi
 
Hongera sana mkuu

Ila jiandae kisaikolojia pale atakapoanza shopping zake na akiolewa tu msije mlaumu haisaidii familia maana kuna njemba nyingine zikioa zinabana hadi mshahara wa mke marufuku kusaidia kwao.
 
Nakupimia jinsi umetua Mzigo Mkuu hadi nimekutamani, Mimi ninao ndugu wawili hapa wameshasaga lami hadi nawaonea Huruma tu naona mmoja wa Kiume anataka Bajaj akajiajiri. So naamin hata ingekuwa upande wangu Ningeamkia Vingunguta kununua Mbuzi nimle mzima mzima kwa Mafanikio ya aina yako. Hongera sana
Asante mkuu.....lakin ilikua sio poa..

Nilikwisha wahi mpga makofi demu wangu mmoja.....kwa kigezo cha kusema eti nampendelea sana mdogo wangu..,...[emoji1787]

Hapa nasubili siku 2 hizi tutoe dhaka na sadaka.......maisha mengine yaendelee!!!
 
Hongera sana mkuu

Ila jiandae kisaikolojia pale atakapoanza shopping zake na akiolewa tu msije mlaumu haisaidii familia maana kuna njemba nyingine zikioa zinabana hadi mshahara wa mke marufuku kusaidia kwao.
Duuuuuh vibaya hvo cha msingi amjali tu bi"mkubwa....
 
Mdogo wangu wa kike ....Atimae amepata Ajira TRA ........ Tunamshukulu sana Mwenyez mungu na serikali yetu Tz!!!!!! Kwani Ajira zimekua changamoto sana sahiv!!!!!!

Iko hivi hichi kitu.....kilikua msalaba mzito sana mgongon kwangu...kwani..Huyu dogo toka yuko form2....,Ni jukum langu....na kibaya zaid' hata alipomaliza form Six.....Huko chuo alikosa mkopo!!!!....


Just imagine... baba nguzo kuu ya familia alistaafu utumishi 2014....Fedha ziliyayuka tuu.....

Mama Ni mama wa nyumbani ndugu zangu wengine wanaunga unga tu....

Kwa hisan yake mola....nilipomaliza shule....2012....(Form4,)...sikukaa sana home nikajichanganya huku na kule ..na zali la kwenda kulitumikia taifa ....Serikalin likaniangukia.


Na atimae mnyololo wa umasikin tukaupunguza..,.
na nisingeweza kumuacha mdogo wangu ikiwa O lever kapiga 2.... Na Six amebutua vizur tu..,..

Nilijibana bana.....tukaanza Kama mchezo huku wazee wakinipa baraka zote nikae nae.....na hakuna ndugu aliewahi hata kumuulizia mishe zake.....

Nisiwachoshe......nilipambana mpka nilikua nalia sometimes......Chuo hana mkopo ...mala mashetan ya ukoo hayatak asome duu ..(Kulogwa)

N.B
Sijahonga popote.....
Wala hatuna connection...

Ni mola ametuona tu.....Nina 27 yrs....dogo Sasa anaitafuta 24......


Na Kikubwa zaid' hela anayolipwa asee inasomeka palefu kuzid mim huku.,....

Goz is Good in all ze tym:...
Yaani wewe Ni mtumishi hata kuandika hujui !!!
 
Mkuu, nakushauri pamoja na Furaha uliyonayo jaribu kukaa kimya tu kuliko kuweka mafanikio yako mitandaoni.

Watanzania sasa hivi tumebadilika sana. Hakuna atayefurahia wewe kupata kazi Wala kufanikiwa.

Wabongo wengi kwasababu ya NJAA na UGUMU wa MAISHA tumejaa CHUKI Kali sana.

Ukitaka kujua Hilo, fuatilia Hakuna mtu mwenye mafanikio hata kidogo ambaye Hana HATERS bila sababu za Msingi.

Kuanzia WANASIASA, WATUMISHI WA UMMA ( hapa namaanisha was NGAZI za chini kabisa ), WASANII n.k.

Usione mtu anakuchekea usoni ukafikiri anafurahia MAFANIKIO yako.
Sasa huku mtandaoni hata ukimchukia utapata nini?
 
Back
Top Bottom