Ajira za TRA tumetoboa. Ushuhuda wangu!!

Ajira za TRA tumetoboa. Ushuhuda wangu!!

Hongera kwa moyo wa Upendo na kukata Mnyororo wa Ubinafsi. Mind U kubali kwamba dogo wako ulimsaidia naye ataanza Maisha yake Vitendo vya kutopokea Simu zako, kukupotezea unapokuwa na shida, kupiga chini appointment zako, Kama wewe uko Dar yeye akipangwa Arusha, kubali kwamba atakuwa anakuja Dar anafikia hotel hata Wiki 2 kwako hajji, wewe utakuwa Third Party. Yaaani Kwa sasa Demu wake au Boyfriend wake atakuwa na thamani kubwa kuliko wewe, wakwe zake, marafiki zake halafu ndio wewe utafutata nk.
So usiweke maaanani kwamba Kuna nafuu utaipata kwa dogo lako na epuka kugeuka omba omba kwake kikubwa muongoze kufikia malengo yake kuliko kugeuka kumkumbusha Historia Jinsi ulivyomsaidia undugu utakufa!
Wanawake sio kama wanaume
Hasa ktk ngazi ya familia...


Rejea mabinti na vijana nani anasaidia zaidi familia nyumbani
Wa kike kma ana kipato mtafaidi
 
Mkuu, nakushauri pamoja na Furaha uliyonayo jaribu kukaa kimya tu kuliko kuweka mafanikio yako mitandaoni.

Watanzania sasa hivi tumebadilika sana. Hakuna atayefurahia wewe kupata kazi Wala kufanikiwa.

Wabongo wengi kwasababu ya NJAA na UGUMU wa MAISHA tumejaa CHUKI Kali sana.

Ukitaka kujua Hilo, fuatilia Hakuna mtu mwenye mafanikio hata kidogo ambaye Hana HATERS bila sababu za Msingi.

Kuanzia WANASIASA, WATUMISHI WA UMMA ( hapa namaanisha was NGAZI za chini kabisa ), WASANII n.k.

Usione mtu anakuchekea usoni ukafikiri anafurahia MAFANIKIO yako.
Kweli kabisa
 
Mdogo wangu wa kike ....Atimae amepata Ajira TRA ........ Tunamshukulu sana Mwenyez mungu na serikali yetu Tz!!!!!! Kwani Ajira zimekua changamoto sana sahiv!!!!!!

Iko hivi hichi kitu.....kilikua msalaba mzito sana mgongon kwangu...kwani..Huyu dogo toka yuko form2....,Ni jukum langu....na kibaya zaid' hata alipomaliza form Six.....Huko chuo alikosa mkopo!!!!....


Just imagine... baba nguzo kuu ya familia alistaafu utumishi 2014....Fedha ziliyayuka tuu.....

Mama Ni mama wa nyumbani ndugu zangu wengine wanaunga unga tu....

Kwa hisan yake mola....nilipomaliza shule....2012....(Form4,)...sikukaa sana home nikajichanganya huku na kule ..na zali la kwenda kulitumikia taifa ....Serikalin likaniangukia.


Na atimae mnyololo wa umasikin tukaupunguza..,.
na nisingeweza kumuacha mdogo wangu ikiwa O lever kapiga 2.... Na Six amebutua vizur tu..,..

Nilijibana bana.....tukaanza Kama mchezo huku wazee wakinipa baraka zote nikae nae.....na hakuna ndugu aliewahi hata kumuulizia mishe zake.....

Nisiwachoshe......nilipambana mpka nilikua nalia sometimes......Chuo hana mkopo ...mala mashetan ya ukoo hayatak asome duu ..(Kulogwa)

N.B
Sijahonga popote.....
Wala hatuna connection...

Ni mola ametuona tu.....Nina 27 yrs....dogo Sasa anaitafuta 24......


Na Kikubwa zaid' hela anayolipwa asee inasomeka palefu kuzid mim huku.,....

Goz is Good in all ze tym:...
Hongera sana lakini, Sasa muache afanye kazi na aishi maisha yake, kazi yako umemaliza. MUNGU atakulipa kwa namna yake.
 
Hongera mkuu, karibu kwenye utumishi wa imma! Wosia wangu: usiige life style ya staff wenzako ishi kivyako! Kuwa karibu na hao wanaoitwa viherehere kazini kuna kitu utajifunza maana huwa ni wachache na wanachapa Sana kazi hata kama mshahara umeisha mifukoni, faida ya watu hawa ni hii...utajifunza nidhamu ya kazi sio za mwajili hata za kwako...
 
Hongera sana mkuu,ukimtumainia Mungu huwa anafanya njia pasipo njia...mi shahidi nilipataga mchongo mmoja shirika fulani la hisani ya watu wa marekani katika hali isiyo ya kawaida kabisa.
 
Hongera kwa moyo wa Upendo na kukata Mnyororo wa Ubinafsi. Mind U kubali kwamba dogo wako ulimsaidia naye ataanza Maisha yake Vitendo vya kutopokea Simu zako, kukupotezea unapokuwa na shida, kupiga chini appointment zako, Kama wewe uko Dar yeye akipangwa Arusha, kubali kwamba atakuwa anakuja Dar anafikia hotel hata Wiki 2 kwako hajji, wewe utakuwa Third Party. Yaaani Kwa sasa Demu wake au Boyfriend wake atakuwa na thamani kubwa kuliko wewe, wakwe zake, marafiki zake halafu ndio wewe utafutata nk.
So usiweke maaanani kwamba Kuna nafuu utaipata kwa dogo lako na epuka kugeuka omba omba kwake kikubwa muongoze kufikia malengo yake kuliko kugeuka kumkumbusha Historia Jinsi ulivyomsaidia undugu utakufa!
Dah umeongea fact kubwa sana mkuu. Nimempambania mtoto wa bro ili nipate mtu wa kusaidiana nae tukikwama as a family.

Asee alivyotoboa akanipa kisogo mazima. Sikua nataka anisaidie bali ile imetokea una shida ya ghafla badala ya kuwacheki

washkaji, unamcheki dogo mambo yakitulia unarudisha kwake!

Akanionyesha kwamba ninazo ila sikupi! Baadae nimemsoma na kugundua ana very low social skills za kuishi na watu.

Mana wala hakugundua kama sio poa bora angeniambia hana kuliko kunionyeshea kiburi.

I took it as challenge na sijamaindi nasonga mbele ila amenipa somo kama hili unalompa mwamba hapa!
 
Mdogo wangu wa kike ....Atimae amepata Ajira TRA ........ Tunamshukulu sana Mwenyez mungu na serikali yetu Tz!!!!!! Kwani Ajira zimekua changamoto sana sahiv!!!!!!

Iko hivi hichi kitu.....kilikua msalaba mzito sana mgongon kwangu...kwani..Huyu dogo toka yuko form2....,Ni jukum langu....na kibaya zaid' hata alipomaliza form Six.....Huko chuo alikosa mkopo!!!!....


Just imagine... baba nguzo kuu ya familia alistaafu utumishi 2014....Fedha ziliyayuka tuu.....

Mama Ni mama wa nyumbani ndugu zangu wengine wanaunga unga tu....

Kwa hisan yake mola....nilipomaliza shule....2012....(Form4,)...sikukaa sana home nikajichanganya huku na kule ..na zali la kwenda kulitumikia taifa ....Serikalin likaniangukia.


Na atimae mnyololo wa umasikin tukaupunguza..,.
na nisingeweza kumuacha mdogo wangu ikiwa O lever kapiga 2.... Na Six amebutua vizur tu..,..

Nilijibana bana.....tukaanza Kama mchezo huku wazee wakinipa baraka zote nikae nae.....na hakuna ndugu aliewahi hata kumuulizia mishe zake.....

Nisiwachoshe......nilipambana mpka nilikua nalia sometimes......Chuo hana mkopo ...mala mashetan ya ukoo hayatak asome duu ..(Kulogwa)

N.B
Sijahonga popote.....
Wala hatuna connection...

Ni mola ametuona tu.....Nina 27 yrs....dogo Sasa anaitafuta 24......


Na Kikubwa zaid' hela anayolipwa asee inasomeka palefu kuzid mim huku.,....

Goz is Good in all ze tym:...
Mwamba una mwandiko mbaya sana samahani.
 
Hongera kwa moyo wa Upendo na kukata Mnyororo wa Ubinafsi. Mind U kubali kwamba dogo wako ulimsaidia naye ataanza Maisha yake Vitendo vya kutopokea Simu zako, kukupotezea unapokuwa na shida, kupiga chini appointment zako, Kama wewe uko Dar yeye akipangwa Arusha, kubali kwamba atakuwa anakuja Dar anafikia hotel hata Wiki 2 kwako hajji, wewe utakuwa Third Party. Yaaani Kwa sasa Demu wake au Boyfriend wake atakuwa na thamani kubwa kuliko wewe, wakwe zake, marafiki zake halafu ndio wewe utafutata nk.

So usiweke maanani kwamba Kuna nafuu utaipata kwa dogo lako na epuka kugeuka omba omba kwake kikubwa muongoze kufikia malengo yake kuliko kugeuka kumkumbusha Historia Jinsi ulivyomsaidia undugu utakufa!
Neno kuntu hili...
 
unagahati sana,,taarifa niliyonayo,,wanaccm wote ndo wamepata kwanza zile nzurinzuri..baaada ya kubaki ndo wakawarushia wachache ambao hawana connection.Je wewe kijana wako alikuwa amesoma kozi gani?
 
Dah umeongea fact kubwa sana mkuu. Nimempambania mtoto wa bro ili nipate mtu wa kusaidiana nae tukikwama as a family.

Asee alivyotoboa akanipa kisogo mazima. Sikua nataka anisaidie bali ile imetokea una shida ya ghafla badala ya kuwacheki

washkaji, unamcheki dogo mambo yakitulia unarudisha kwake!

Akanionyesha kwamba ninazo ila sikupi! Baadae nimemsoma na kugundua ana very low social skills za kuishi na watu.

Mana wala hakugundua kama sio poa bora angeniambia hana kuliko kunionyeshea kiburi.

I took it as challenge na sijamaindi nasonga mbele ila amenipa somo kama hili unalompa mwamba hapa!
Hauko peke yako Mkuu, ukiona natema huo mkeka jua yameshanifika lkn kwakuwa tulihusiwa kwamba Mkubwa ni Jalala napaswa kumeza ufahari na ukubwa wangu ili maisha yasonge mbele na kuleta mshikamano wa kifamilia.
 
Dah umeongea fact kubwa sana mkuu. Nimempambania mtoto wa bro ili nipate mtu wa kusaidiana nae tukikwama as a family.

Asee alivyotoboa akanipa kisogo mazima. Sikua nataka anisaidie bali ile imetokea una shida ya ghafla badala ya kuwacheki

washkaji, unamcheki dogo mambo yakitulia unarudisha kwake!

Akanionyesha kwamba ninazo ila sikupi! Baadae nimemsoma na kugundua ana very low social skills za kuishi na watu.

Mana wala hakugundua kama sio poa bora angeniambia hana kuliko kunionyeshea kiburi.

I took it as challenge na sijamaindi nasonga mbele ila amenipa somo kama hili unalompa mwamba hapa!

Don't expect people to treat you fairly because you think you're good person it will be much like expecting the bull to attack you because you're vegetarian

Pole
 
Hongera kwa moyo wa Upendo na kukata Mnyororo wa Ubinafsi. Mind U kubali kwamba dogo wako ulimsaidia naye ataanza Maisha yake Vitendo vya kutopokea Simu zako, kukupotezea unapokuwa na shida, kupiga chini appointment zako, Kama wewe uko Dar yeye akipangwa Arusha, kubali kwamba atakuwa anakuja Dar anafikia hotel hata Wiki 2 kwako hajji, wewe utakuwa Third Party. Yaaani Kwa sasa Demu wake au Boyfriend wake atakuwa na thamani kubwa kuliko wewe, wakwe zake, marafiki zake halafu ndio wewe utafutata nk.

So usiweke maanani kwamba Kuna nafuu utaipata kwa dogo lako na epuka kugeuka omba omba kwake kikubwa muongoze kufikia malengo yake kuliko kugeuka kumkumbusha Historia Jinsi ulivyomsaidia undugu utakufa!
Umesema kweli tupu.
 
Back
Top Bottom