kamima
Member
- Oct 12, 2022
- 6
- 4
Habari za wakati huu wadau, mimi ni mwanachuo niliyemaliza mwaka huu masomo Physics na Mathematics, katika pita pita zangu nimekutana na hii kwamba manispaa ya Ilala inatoa ajira za mkataba kwa walimu wa sayansi.
Nilitamani kuielewa hii kwa undani kwa watu wenye kulijua hili kwasababu pia nimepata taarifa kwamba hii imeshawahi fanyika Temeke kwa hiyo naamini watakuwepo wenye uzoefu na hili.
Mawazo yenu tafadhali namna gani ya kupata hii ajira kama kweli ipo na ufuatiliaji wake upoje.
Nilitamani kuielewa hii kwa undani kwa watu wenye kulijua hili kwasababu pia nimepata taarifa kwamba hii imeshawahi fanyika Temeke kwa hiyo naamini watakuwepo wenye uzoefu na hili.
Mawazo yenu tafadhali namna gani ya kupata hii ajira kama kweli ipo na ufuatiliaji wake upoje.