Ajira yenye utata

Ajira yenye utata

ashidodi

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2016
Posts
291
Reaction score
341
Habari za majukumu ya kila siku ndugu zangu. Poleni na majukumu
Nielekee Kwenye mada. Nina mdogo wangu amefanya usaili katika shirika la LIVING FOUNDATION hapa Dar. Mdogo wangu amepata nafasi ya kufanya kazi Kwenye shirika, lakini nina wasiwasi huu
1. Wameambiwa watoe hela ya mafunzo 850,000/=
2. Hela ya usajili 700,000/=
3. Hela ya kukatia visa 150,000/=
4. Hela ya tahadhari 3,000,000/=
Hela ya tahadhari inatakiwa ikae Kwenye fixed account ambapo account atakayofungua itabidi imilikiwe na shirika siyo yeye mwenye account.
Je, kwa waliowahi kufanya kazi Kwenye hili shirika kunaukweli wowote au tunataka kupigwa?
Najua humu ntapata mrejesho mzuri.
NB: Pesa inatakiwa jumatatu iwe imekamilika yote.
Nawasilisha
 
Ni ile ya kimarekani inayojihusiha na mambo ya kidini?
Kama ndio ipo kweli ila hayo mambo sidhani kama yapo.

Mkuu lakini hio yote si Almost 5M?
Kweli unataka utoe 5M upate ajira? if yes believe me nyie hamna shida na hela.
Mimi hata kama ingekua ni Ajira ya kupeleka watu peponi hio hela sitoi..

Hio sio tena living foundation ni
Death foundation, Kuna uwezekano ni watu wanatumia jina hilo kula vichwa.

Huo ni mtaji tena wa kuajiri mtu sio wewe kuajiriwa, Fungua kampuni yako iite "life foundation" shtuka babaaa....
 
Ni ile ya kimarekani inayojihusiha na mambo ya kidini?
Kama ndio ipo kweli ila hayo mambo sidhani kama yapo.

Mkuu lakini hio yote si Almost 5M?
Kweli unataka utoe 5M upate ajira? if yes believe me nyie hamna shida na hela.
Mimi hata kama ingekua ni Ajira ya kupeleka watu peponi hio hela sitoi..

huo ni mtajii..

Hio sio tena living foundation ni
Death foundation, Kuna uwezekano ni watu wanatumia jina hilo kula vichwa.
Hao jamaa ni matapeli sana na watu wengi wameliwa nakuhakikishia
 
Ni ile ya kimarekani inayojihusiha na mambo ya kidini?
Kama ndio ipo kweli ila hayo mambo sidhani kama yapo.

Mkuu lakini hio yote si Almost 5M?
Kweli unataka utoe 5M upate ajira? if yes believe me nyie hamna shida na hela.
Mimi hata kama ingekua ni Ajira ya kupeleka watu peponi hio hela sitoi..

huo ni mtajii..

Hio sio tena living foundation ni
Death foundation, Kuna uwezekano ni watu wanatumia jina hilo kula vichwa.

🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hahhaahhaahaha
 
Hiyo website ni ya org.. ya kichina makao yake makuu inonesha ni Hong kong na ina uhusiano na Qi ambayo ndio baba wa Qnet ambao kila siku hapa mnasema ni matapeli.

Na kama wanajitambulisha kama "living foundation" mbona address iwe kama Rhythim foundation? Something smells fishy here!
 
Hiyo pesa kama ipo mfungulieni biashara apambane mwenyewe kuliko kutapeliwa.
 
Back
Top Bottom