mjasiliamali makini
Senior Member
- Jan 16, 2018
- 105
- 134
Alitakiwa kumuongoza dogo,,sasa yeye anamlaumu nini?,maana mimi mdogo wangu alipata watu wa hivyo tena wakawa wanampigia sana simu ili awaishe hela ili ajiunge Tanesco mkoa wa mwanza,,na kwamba kulikuwa inaitajika hela ya fomu na mafunzo,,nikamwambia sikupi hiyo hela kwani ni matapeli,,nikamwambia nipe niongee nae yule jamaa alikacha baada ya kuongea nae,,hivyo huyo brother alitakiwa kumwongoza mdogo wake na asifikilie amemaliza hapo inabidi amsaidie mpaka afanikiwe.We mjinga sana, kwani hayo yote hukuambiwa humu, siku nyingine Msije kuomba ushauri Kama tayari mnakuwa na misimamo yenu. Tena huyo dogo anatakiwa akuchukie maisha yake yote maana ulitakiwa kumuingoza na kumshauri kwani ulishaambiwa na wadau kuwa hao ni matapeli. Et nimeshanawa mikono juha wa karne kabisa wewe.