Ajira Utumishi - Recruitment portal

Wakuu kuna tangazo la kazi la march 11 2015 lilitolewa na utumishi, walitangaza kazi kama afisa ndorobo, afisa mifugo mkufunzi, mchora ramani, mtathimini ardhi, mhadisi daraja la pili- marine engineer.
Lakini nimeona tangazo la usaili fani nyingine zote wameitwa isipokuwa marine engineer. Wakuu hapo imekaaje au ndio wametuchinjia baharini
Tafadhali msaada kwa wale wanaofahamu hiyo issue maana kwenye application status wameandika application review in progress
 
Kwahyo wote wanaoandikiwa 1st interview wataitwa? Mmh me mbna zote nlizoapply nmeandikiwa 1st interview na nyngne nliapply kujaribu tuu sina hata qualifications ila meandikiwa 1st interview...Is it kweli hilo neno linarefer kuitwa kwa interview?

Kweli kabisa hata me nahisi hili neno Lina maana nyingine na sio kuitwa kwa interview coz me nilishaaply toka Feb but no any phone call or mail km nimeitwa na itafanyika wapi, I guess hili neno litakua na maana nyingine
 
hii portal naona kama ni magumashi matupu alafu ni ya kidwanzi! mtu wanamuandikia First Interview alaf baadae tena eanabadili status kuwa Application review in Progress...sasa which is which? Mi wamenikera kis....
 
unaatach vyote baada ya kuvicombine kaka, kwenye mfumo wa pdf, nenda google andika online merge utakuta kuna site nying zinafanya merging, vicombine kiwe kimoja
 
Kwanza napendeza kuipa hongera kwenda ajira.go.tz kwa jitihada utumishi wanazozifanya katika kusogeza huduma karibu kwa wateja. Je wewe ni mmoja kati ya watu ambao wameshawahi kufanya maombi ya kazi online kwa kutumia Recruitment portal ?Bila shaka jibu lako ni ndio.

Nataka nikufundishe kidogo utawezaje kujua kama utaitwa kwenye inteview kabla hata majina hayajatoka. Je una kiu hiyo ya kutaka kujua ?Ingia kwenye akaunti yako, click My applications.Zitakuja positions ambazo umesha-apply tayari.Angalia kuna mahala pameandikwa Application Status -Kama umebahatika, utakutana na neno First Interview

HONGERA SANA:

Nyongeza plus~updated 08 May 2015. Napenda kushare na nyie kitu kidogo ambacho kitasave pesa zetu kuhusiana na barua za maombi za kuattach kwenye job application.Je unapoteza pesa nyingi kwenye ku-scan ?Usiende kuscan barua yako hakuna hiyo haja. Type vizuri barua yako ya kazi kwenye Microsoft word then isave.

smallpdf.com/word-to-pdf ina uwezo wa kubadilisha document yako iliyo kwenye word to pdf.

Huna haja ya kuscan barua zako za kazi.

Asante mkuu
 
Hiyo barua umeambiwa iwe kwenye Ms word au pdf, so sio lazima kuforce pdf wakati word pia ruksa
 
bofya kwenye register zen ingiza email na password yako

Mkuu NAPITA vitu gani muhimu unaattach pale kwenye other attachment?
Je wanaposema TCU certificates ni vyeti vya namna gani?
Je kuna ulazima wa kuattach academic certificate wakati tayari tuliambatanisha pale mwanzo kabisa wakati tunajaza academic details?
 
Last edited by a moderator:
Jamani ukitaka kufanya maombi zaidi kwa nafasi zaidi ya mojo inakuaje kwenye

Atachiment ya barua za maombi inawekwa vipi pale unatupiaje yani???? Pls msaada jamani
 
oya mwana mbona mie nimetuma ikanandikia upande wa application status-neno reseived? ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Mkuu NAPITA vitu gani muhimu unaattach pale kwenye other attachment?
Je wanaposema TCU certificates ni vyeti vya namna gani?
Je kuna ulazima wa kuattach academic certificate wakati tayari tuliambatanisha pale mwanzo kabisa wakati tunajaza academic details?

other attachnment ni barua ya maombi ya kazi
 
Last edited by a moderator:
Mkuu kuku wa kienyeji na wadau wengine . nisaidieni hapa, barua ya kazi lazima iwe na anuani mbili...(mtumaji na mpokeaji barua).... Sasa swali je anuani ya mpokeaji ntaiandika vp.... Au niandike ile ya ya kawaida ya Utumishi.... Msada tafadhal
 
Back
Top Bottom