Ajira: Ubalozi wa UK, Receptionist. Mshahara Tsh 1.5M+ kwa Mwezi

Tena hio 1.2m ya daktari hua inashuka mpk 900k take-home.
Unachosema ni ukweli ama unaongopa.
Kuna jamaa mmoja ameacha medicine dakika ya mwisho kabisa. Alibakiza ue ya mwisho amalize.anadai alivyoingia Ile first year Kuna doctor mmoja akawa anaawaambia kuwa Kama umekuja huku inategemea kuwa tajiri sahaau.
Dr ama Ile sifa na heshima ya career yake mtaani Ila hata machinga anamkalisha chini.
Wale specialist wanaoheshimika jamaa akawa anawadharau kuwa wanatembelea mark2 Tena mtumba.
Jamaa akaichoka md. Binafsi kinachoniuma ni ugumu wa kozi Yao labda hata mfamasia.
Binafsi advance nilichaguliwa kusoma pcb nikaikataa vibaya Sana. Mana nimeishi na madokta afu life lako sio la kutisha Sana.
Yaani Ile taito wanalewa nayo.

Sema wanaokoa life letu.
 
Unachosema ni ukweli ama unaongopa.
Kuna jamaa mmoja ameacha medicine dakika ya mwisho kabisa. Alibakiza ue ya mwisho amalize.anadai alivyoingia Ile first year Kuna doctor mmoja akawa anaawaambia kuwa Kama umekuja huku inategemea kuwa tajiri sahaau.
Dr ama Ile sifa na heshima ya career yake mtaani Ila hata machinga anamkalisha chini.
Wale specialist wanaoheshimika jamaa akawa anawadharau kuwa wanatembelea mark2 Tena mtumba.
Jamaa akaichoka md. Binafsi kinachoniuma ni ugumu wa kozi Yao labda hata mfamasia.
Binafsi advance nilichaguliwa kusoma pcb nikaikataa vibaya Sana. Mana nimeishi na madokta afu life lako sio la kutisha Sana.
Yaani Ile taito wanalewa nayo.

Sema wanaokoa life letu.
Aisee
 
Ubalozi wa Uk umetangaza nafasi nyingine ya dereva Deadline 23/09/2021
 
Ubalozi wa Uk umetangaza nafasi nyingine ya dereva Deadline 23/09/2021
Tupostie link na kwenye uzi huu mkuu!!
 
Unachosema ni ukweli ama unaongopa.
Kuna jamaa mmoja ameacha medicine dakika ya mwisho kabisa. Alibakiza ue ya mwisho amalize.anadai alivyoingia Ile first year Kuna doctor mmoja akawa anaawaambia kuwa Kama umekuja huku inategemea kuwa tajiri sahaau.
Dr ama Ile sifa na heshima ya career yake mtaani Ila hata machinga anamkalisha chini.
Wale specialist wanaoheshimika jamaa akawa anawadharau kuwa wanatembelea mark2 Tena mtumba.
Jamaa akaichoka md. Binafsi kinachoniuma ni ugumu wa kozi Yao labda hata mfamasia.
Binafsi advance nilichaguliwa kusoma pcb nikaikataa vibaya Sana. Mana nimeishi na madokta afu life lako sio la kutisha Sana.
Yaani Ile taito wanalewa nayo.

Sema wanaokoa life letu.
Waarabu wanatajirika na u daktari lakini wanaufanyia Ulaya.
 
Okay.mana kwa vile masikini wanasoma Sana kwa bidii so wanakuwa competent.
Nadhani wahindi wapo manesi Sana uk na ni watu wa it plus maths. Saivi watt wa ulaya wanatumia utajiri waliochuma babu zao kutununua basi hakuna jingine
Daktari mmoja kutoka Iran aliniambia kwao ukiwa unafanya mtihani wa 11+ sawa na NECTA IV huku kwetu, miezi sita kabla ya mtihani huonekani mtaani, unakwenda shule, kula, kusoma na kulala. Unapanga combi yako na unahakikisha una past papers za miaka mitatu nyuma una solve maswali.

Majibu yakitoka kama umefeli unajifungia ndani kama meatier. Ni lazima kila nyumba ipate Engineer, daktari, lawyer na accountant.
 
Unachosema ni ukweli ama unaongopa.
Kuna jamaa mmoja ameacha medicine dakika ya mwisho kabisa. Alibakiza ue ya mwisho amalize.anadai alivyoingia Ile first year Kuna doctor mmoja akawa anaawaambia kuwa Kama umekuja huku inategemea kuwa tajiri sahaau.
Dr ama Ile sifa na heshima ya career yake mtaani Ila hata machinga anamkalisha chini.
Wale specialist wanaoheshimika jamaa akawa anawadharau kuwa wanatembelea mark2 Tena mtumba.
Jamaa akaichoka md. Binafsi kinachoniuma ni ugumu wa kozi Yao labda hata mfamasia.
Binafsi advance nilichaguliwa kusoma pcb nikaikataa vibaya Sana. Mana nimeishi na madokta afu life lako sio la kutisha Sana.
Yaani Ile taito wanalewa nayo.

Sema wanaokoa life letu.
Jamani mimie nakubaliana na nyie lakini kiukweli maisha haya hayana formula!!

Wapo watu leo ni matajiri lakini mishahara yao ilikuwa kiduchu, wapo pia ni maskini, pia wapo wasomi na madegree yao lakini leo ni maskini wa kutupwa, vile vile wapo wasomi hao hao leo ni ma bilionea.


Vile vile wapo watu wengi tu ni wamachinga na leo maisha yao ni ya umaskini wa kutupwa, vivyo hivyo hao hao wapo wengine ni matajiri.

Maoni yangu: It doesn't matter uko katika sehemu gani, Mungu akifungua milango ya mafanikio utatoboa ndugu! Ninachoamini mie ni katika maombi huku nikipambana kwa ili siku moja nitoboe/ kuvumiliana japo kiukweli maisha ya mishara yetu siyo kabisa lakini hatupaswi kukata tamaa!!

Leo kuna watu wapo na elimu ndogo kabisa lakini wanaongoza taasisi kubwa tu na hata nchi huku ma profesa wakiwa madiwani na wenyeviti wa mitaa natania tu.

Mungu hakuna asiloweza, akishacheka utafanikiwa kimasihara!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom